Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Ngoja tuone Hata Odegaard tulikuwa na hofu nae sanaSo Arteta atakuwa ameshaliona hilo na anajua atalisolve vipi in the long run. Unadhani ataweza kumbadilisha awe mzuri off the ball?
Ila naona Arteta anataka ile 4-3-3 ikamilike yenye kucheza flowing football
Partey Kama kiungo wa chini
Juu Tieleman na Odegaard hapo wote Ni watu wa mipira ya mbele kwa 90%