Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunaenda kucompete kwenye European Competition ni must kubuy good players fikiria this season hatukuwa na any European competition na tumefungwa more than 13 games what about next season ambayo kila Alhamisi tutakuwa tunasafiri umbali mrefu ?
 
Kuna some fans mnatetea ujinga wa Coach bila sababu hao mnaowaita rubbish [emoji1005] players wametuweka 5th position up to now but kuna kitu wamekikosa toka kwa Manager zimebaki 3 games kuqualify champions [emoji471] league why team ianguke namna hii?mind ya wachezaji toka kwa coach ilikuwa ni nini?angalia rivals wetu game ya Liverpool and Arsenal wamepata 4 points sisi 0 points sometimes ni psychology inatakiwa kwa players toka kwa wakubwa bahati mbaya haikwepo na tumeanguka kama mzoga
I said this Tukutane MAY 22
 
Mimi kama Computerarsenal kuna muda nilihoji Arteta anaweza akatupa big achievements?nikasema I don't see any future kwa Arteta kuwa coach wa Arsenal nikapewa matusi later on nikasema inawezekana ana vision na board ishampa contract nikasema let's see ataleta nini naconclude today result is very painful to Arsenal supporters so I don't know kama kuna fan anaona Spurs atafungwa na Arsenal vs Everton atashinda game yake very painful today
MAY 22 na pia naapa Mungu yupo next season tutarudi na kauli hizi hizi no way foward wakati Rivals wanaendelea kujaza trophies kwenye Makabati TUKUTANE MAY 22
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom