Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Some of William Saliba's Ligue 1 stats last season. [sky] 🔥

most completed pass in Ligue 1 history
 

Attachments

  • IMG_20220803_181150.png
    IMG_20220803_181150.png
    33.2 KB · Views: 15
Arsenal's possible XI vs Crystal Palace. [sky]

Arsenal's bench will be lit tho with Kieran Tierney, Emile Smith Rowe, Takehiro Tomiyasu and new signing Fabio Vieira no full fit yet
 

Attachments

  • IMG_20220803_181904.png
    IMG_20220803_181904.png
    23.5 KB · Views: 14
Bora wangemshawishi asaini kisha wamtoe kwa mkopo
yes. Hiyo ingependeza zaidi ila nadhani kuna tusiyoyajua yaliyosababisha hatimae uamuzi ukawa hivyo. Tumtakie tu kila la heri. Simuoni akiwa na maajabu. Amenyanyasa vitoto kama tu kina balogun na nketiah walivyokuwa wakifanya ila ligi kuu si lelemama. Huku kutoboa unahitaji ukakamavu na uthubutu wa ziada pamoja na kuaminika na kocha. Na kwa timu kubwa kocha hana subira sana. Ndio maana kina foden na martinelli ni wachache top teams.
 
Arsenyeto... Soon mnarudi kwenye default mode yenyu... Ni suala la muda.
 
Arteta juu ya majeraha ya Tierney na Tomiyasu:

"Sababu ya kuwa na majeraha hayo ni kwa sababu tofauti na pengine kwa sababu kikosi(ufinyu) haukuwapa muda wa kupona. Ninachoweza kukuambia ni kwamba wachezaji hao wawili wako tayari kuchangia timu."

Jambo jema sasa tuna Zinchenko na Saliba (White RB), hivo hawahitaji kuharakishwa tena.
 
Arteta kuhusu uhamisho(usajiri)

"Tuko kama unavyoona kwa wanao ingia na wanaotoka. Kila kitu bado kiko wazi. Ni dirisha refu. Inashangaza ni kiasi gani cha biashara ambacho vilabu vimefanya kwenye PL na inaonyesha jinsi ushindani utakavyokuwa. kwa msimu huu."

MWANDISHI Vipi Kuhusu MAJERUHI

Arteta anasema anatumai watatu kati ya Tierney, Tomiyasu, Smith Rowe na Vieira watafanya mazoezi mchana huu. Na wanaweza kucheza dhidi ya Palace.

MWANDISHI ESR ndio unamaanisha ambaye anaweza kukosa.?


"Swali zuri, utajua kesho."
 
Arteta juu ya majeraha ya Tierney na Tomiyasu:

"Sababu ya kuwa na majeraha hayo ni kwa sababu tofauti na pengine kwa sababu kikosi(ufinyu) haukuwapa muda wa kupona. Ninachoweza kukuambia ni kwamba wachezaji hao wawili wako tayari kuchangia timu."

Jambo jema sasa tuna Zinchenko na Saliba (White RB), hivo hawahitaji kuharakishwa tena.
 
🚨🚨| Despite Chelsea's interest, Aubameyang does not consider joining them & wants to stay at FC Barcelona.
@RogerTorello [🎖️]
 
Arteta: “The role Gabi (Jesus) has here is VERY DIFFERENT from his previous club.”
 
Back
Top Bottom