HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
wanataka nife kwa presha na ujana wote huuArteta signs a new contract to take him up to 2024-25 season
wanataka nife kwa presha na ujana wote huuArteta signs a new contract to take him up to 2024-25 season
Mkuu wengine hatujui msimamo wa ligi ukoje, waga tunakutegemea wewe unaeletaga msimamo humu jukwaani, zimepita siku nyingi tunaona kimya Tu, hebu fanya kazi yako au nini shida?Arse8 typical fan..View attachment 2214210 Unadhani kipindi hiki mko kwenye mzunguko/mshale upi hapo kwenye picha?
View attachment 2214219
Hahahahaha. Jamaa anajisahaulisha majukumu yake. Anazingua sana maana tunataka kujua msimamo wa ligi upoje na yeye ndiyo mwenye jukumu la kutupostia ila hajafanya hiyo kazi. Hafai huyu.Mkuu wengine hatujui msimamo wa ligi ukoje, waga tunakutegemea wewe unaeletaga msimamo humu jukwaani, zimepita siku nyingi tunaona kimya Tu, hebu fanya kazi yako au nini shida?
Me nashangaa tunaenda week ya 4 sasa sikutani na msimamo wa ligi ilhali mwenye jukumu lake anaonekana kwenye jukwaa kama kawaidaHahahahaha. Jamaa anajisahaulisha majukumu yake. Anazingua sana maana tunataka kujua msimamo wa ligi upoje na yeye ndiyo mwenye jukumu la kutupostia ila hajafanya hiyo kazi. Hafai huyu.
huo ni uzembe wa hali ya juu kwa upande wakeMe nashangaa tunaenda week ya 4 sasa sikutani na msimamo wa ligi ilhali mwenye jukumu lake anaonekana kwenye jukwaa kama kawaida
Cha kukusaidia leta msimamo,Arse8 typical fan..View attachment 2214210 Unadhani kipindi hiki mko kwenye mzunguko/mshale upi hapo kwenye picha?
View attachment 2214219
Problem kubwa kwa Arsenal ni Kroenke hata kuja uwanjani hajawahi kuja anamtuma mtoto wake haya maneno daily yamekuwa yanajirudia but no action inawezekana Arteta ana kipaji cha ukocha but atakwama tu mbeleni sioni usajili wa kutisha pale Arsenal sioniArsenal director Edu on Arteta new deal until June 2025:
“We are going to face a big summer again and it’s important to have our manager here”.
“It’s important to show everyone where we want to go as a club”, Edu added.
Huenda tukipata nafasi a ucl akaona umuhimu wa kusajili.Problem kubwa kwa Arsenal ni Kroenke hata kuja uwanjani hajawahi kuja anamtuma mtoto wake haya maneno daily yamekuwa yanajirudia but no action inawezekana Arteta ana kipaji cha ukocha but atakwama tu mbeleni sioni usajili wa kutisha pale Arsenal sioni
I am with you an with lads all along the way. TRUST THE PROCESSIt is ACHIEVABLE and we are on the verge of cementing a place for the Tuesday/Wednesday Night Football...... Where Champions play.
Kudos to super Mikel Arteta and his youngest team
Kudos to the Gunners faithfuls for the unflinching support, love and trust in the process
It is a PROCESS not a ROCKET SCIENCE
I AM ARSENAL THROUGH AND THROUGH
Chelsea ndio wanatapeliwa ovyo?? 🤣🤣🤣NAPOLI HUU UTAPELI WAKAWAFANYIE CHELSEA ,
OSMHEN,TAMMY, HAWATAKIWI KUZIDI €50M
🚨 Arsenal have been told Victor Osimhen will cost them at least £100m by Napoli this summer.
No one is paying £100M for Osimhen.
View attachment 2209930
Mkuu shtukaaaa. Nlishakwambiaga ndugu yangu. Upumbavu unaambukiza shtuka wewe Gooner shtukaaaa hahahahaahhahawanataka nife kwa presha na ujana wote huu