Nasikia mmepata mmiliki mpyaLazima akuzabue we jichekeshe tu hapo....
Nasikia mmepata mmiliki mpyaLazima akuzabue we jichekeshe tu hapo....
Mechi 35 chelsea kashinda 19.Lazima akuzabue we jichekeshe tu hapo....
Hii inatoka kwa kinabo tuliyempiga 4 - 2.
Hapa ni mawili ama huna akili au hauna kumbukumbu.
Huyo spurs unayesema tukikutana naye mara ya mwisho tunakutana kafa 3 na pale ilikua tuna tabia tukishinda tunarudi nyuma.
Huyo spurs game ya kwanza na liva kasuluhu na tukaona kweli kaimprove. Wiki mbili mbele anatolewa conference league.
Conference league.
Wewe eti unamuwazia awe uefa. Wewe ni kichaa?




mkuu jifunze kuongea na picha
Kama tunahitaji nafasi ya tatu basi kilichopo ni kushinda games zilizobakiTukishinda leo, game na Spurs itakuwa haina pressure kubwa sana as tutakuwa 4points clear na pressure itaongezeka kwa Chelsea as watakuwa a point clear.
Japo hawa Leeds wana mpira fulani hivi, usipoangalia wanakuweka.
Mimi nawahofia, ila tukishinda leo game na spurs itakuwa na pressure ndogo kidogo.Hatujawahi kufungwa na leeds.
Watakuja na hasira na confidence kutokana na mzunguko wa kwanza tulishinda ila tulionekana shaky.
So watakuja kutaka kuprove.
Wako na form mbovu kipindi hichi ila wanapambania uhai so hawana cha kupoteza. Watacheza ile ile style ya kushambulia mwanzo mwisho, ni juu yetu kupambana na kutuliza akili.
Hivi hawa aseno wana hata ka UCL kamoja ..?Niwakumbushe tu kuwa UCL trophy inafanania hivi
View attachment 2216010
Hivi hawa aseno wana hata ka UCL kamoja ..?


hawa wameridhika na makombe ya Arteta. Haiondoi ukweli kua mmetoka kufungwa nne bila ikabidi mpaki basi ili zisiongezekeLeed united wana jambo lao leo saa kumi alasiri.
Leeds United hawana jukwaa humu ila leo tutawawakilisha humuhumu kwenye sebule yenu.
Yaani mtu utakuwa na 36 mwenzako37, bado unasema hutakuwa na presha!?. DuuhTukishinda leo, game na Spurs itakuwa haina pressure kubwa sana as tutakuwa 4points clear na pressure itaongezeka kwa Chelsea as watakuwa a point clear.
Japo hawa Leeds wana mpira fulani hivi, usipoangalia wanakuweka.
Unakimbiaga wewe badaeLeed united wana jambo lao leo saa kumi alasiri.
Leeds United hawana jukwaa humu ila leo tutawawakilisha humuhumu kwenye sebule yenu.
Tomiyasu ndo anacheza LB?
Kimahesabu kama tunamfunga Leeds leo, tutakutana na spurs tukiwa na points 66 huku wao wana 62. Hilo litapunguza pressure kwa arsenal.Yaani mtu utakuwa na 36 mwenzako37, bado unasema hutakuwa na presha!?. Duuh
Cedric