Kagoma Kuwika
Member
- Feb 6, 2009
- 82
- 0
poleni, leo hakuna ex-kyuz
poleni, leo hakuna ex-kyuz
Haya watani poleni, kusema kweli hii mechi nilikuwa na kihoro nayo lakini kama kawada naona Arsenal hamkuwa na plan b. Bundi officially kaondoka Old Trafford na kurudi London (Northern).
Poleni wakuu wa gunners wenzangu, tupeleke nguvu kwenye mechi za mwisho za ligi na tusubiri mabadiriko offseason.
Tuko pamoja wakuu, matokeo yanaendana na matumizi yetu wakuu, kwahio siku itafika mambo yatakuwa safi.
Poleni sana wakuu...............Ndo ukubwa huo....lol
Mi kila nikimuiona Diaby uwanjani najua tunafungwa tu...........Sijui kwa nini
Poleni wakuu wa gunners wenzangu, tupeleke nguvu kwenye mechi za mwisho za ligi na tusubiri mabadiriko offseason.
Tuko pamoja wakuu, matokeo yanaendana na matumizi yetu wakuu, kwahio siku itafika mambo yatakuwa safi.
Hizi ndo zile siku zinapima mapenzi yangu kwa Arsenal.......It hurts....anyway,VIVA ARSENAL:sick: