Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Huyu naona tutamfaid tukicheza na mabeki watatu, Zaid ya mara 2 Arteta amekuwa akikasirrika anamtoa mapema , ilifika muda anaona Bora Xhaka acheze LB , kuliko Tavares, kuumia kwa Partey tu ndio kumempa ahuen dogo apate namba Tena , lasivyo niliona Arteta anaona Bora atembee na Xhaka Kama LBHalafu kinachomponza watu wa upande wake Xhaka na Emile wote hawana pace kwahiyo inakua ngumu kumzibia mapengo tukipigwa counter.
Na Maelezo ya Arteta juz kusema Tomiyasu hata LB anaweza kuicheza , leo Tavares akizingua huenda tukaanza kukuona Tomiyasu LB , na Cedrid akae delea RB
