Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Si hamumtaki jaman ?Sarakasi zimeanza?
Si hamumtaki jaman ?Sarakasi zimeanza?
Namaanisha zile sarakasi za 'tunamtaka fulani, negotiations done, bid submitted...- tunadhani mchezaji anatua emirates kesho asubuhi...Ghafula story ingine inatokea. That's what i meant. Jesus si mbaya kwa nketiah, hapo sina shida. Mie nilihoji zaidi juu ya kumtaka abraham.Si hamumtaki jaman ?
Usajiri ndio ulivyo kote duniani,Namaanisha zile sarakasi za 'tunamtaka fulani, negotiations done, bid submitted...- tunadhani mchezaji anatua emirates kesho asubuhi...Ghafula story ingine inatokea. That's what i meant. Jesus si mbaya kwa nketiah, hapo sina shida. Mie nilihoji zaidi juu ya kumtaka abraham.
will nilimuelewa. Je Tammy yupoje kwenye pace, strength, dribbling? Maana naamini epl inahitaji pace na skills kwa striker. Pace ndo ilimfanya giroud aanze kuandamwa na mashabiki ingawa idara zingine alikuwa mzuri.Usajiri ndio ulivyo kote duniani,
Abraham nimemuangalia dhid ya Leicester juz, Kuna kitu Arteta kaona kwake ,
Btn the lines wanaomkataa Abraham ,sababu zao Ni sababu alitokea chelsea , mm napenda sababu technically , vipi anafit au hafit , Kama Will Jr anavyotoa mitizamo
Strikers wote tunaowataka chunguza utagundua Ni warefu, hiyo Ni sifa moja wapo , Nyingine awe ana weza kulink up,
mwamba kapitia maisha yetu huku sisi kina rashidi wa tandika tunavyoteswa na kina mwajuma tukosapo hela ya miguu na vichwa vya kuku.Wakati wa Kombe la dunia 2014 huko Brazil, Gabriel Jesus alikuwa ni Kijana wa Mtaani tena aliyepata kibarua cha Kupaka rangi kuupendezesha Mji. Leo hii Gabriel Jesus ni Mchezaji wa timu kubwa tena anayelipwa pesa nyingi. Ukiona njia inazidi kuwa ngumu jua Mafanikio yamekaribia.
Wakati huu ndiyo yule mpenzi wake alikuwa hapokei simu zake kwa sababu jamaa kachacha na maisha. Sasa hivi GJ anamkumbusha kila akifuga goli kwa ishara ya simu sikioni.
View attachment 2205682
View attachment 2205683
Upo sahihi, hivo vitu vinahitaji muda kumchunguza,will nilimuelewa. Je Tammy yupoje kwenye pace, strength, dribbling? Maana naamini epl inahitaji pace na skills kwa striker. Pace ndo ilimfanya giroud aanze kuandamwa na mashabiki ingawa idara zingine alikuwa mzuri.
hii story glory hunters (man city fans) wa group fulani la whatsapp la epl walipenda kuisambaza miaka ya nyuma. Sikuifuatilia pamoja na kuwa inspirational ila nilihisi watu walizidisha chumvi kumfanya aonekane hakuwa mchezaji 2014. Meaning lazima kulikuwa na team hata semi pro anaichezea. Kupaka rangi ikawa ni dili la kujiongezea kipato. Siyn kijana wa mtaani.Wakati wa Kombe la dunia 2014 huko Brazil, Gabriel Jesus alikuwa ni Kijana wa Mtaani tena aliyepata kibarua cha Kupaka rangi kuupendezesha Mji. Leo hii Gabriel Jesus ni Mchezaji wa timu kubwa tena anayelipwa pesa nyingi. Ukiona njia inazidi kuwa ngumu jua Mafanikio yamekaribia.
Wakati huu ndiyo yule mpenzi wake alikuwa hapokei simu zake kwa sababu jamaa kachacha na maisha. Sasa hivi GJ anamkumbusha kila akifuga goli kwa ishara ya simu sikioni.
View attachment 2205682
View attachment 2205683
Ni kweli kwa Brazil ,Kuna timu alikuwa anacheza, sema kipato chake kilikuwa kidogohii story glory hunters (man city fans) wa group fulani la whatsapp la epl walipenda kuisambaza miaka ya nyuma. Sikuifuatilia pamoja na kuwa inspirational ila nilihisi watu walizidisha chumvi kumfanya aonekane hakuwa mchezaji 2014. Meaning lazima kulikuwa na team hata semi pro anaichezea. Kupaka rangi ikawa ni dili la kujiongezea kipato. Siyn kijana wa mtaani.
alivyoumia tu ikasemekana huyu jamaa kumuona tena next seasonI miss thomaspartey
💔Arteta just gave us a updated he might not be back this season for Arsenal
View attachment 2205758
Ameanza mazoez mepes , ikasemekana huenda mech mbili za mwisho akawepoalivyoumia tu ikasemekana huyu jamaa kumuona tena next season
No one knows tomorrow aseeee daaaah lifeWakati wa Kombe la dunia 2014 huko Brazil, Gabriel Jesus alikuwa ni Kijana wa Mtaani tena aliyepata kibarua cha Kupaka rangi kuupendezesha Mji. Leo hii Gabriel Jesus ni Mchezaji wa timu kubwa tena anayelipwa pesa nyingi. Ukiona njia inazidi kuwa ngumu jua Mafanikio yamekaribia.
Wakati huu ndiyo yule mpenzi wake alikuwa hapokei simu zake kwa sababu jamaa kachacha na maisha. Sasa hivi GJ anamkumbusha kila akifuga goli kwa ishara ya simu sikioni.
View attachment 2205682
View attachment 2205683
Mkuu, hivi unajua Olivier Giroud alikuwa mbele ya muda? I'm telling you, Giroud ni aina ya Forward ambaye Mikel Arteta na Pep Guardiola wanawahitaji leo.will nilimuelewa. Je Tammy yupoje kwenye pace, strength, dribbling? Maana naamini epl inahitaji pace na skills kwa striker. Pace ndo ilimfanya giroud aanze kuandamwa na mashabiki ingawa idara zingine alikuwa mzuri.
Sio miaka hii, nadhan ilikuwa kipind Cha Poch, tot alishinda 4-1
Baada ya hapo sijawahi kuona mech za Liverpool Refa Oliver , Liverpool kapoteza
KabisaMkuu, hivi unajua Olivier Giroud alikuwa mbele ya muda? I'm telling you, Giroud ni aina ya Forward ambaye Mikel Arteta na Pep Guardiola wanawahitaji leo.
North london derby sijui itakuaje bila Partey, Elneny inabidi kustep up sina shaka na Xhaka, na Spurs watakuwa aggressive sana hiyo mechi. Wachezaji inabidi walevel-up mentally, quality wise najua watatuzidi plus home atmosphere ila tactically watakaa.I miss thomaspartey
Arteta just gave us a updated he might not be back this season for Arsenal
View attachment 2205758
Pace tu ndo ilimsumbua ila alikuwa matata sana. Super strong hasukumiki. Hapati majeraha kizembe, link up za kistar na anaweza funga kila aina ya goli. Shida ni mara chache mtafanikiwakwa quick counters. Tulihitaji slow buildup. Angekuja mtu kama adebayor wa top form with better finishing tunamaliza. Jamaa alikuwa na pace na strength. Basically alikuwa giroud mwenye mbio ila alipungukiwa quality link up na goalscoring za giroud.Mkuu, hivi unajua Olivier Giroud alikuwa mbele ya muda? I'm telling you, Giroud ni aina ya Forward ambaye Mikel Arteta na Pep Guardiola wanawahitaji leo.