Man city wamevaa uchizi wa chelsea na liva.
Shots 19
1 on target
Wamerudisha mojaGuardiola atajiona bwege
Wamerudisha moja
Lets take a lesson of how passion and focus can get you things you can only dream of.Bravo City
I said this Tukutane MAY 22Kuna some fans mnatetea ujinga wa Coach bila sababu hao mnaowaita rubbishplayers wametuweka 5th position up to now but kuna kitu wamekikosa toka kwa Manager zimebaki 3 games kuqualify champions
league why team ianguke namna hii?mind ya wachezaji toka kwa coach ilikuwa ni nini?angalia rivals wetu game ya Liverpool and Arsenal wamepata 4 points sisi 0 points sometimes ni psychology inatakiwa kwa players toka kwa wakubwa bahati mbaya haikwepo na tumeanguka kama mzoga