Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Halafu kinachomponza watu wa upande wake Xhaka na Emile wote hawana pace kwahiyo inakua ngumu kumzibia mapengo tukipigwa counter.
Huyu naona tutamfaid tukicheza na mabeki watatu, Zaid ya mara 2 Arteta amekuwa akikasirrika anamtoa mapema , ilifika muda anaona Bora Xhaka acheze LB , kuliko Tavares, kuumia kwa Partey tu ndio kumempa ahuen dogo apate namba Tena , lasivyo niliona Arteta anaona Bora atembee na Xhaka Kama LB

Na Maelezo ya Arteta juz kusema Tomiyasu hata LB anaweza kuicheza , leo Tavares akizingua huenda tukaanza kukuona Tomiyasu LB , na Cedrid akae delea RB
 
Siku hizi ipo hivyo?

Nakumbuka around 2019/ 20 kulikua na debate juu ya aliye nje ya top 4 epl akichukua europa
Walibadilisha hiyo sheria , hata mwaka ule Mourinho anachukua Europa na man u alimaliza wa 6 akaenda UCL , timu nne za juu zikaenda nazo ucl ,jumla 5,

Sawa na mwaka Jana Spain zimeenda 5

Kwasasa tunahitaji mno tushinde mech 2 zinazofata then tumuone tot yupo wapi

Tukifuzu UCL tutakuwa na pull kubwa kwenye kuvuta wachezaji na Kroenke ameahid kutoa hela

Kama without UCL last window alitoa £150m , January arsenal walikuwa tyr kumnunua Dusan kwa €80m , Ni dhahiri pesa ipo

Tuiombee timu yetu irud UCL , halafu kuanzia msimu nadhan ujao , Arsenal na man u zikimaliza hata nafas ya 5 zinaenda UCL sababu ya Point za ushiriki wait UCL ,
 
Tavares ana pace ila haitumii kumsaidia kukaba yeye anaitumia kuestablish presence yake kwenye box la mpinzani.
Wachezaji Kama hawa Ni Kama Alonso wa Chelsea , hawajui kukaba kabisa , uzuri wa Alonso anajua kupiga na kufunga ,

Tavares ana pace ,anajua kufinya , ila mashuti Ni zero,

Mech ya Chelsea kapewa pass na Cedrid ,goli analiona alipiga utumbo, mech ya man u kamfinya mtu kwenye box , kapiga shut utumbo

Akirekebisha hayo maeneo atakuwa vzr
 
Alibakwa nne kavu.
Leo natema nyongo kidogo hehehe. Aise sipendi kabisa watu wakitumia ubakaji kama kuonesha ushindi wa mpira. Sipendi yani acha kabisa. Naona ni kama watu wanabeza rape na rape ni serious issue siyo ya kufanyia mzaha.
Surprizingly, death, kama 'leo tunamchinja west ham hadi afe', naichukulia poa tu na mimi naitumia. Death jokes kwa sport ziko poa tu ila rape jokes, acha kabisa
 
Arteta juz kasema Tomiyasu anaweza pia kucheza LB ,hivo tusishangae Leo akaanza Kama LB maana tavares bado hajaimarika, dogo angekuwa Makin mech ya Chelsea angefunga, mech ya man u angetoka na goli 2

Huyu naona Ni mzuri akicheza Wingback , maana kukaba Ni mbovu sana , kushambulia anaweza , kwenye kushuti mbovu

Kuna vitu anahitaji abadilike
Anakua kama Achraf Hakimi. Madrid walimuacha Hakimi kwa sababu hizi
 
Wachezaji Kama hawa Ni Kama Alonso wa Chelsea , hawajui kukaba kabisa , uzuri wa Alonso anajua kupiga na kufunga ,

Tavares ana pace ,anajua kufinya , ila mashuti Ni zero,

Mech ya Chelsea kapewa pass na Cedrid ,goli analiona alipiga utumbo, mech ya man u kamfinya mtu kwenye box , kapiga shut utumbo

Akirekebisha hayo maeneo atakuwa vzr
huyu dogo anahitaji extra sessions mazoezini kwenye finishing na defending. Ana mbio na mapafu ya mbwa kama kante, atakuja kuwa mkali sana akifocus kwenye hizo idara.
 
Westham akichukua Europa automatically anaingia Uefa.

Hivyo timu ya nafasi ya nne (kwa sasa Arsenal) itabidi iende Europa kumpisha Westham UCL.

Kuepuka hili ni ama kupiga dua Westham asipige hatua kwenda final dhidi ya Frankfurt au akipiga asichukue kombe au Arsenal kujibana iende nafasi ya tatu.

Westham tunakutana nao leo kama kocha wao ni Carlo ataamua kufocus na game ya Alhamis anaweza pumzisha baadhi ya wachezaji haswa kwa madai ya kua ana majeruhi CB ili akashinde game dhidi ya Frankfurt. Ama la atakuja kama alivyo Trophy be damned.
Westham kwenda fainali ni kazi saana, na kuingi fainali na kuchukua kombe ni kazi zaidi kama fainali atakutana na Leipzig, ambae mpaka sasa kwangu ana nafasi kubwa kufika final
Hapa kwa Frankfurt sidhani kama atachomoka

Lakini pia mzee mwenzangu sio kuwa zitaenda timu 5, ama sheria imebadilishwa? .
 
Westham akichukua Europa automatically anaingia Uefa.

Hivyo timu ya nafasi ya nne (kwa sasa Arsenal) itabidi iende Europa kumpisha Westham UCL.

Kuepuka hili ni ama kupiga dua Westham asipige hatua kwenda final dhidi ya Frankfurt au akipiga asichukue kombe au Arsenal kujibana iende nafasi ya tatu.

Westham tunakutana nao leo kama kocha wao ni Carlo ataamua kufocus na game ya Alhamis anaweza pumzisha baadhi ya wachezaji haswa kwa madai ya kua ana majeruhi CB ili akashinde game dhidi ya Frankfurt. Ama la atakuja kama alivyo Trophy be damned.
Mkuu haupo serious au?
Mbona ipo wazi top4 na anaechukua Europa wote ni uefa

Kuna msimu, laliga walipeleka timu tano.
 
Westham kwenda fainali ni kazi saana, na kuingi fainali na kuchukua kombe ni kazi zaidi kama fainali atakutana na Leipzig, ambae mpaka sasa kwangu ana nafasi kubwa kufika final
Hapa kwa Frankfurt sidhani kama atachomoka

Lakini pia mzee mwenzangu sio kuwa zitaenda timu 5, ama sheria imebadilishwa? .

Zitaenda 5, sheria hii ilianza 2018/2019

Mkanganyako ni endapo bingwa wa Champions League (pamoja na) or at the same time bingwa wa Europa wote wakikosa nafasi katika nafasi 4 za juu hapa ndio mwenye nafasi ya 4 ataondolewa.

Lets say Manchester City – UEFA
Lets say Westham United – Europa

Wote hawa wakitoka nje ya nafasi 4 basi aliyekuwa nafasi ya 4 atampisha City na yeye kuelekea Europa.
 
Leo natema nyongo kidogo hehehe. Aise sipendi kabisa watu wakitumia ubakaji kama kuonesha ushindi wa mpira. Sipendi yani acha kabisa. Naona ni kama watu wanabeza rape na rape ni serious issue siyo ya kufanyia mzaha.
Surprizingly, death, kama 'leo tunamchinja west ham hadi afe', naichukulia poa tu na mimi naitumia. Death jokes kwa sport ziko poa tu ila rape jokes, acha kabisa
Nimesoma social science. Sikubaliani na rape, gender based violence, breach of human rights na vingine vinavyochezea eneo hilo.

Pole na samahani
 
Hata Tavares hana pace aidha acceleration yake ndogo! Mechi dhidi ya Manchester United yule kijana Mswidi Elanga alimpita 2 times ndio nilikuja kuona kati ya haya mawili either pace au acceleration hana.
Tavares ana pace.

Kubwa kumzidi Bellerin, Cedric, Pepe ila anaachwa na Saka na Tierney.

Elanga asingeweza kukimbizana na Tierney.
 
mkuu huko hakuna Form 4, Saka alimaliza High school huo mwaka 2018 hiyo ni kama Advance level Kwa huku, na ukimaliza hiyo level na kutoboa ndio unaenda university

Kwahiyo dogo ana hazina ya kuja kuwa miongoni mwa wachezaji wenye taaluma kama ataamua kuendelea kusoma na kucheza mpira au asubiri amalize kwanza football career kisha aingie kula Shule
Nadhani ni perception level zinabadilika lakini UK inazo Secondary Schools na mfumo wake upo too strong kuwa level za high school kwa mataifa mengine ikiwemo US na Canada sema seystem ndio still ina apply grades with that Secondary schools kutokana na miaka ya kuzaliwa.

Namaanisha USA hawana FFU lakini SWAT Team ndio FFU Tanzania katika perception za utofauti.

Angalia Serikali ya UK yenyewe ikitanabaisha hapa 👇

 
Tavares ana pace.

Kubwa kumzidi Bellerin, Cedric, Pepe ila anaachwa na Saka na Tierney.

Elanga asingeweza kukimbizana na Tierney.
Bellerin once alikuwa the fastest footballer in the world, yes I agree sasa hana pace lakini Tavares hana hiyo pace tunayohitaji kuamini yupo nayo. Ni kweli Saka na Tierny ndio waliompita basi kwa mbali sana sana.

Pitia Elanga alivyokosa nafasi mbili za kufunga alikimbia tokea kati na huyo Tavares alikuwa sawia lakini aliachwa.
 
mkuu huko hakuna Form 4, Saka alimaliza High school huo mwaka 2018 hiyo ni kama Advance level Kwa huku, na ukimaliza hiyo level na kutoboa ndio unaenda university

Kwahiyo dogo ana hazina ya kuja kuwa miongoni mwa wachezaji wenye taaluma kama ataamua kuendelea kusoma na kucheza mpira au asubiri amalize kwanza football career kisha aingie kula Shule
hayo ni matokeo yake ya GCSE, ni o'level au year 11, sawa na form 4. A'level au year 13, sawa na form 6, wanafanya GCE (au IB nadhani). Ila pia hapo kati kuna AS Level, kama form 5, ambayo pia matokeo yake mtu anaingia nayo mwaka wa kwanza degree course. Watu wanaanza phd wakiwa vijana si kama huku mtu anaanza phd kashavuka 30 na hapo anaonekana mdogo
 
Bellerin once alikuwa the fastest footballer in the world, yes I agree sasa hana pace lakini Tavares hana hiyo pace tunayohitaji kuamini yupo nayo. Ni kweli Saka na Tierny ndio waliompita basi kwa mbali sana sana.

Pitia Elanga alivyokosa nafasi mbili za kufunga alikimbia tokea kati na huyo Tavares alikuwa sawia lakini aliachwa.
Yaani ni kwamba Tavares kwa Elanga atashindwa kwakua Elanga kamzidi Tavares lakini Tavares haachwi kisa pace pekee ila hana akili kubwa ya ulinzi
 
Yaani ni kwamba Tavares kwa Elanga atashindwa kwakua Elanga kamzidi Tavares lakini Tavares haachwi kisa pace pekee ila hana akili kubwa ya ulinzi
Nimekuelewa

Naona Tavares anaweza kuwa Winger Back zaidi kwa aina ya uchezaji wake aliwa tranformd, hata Sead Kolasinac alikuwa Winger Back.
 
Back
Top Bottom