Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu wengine hatujui msimamo wa ligi ukoje, waga tunakutegemea wewe unaeletaga msimamo humu jukwaani, zimepita siku nyingi tunaona kimya Tu, hebu fanya kazi yako au nini shida?
Hahahahaha. Jamaa anajisahaulisha majukumu yake. Anazingua sana maana tunataka kujua msimamo wa ligi upoje na yeye ndiyo mwenye jukumu la kutupostia ila hajafanya hiyo kazi. Hafai huyu.
 
Hahahahaha. Jamaa anajisahaulisha majukumu yake. Anazingua sana maana tunataka kujua msimamo wa ligi upoje na yeye ndiyo mwenye jukumu la kutupostia ila hajafanya hiyo kazi. Hafai huyu.
Me nashangaa tunaenda week ya 4 sasa sikutani na msimamo wa ligi ilhali mwenye jukumu lake anaonekana kwenye jukwaa kama kawaida
 
Arse8 typical fan..View attachment 2214210 Unadhani kipindi hiki mko kwenye mzunguko/mshale upi hapo kwenye picha?
View attachment 2214219
Cha kukusaidia leta msimamo,

halafu wanaomkataa Arteta ni wachache sana, kuanzia nanjilinji had london, ARTETA anakubalika zaid ya 90+% , ndio maana anaimbwa kila mech pale emirates

toka amefika hakuna hata bango la arteta out

aibu yenu mliompigia ramli atafukuzwa, cha ajabu ole na lampard wapo mashimon
 
Arsenal director Edu on Arteta new deal until June 2025:

“We are going to face a big summer again and it’s important to have our manager here”.

“It’s important to show everyone where we want to go as a club”, Edu added.
 
Mikel Arteta:

"Klabu ilinipa kandarasi baada ya kupoteza mechi tatu. Hiyo inaonyesha imani waliyo nayo kwangu na wakufunzi. I got emotional when I saw it, it shows how committed everyone is.”
1651964301057.png
 
Tactician Arteta, next season ni muda wake kubishana uwanjani na Klopp & Pep.
 
Arsenal director Edu on Arteta new deal until June 2025:

“We are going to face a big summer again and it’s important to have our manager here”.

“It’s important to show everyone where we want to go as a club”, Edu added.
Problem kubwa kwa Arsenal ni Kroenke hata kuja uwanjani hajawahi kuja anamtuma mtoto wake haya maneno daily yamekuwa yanajirudia but no action inawezekana Arteta ana kipaji cha ukocha but atakwama tu mbeleni sioni usajili wa kutisha pale Arsenal sioni
 
Problem kubwa kwa Arsenal ni Kroenke hata kuja uwanjani hajawahi kuja anamtuma mtoto wake haya maneno daily yamekuwa yanajirudia but no action inawezekana Arteta ana kipaji cha ukocha but atakwama tu mbeleni sioni usajili wa kutisha pale Arsenal sioni
Huenda tukipata nafasi a ucl akaona umuhimu wa kusajili.
 
It is ACHIEVABLE and we are on the verge of cementing a place for the Tuesday/Wednesday Night Football...... Where Champions play.

Kudos to super Mikel Arteta and his youngest team

Kudos to the Gunners faithfuls for the unflinching support, love and trust in the process

It is a PROCESS not a ROCKET SCIENCE

I AM ARSENAL THROUGH AND THROUGH
I am with you an with lads all along the way. TRUST THE PROCESS
 
Back
Top Bottom