Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaani aRse88 ni vichwa maji, kisa Rhaphina mmeshindwa kumchukua ndio manasema ataflop, kw hiyo kama angekuja kwnye katimu kenu kamichongo asingeflop.
Hatujasema ataflop. Tunachosema ni overpriced. Mwenye akili ni yule asiyeng'atwa na nyoka mara 2 eneo moja.

Kama pepe hajatupa somo basi tena. Nyinyi endeleeni na ulukaku wenu
 
Yaani aRse88 ni vichwa maji, kisa Rhaphina mmeshindwa kumchukua ndio manasema ataflop, kw hiyo kama angekuja kwnye katimu kenu kamichongo asingeflop.
Apart from all nonsense bado hatuoni akifanya vizuri under 343. Ubora wake kudrible from the touchline, Tuchel system inamuhitaji kucheza centrally as #10/ half space player, wakati touchline inakuwa occupied by Reece James. Maybe kama anaenda kucheza Wingback.kuna mazingira Systems zinanullifie ubora wa mchezaji i.e Ziyech
 
Hata Torres kuna sehemu aliwasave lakini kwa ujumla wake akiwa chelsea si anaitwa flop? Lukaku?
Nakuonaga unauelewa mdogo ila ngoja nikuulize tu, torres anawekwaje kwenye list ya flops wakat ameisaidia timu kubeba UEFA?
Ni kitu gani kinajustify mchezaji kuwa flop? Mafanikio yake binafsi au ameisaidiaje timu kupata mafanikio?
 
I'll cal you.....View attachment 2277478

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Wanachelewa sanaView attachment 2277480View attachment 2277481View attachment 2277482
IMG-20220630-WA0012.jpg


Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Apart from all nonsense bado hatuoni akifanya vizuri under 343. Ubora wake kudrible from the touchline, Tuchel system inamuhitaji kucheza centrally as #10/ half space player, wakati touchline inakuwa occupied by Reece James. Maybe kama anaenda kucheza Wingback.kuna mazingira Systems zinanullifie ubora wa mchezaji i.e Ziyech
Ziyech ni injuries ndio zimemuharibia ila alikua anakuja vizuri tu.
 
Ndo kitu ambacho chelsea saivi wanachofanya
Ila itakuja kuwakosti sana
mbwa hawa
 

Attachments

  • Screenshot_2022_0630_170052.png
    Screenshot_2022_0630_170052.png
    586.8 KB · Views: 24
Nakuonaga unauelewa mdogo ila ngoja nikuulize tu, torres anawekwaje kwenye list ya flops wakat ameisaidia timu kubeba UEFA?
Ni kitu gani kinajustify mchezaji kuwa flop? Mafanikio yake binafsi au ameisaidiaje timu kupata mafanikio?
we ni jinga
flop namba moja ya chelsea ni torres
 
HAYA SASA BARCA KUNA HELA KAPATA LEO ,ANAJIANDAA KWENDA KULIPA AMCHUKUE, RAPHINA

CHELSEA ALIJIONA MJUAJI, KILA DILI ANADANDIA

❗️Early reports, pending further confirmation, from @_pauljoyce (top for Premier League clubs) that Barça are ready to rival for Raphinha, with a bid worth up to £60M (€69.6M) expected soon. #Transfers 🇧🇷🚨
 
Ila Huyu RAPHINA Kama mawazo yake Ni Barca basi akienda Chelsea au arsenal atazitumia Kama ngazi TU,

Mchezaji wa hivi sio wakumuamini Tena

Iliwatokea Liverpool kwa Coutinho ,waliumia Sana
Wabrazil wengi ndoto zao Ni Barca na real Madrid
 
Ila Huyu RAPHINA Kama mawazo yake Ni Barca basi akienda Chelsea au arsenal atazitumia Kama ngazi TU,

Mchezaji wa hivi sio wakumuamini Tena

Iliwatokea Liverpool kwa Coutinho ,waliumia Sana
Wabrazil wengi ndoto zao Ni Barca na real Madrid
Dogo jinga sana Arsenal ijitoe direct kwenye usajili wa huyu jamaa what I see ni kuwa kweli huyu dogo na deco wanaitaka Barcelona that's why wanalazimisha Barcelona imsajili huku Chelsea kawekwa pending na Chelsea wakimsajili wategemee ya Lukaku part two
 
Ilitarajiwa kwamba baada ya kipindi cha mkopo cha mafanikio akiwa na Fiorentina msimu uliopita, Lucas Torreira angejiunga na timu hiyo ya Serie A kwa kudumu.

Vilabu hivyo viwili vilikubali chaguo la euro milioni 15 kununua mwishoni mwa msimu, lakini Fiorentina ilitoa chini ya nusu ya hiyo kwa Arsenal, na inaeleweka kwamba hiyo ilikataliwa moja kwa moja.

Nafasi yoyote ya maridhiano au mazungumzo ilisitishwa mapema mwezi huu wakati mchezaji huyo wa kimataifa wa Uruguay alipowaaga mashabiki, na tangu wakati huo ameachwa katika hali ya kutatanisha kuhusu mustakabali wake.

Walakini, pendekezo lolote ambalo anaweza kusalia na kupigania nafasi Kaskazini mwa London limepigwa chini, kwani aliweka wazi hamu yake ya kuondoka inatokana na kuambiwa hakuna jukumu lake katika mpangilio wa sasa wa Mikel Arteta.

Akiongea na waandishi wa habari nchini, Torreira alisema, "Je, una nafasi ya kukaa? Hakuna.

"Tangu mwanzo waliniambia kuwa sina nafasi, kwa hivyo hamu yangu sio kukaa kwani niliteseka sana, ilinigharimu sana kuzoea."

The Gunners wanatazamia kurejesha kiasi cha Euro milioni 28 walizotumia kumnunua alipojiunga kutoka Fiorentina mwaka wa 2018, na akaendelea, “Timu yoyote inayonihitaji lazima inunue mkataba wangu, ambao leo una thamani ya takriban €15 milioni. ”

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 hapo awali alionyesha nia ya kuchezea Boca Juniors, lakini ikizingatiwa kwamba uhamisho wao wa rekodi unasalia kuwa £10m aliolipwa Juan Román Riquelme kutoka Villarreal mnamo 2008, inaonekana ni vigumu sana kukaribia kumnunua Torreira.

Ni maumivu ya kichwa ambayo Arsenal wangeweza kufanya bila, lakini hii ni hali mbaya ya soko la usajili, na inabakia kuonekana mahali ambapo Torreira anaishia msimu huu wa joto. Inahisi kama hii ni ile ambayo inaweza kuvuta kwa kuchelewa kwenye dirisha.
images%20(18).jpg


Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Lisandro Martinez not happening is definitely not Arsenal fault. We could've bid 50m, but van der Sar would've stalled the bid until Man Utd arrived. Also ten Hag connection means they have to get at least 1 Ajax player after Timber's failed.

Time to regroup & change targets.
 
ARSENAL WAACHANE NA LISANDRO MARTINEZ

AJAX wanatufanyia uhuni ,

Arsenal wamepeleka bid had 3, ila wakasema wanaitafakari ofa ,hawakuikataa, kumbe Wana buy time ili wamuunganishe aende man u,

Pale ajax Kuna kina van der sar ,wanabana ili aende man u ,kumbuka pia Ten hagg alikuwa hapo, So mm naona edu aangalie Target Nyingine, Viongoz wa ajax Wana connection na Ten hagg ,ili Dili lishakuwa gumu.

Naiman na kitengo Cha Recruitment ,
Edu hana kosa kweli katika hili wala ishu ya Raphinha, mfano Chelsea wamefika dau la Leeds ila mchezaji na wakala wanafosi kwenda Barca.

Ni kubadili target tu tena ziende kimya kimya
Naiman ndicho kinachofanyika Sasa

Kuanzia Dili la Jesus , Fabio zote zinaingiliwa , Had Dili la yule mtoto Marquinho ,Kesi ilienda had mahakamani ,

Siku zote naamini katika wachezaji Royal, mfano Tieleman Ni Arsenal fan huyu Ni wakimleta mapema
 
They can do whatever they want but We dont give a shit as long as Mikel Arteta is the manager of this football club.
 
Vita ya top four inachezwa hadi nje ya uwanja, Arsenal ikimtaka mchezaji wengine wanakuja kama nyuki lengo kufanya bei ya mchezaji ipande ili budget isituruhusu kuspend kwenye other options, tukihusishwa na mchezaji utaona Spurs / chelsea/ Man utd wanafika haraka. Kama issue ya Raphinha Spurs wanamtaka wakati priority ilikuwa Richarlison. Spurs wameingia kwa Jesus/ Bentacur/ kulusevski/ Vlahovic wote walikuwa wanahusishwa kutua Emirates. Sajili inabidi zifanyike chini kwa chini kama usajili wa Fabio Vieira.
 
Back
Top Bottom