Mzee bado unabumba bumba tu vineno ili mawazo yako yawe sahihi.
Haya tufanye wewe ndio upo sahihi zaidi.
Kukusaidia tu, maana ya team naifahamu na huo ubora wa ronaldo nauzungumzia kwenye timu, sio mchezo wa gombania goli, kivyovyote vile bado ronaldo na uzee wake ni bora kuliko nketiah mara elfu, kaishathibitisha hiki kwenye timu tofauti, na ninacholenga mimi, katika timu yetu ambayo tunatengeneza clear chances zaidi ya 5 kisha hatupati goli, tunahitaji mtu wa kubadili clear chance kuwa goli.
Kwahiyo unataka kusema ronaldo ndio kaifanya Manchester iwe hovyl!?



, kuwa serious mzee, haya huyo ronaldo kaondoka juve kawaacha na hali gani, kwahiyo ronaldo ndio kamfanya MAGWAYA awe MABOKOLIKOLO, hivi we ronaldo unamjua kweli, isije kuwa unamzungumzia jamaa mmoja tu hapo mtaani kwenu anajiita ronaldo, mimi namzungumzia CRISTIANO RONALDO, CR7. umecheki game ya chelsea!?
Sasa nakuuliza swali, je kivipi cr7 anaigharimu timu ama kaifanya kuwa mbovu kama ulivyodai hapo juu, with vivid examples au iwe mathematically proved
Uzee wa ronaldo sio ujana wa nketiah, ronaldo na uzee wake bado mpambanaji kuliko huyu mtoto wa juzi, mtoto yupo uwanjani karidhika kabisa, timu inatoka bila matokeo huoni hata nafsi yake kuwa na masononeko, ahhh, we mzee wewe(in sheikh kipozeo's voice)