Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Uwezo wao ni Nketiah na Xaka waliokupia 4.
Bora wabaki na hao kuliko kupata uwezo wa kuingia Sokoni wakapata wachezaji wa kukupiga 10.
Kupigwa na hii timu takataka imekuwa ni fedheha Sana.

Ila ndio ushindi hawana mipango mingine.
 
Wewe kenge wa darajan, unataka tusajiri mchezaji Kama Lukaku anayevuja jasho jaba zima
Nyie arse8 kweli hamnazo, usajili wa kulipa kwa mafungu wa pepekalee umewaletea manufaa gani?
Lukaku anapata namba kabisa apo kwenu nyie matakataka. Sasa uyo mchezaji wenu wa pound 80M ata Norwich apati namba.

Ivi ela ya pepe mumemaliza kulipa?
 
🚨 || The stories of Gabriel Jesus leaving City and joining Arsenal, are true, the talks are really happening [Via - @AndreHernan].
Ben Jacobs anadhani hii signing ni unlikely maana jamaa amekuwa katika form nzuri lately na City watataka abaki City.
 
Tieleman akija anatakiwa abadilike , maana without ball yupo ovyo, ninachompendea Ni mtu wa forward pass , ana shot , technically yupo vzr, tatizo lake Ni Hilo tu, Kuna mech unahitaji kuwa compact
Hivi ni vitu vinarekebishika akitilia maanani maelekezo ya mwalimu.
 
Camavinga(japo ngumu kumpata kuliko ngamia kuoenya tundu la sindano)
Renato sanchez, hizi zilikuwa options bora zaidi

Ila kukosa hao ni afadhali kumpata tielemans kuliko kubaki na xhaka uwanjani.
 
Hiyo mechi ya Alhamis dhidi ya spurs tukishinda basi kila kitu kinakua kimeisha, hakuna atakayeshinda kutufikia hapo kwa walio chini.

Its the reason wanasema Arsenal tutaenda kujitangazia nafasi ya cl kwa mtani wa jadi spurs ikiwa tutamfunga
Nahisi ile arsenal ya kina Thierry Henry iliwahi kutokea hii.
 
Huyu hayupo sawa kiakili kwa sasa, huu mpira alikuwa anadrible huku macho yapo chini.
 
Sio anapata tabu ni HAWEZI KABISA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…