ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 53,275
- 122,387
Pole sana mkuu, kuna watu wanaojua mpira sana, watakuambia wewe huna ujualo mkuu.MAY 22 na pia naapa Mungu yupo next season tutarudi na kauli hizi hizi no way foward wakati Rivals wanaendelea kujaza trophies kwenye Makabati TUKUTANE MAY 22
Ulisema sana toka January, watu wanaona Arteta ni mzuri sana, binafsi hata Emery ana nafuu, ana makombe, ni mshindani...sisi kazi yetu ni kujaribujaribu tu, mara inexperienced coach, wachezaji wa cent tano, utegemee kunyanyua kwapa may. May ni mwezi wa mabingwa...champions play in May...keshokutwa ni ucl, champions tu ndio wanacheza, sisi tutasubiri sana na huyo Arteta.
Arsenal fans wanaona kuna progress which progress?tumefail kusecure top 4 wakati hatukuwa na any European competition na tulikuwa 3 games in hand ?ukiangalia wakati tupo kwenye Europe competition tumemamaliza 8th position in a row next season naona ni Majanga na uzuri huwa nkisema jambo linatokea we shall see bro


hua ni zaungo balaa