Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
As it stands, hata tukikosa top 4 tuna uhakika 100% kucheza UEFA
Why?As it stands, hata tukikosa top 4 tuna uhakika 100% kucheza UEFA
Labda alimaanisha EUROPAWhy?
May be let's wait broHuenda tukipata nafasi a ucl akaona umuhimu wa kusajili.
Huenda mkuu.Labda alimaanisha EUROPA
Why?
hahahaha. Huenda akawa ndo chachu ya furaha jubwa moyoni na kunipelekea kuwa na maisha marefu. Au siyo mkuu? HahahahaMkuu shtukaaaa. Nlishakwambiaga ndugu yangu. Upumbavu unaambukiza shtuka wewe Gooner shtukaaaa hahahahaahhaha
Hahaha huenda mkuuhahahaha. Huenda akawa ndo chachu ya furaha jubwa moyoni na kunipelekea kuwa na maisha marefu. Au siyo mkuu? Hahahaha
Europa tulijihakikishia ile siku tuliyomfunga WesthamNilimaanisha europa sorry
Hii inatoka kwa kinabo tuliyempiga 4 - 2.It is such a disgrace eti nyinyi mnaenda kucheza uefa halafu totte akacheze yuropa.
Kama mnahisi Liverpool ametoa sare bahati mbaya ya totte subiri mkutane naye
Lazima akuzabue we jichekeshe tu hapo....Hii inatoka kwa kinabo tuliyempiga 4 - 2.
Hapa ni mawili ama huna akili au hauna kumbukumbu.
Huyo spurs unayesema tukikutana naye mara ya mwisho tunakutana kafa 3 na pale ilikua tuna tabia tukishinda tunarudi nyuma.
Huyo spurs game ya kwanza na liva kasuluhu na tukaona kweli kaimprove. Wiki mbili mbele anatolewa conference league.
Conference league.
Wewe eti unamuwazia awe uefa. Wewe ni kichaa?
chemistry ya kumfunga spurs tunayo, not a threat. mgumu kidogot tuliobaki naye ni Newcastle na Everton, Sio spursIt is such a disgrace eti nyinyi mnaenda kucheza uefa halafu totte akacheze yuropa.
Kama mnahisi Liverpool ametoa sare bahati mbaya ya totte subiri mkutane naye