we jamaa umeandika unachokiona na huo ndo uhalisia watu hawatazami ubora wa spurs unaanzia wapi,kiufupi binafsi yangu nikiwatazama makocha wote duniani Conte ndo kocha pekee anaeweza kuibadilisha timu ndani ya kipindi kifupi mno.Chelsea,Inter na hii Spurs zote zimekuwa imara katika msimu wake wa kwanza tu ,inawezekana kupoteza game yao na Norwich lakini ni ngumu mno.Spurs hawezi kupoteza game tena, yupo Conte pale ujuwe. Actually kama conte asingekuja spurs, tusingepata mpinzani wa nafasi ya nne.
😂😂😂😂😂 Nu Casto ulipatia mkuu, ngoja ncheke kwanzaPoint tatu muhimu leo. Newcastle 2 Arsenal 5.
Tutolee upumbavu hapa hii ni photoshop
Uyo bellerin kitambo Ni shoga aanajulikana, Hawa akina pepe na hao madogo wengine lacazete anawafukua wakija kwenye pitch hamuna marinda Tena watoto mchele mchele wanaishia kuruka ruka uwanjaniView attachment 2227202machoko hayoo yanapakuana.
😂😂😂😂🤣🤣Ni kivipi hatujafungwa mpaka muda huu?
Muda wa uchambuzi umefika 😂😂Haya amkeni muanze kutuchambulia maharage.
Bc leo hii umuhimu ni nyie kutupa uchambuzi wa mechi tuu hayo mambo ya point tatu tuwaachie castle mpya.Point tatu muhimu leo. Newcastle 2 Arsenal 5.
Unapenda sana hayo mambo nini mkuu!!!?? Naona unashupalia sana yn huwezi kutania bila kusema hayo mambo. Tania kivingine mkuu vinginevyo wewe ni mdau au unaelekea kuwa mdau wa hayo mambo. Kitokacho mdomoni mwako ndicho kilichopo/kinachotengenezeka moyoni mwako
Timu haina desire ya ushindi wa mechi muhimu, halafu mna Mpongeza kocha?
SquadsArteta ni kocha bora Sana tumpe muda atatupa UEFA na ma EPL ya kutosha
Hatuna quality lakini tunachallenge Spurs wenye kane & Son, hatuna quality ila tumeshinda game nyingi EPL ukitoa Liverpool & City, tuache kuwa biased, at times kama hujui unachoandika ni bora kukaa kimya.Poleni sana najuwa maumivu yenu kwani hata sisi Liverpool tulishapitia haya kipindi tunaletewa wachezaji aina ya Benteke na Lallana eti waje watupe Ubingwa.
Hivyo aina ya wachezaji mulionao mutaishia tu kumtukana Artena lakini kiukweli quality ya wachezaji wenu siyo ya kucheza Timu kama Arsenal.
Boss wenu atoe hela asajili wachezaji wa kuweza kudeliver.
Nakubali kabisa.Inawezekana arsenal ndio timu inayoongoza kwa kuonewa na waamuzi