computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
FACT tumeongea sana mimi na wewe but owners are rubbishHakuna timu inachukua makombe kupitia kocha wa senti mbili. Always complaining, I don’t know what people see in him. Too novice, he knows nothing. Huo ndio ukweli mchungu

Arsenal fans wanaona kuna progress which progress?tumefail kusecure top 4 wakati hatukuwa na any European competition na tulikuwa 3 games in hand ?ukiangalia wakati tupo kwenye Europe competition tumemamaliza 8th position in a row next season naona ni Majanga na uzuri huwa nkisema jambo linatokea we shall see bro

