ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 53,275
- 122,387
Mkuu, nakushauri kama hupendi dharau na kejeli, ignore this guy. Huyu jamaa ni matokeo ya vijana either wanapitia magumu katika harakati zao au ana malezi mabovu.Karibu, naishi Mbezi Beach, Africana, mbele ya Kwa Mamunyange, ulizia kwa Mollel utafika, ipo karibia na Bar ya Macha, acha porojo za keyboard. Njoo ms*ng wewe.

league hatutapata hyo nafasi sababu ya Management nzima ilivyo sasa mimi na wewe nani alikuwa sahihi?vile vile I am gentleman kubishana na ladies haipendezi