computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Na wewe umeamini!Wazee wenzangu, napita kijiweni nakutana na tetesi za ronaldo kutakiwa na arteta, nimejaribu kucheli vyanzo vyangu vya uhakika kwa haraka haraka sijaona mahala, hebu nipeni habari kamili.
Sijaleta kama habari, nimeleta kama swali.Na wewe umeamini!
Hii Arsenal inayojengwa kwa vijana wachanga tuje kuchukua zee la miaka 60 linalomalizia kula pensheni yake kweli?
Real Madrid, Don Carlo si kocha mzuri kwa modern game that's why timu imerely kwenye individual quality, so bila Benzema/ Vini Jr/ Modric kustep up basi hakuna results, sasa huo sio mpira. Sipendi timu inayotegemea wachezaji Special, napenda timu icheze as Collective.Kama nimekuelewa hivi
Ila nisome hapa
Ukiwa na vijana kama saka, Rowe, nketiah
Kwenye backs kama za man city na Liverpool lazima watanyanyasika
Pitia game ya city vs Madrid
Utagundua umuhimu wa mtu kama benzema
Jana vijana wa unai walinyanyasika sana kwa backs za Liverpool
Hakuna kitu kama icho mkuu, huyu Ronaldo ndio aliyemfukuzisha Ole Solskjaer, hakuwa kocha mbovu kiasi kile, dingi wa watu alijenga timu Ronaldo akaja kaua kila kitu. Unajua Structurally huwezi kucheza na two luxury players, uwepo wa Pogba, Bruno & Ronaldo unainyima United balance, so solsjaer akafukuzwa. Ukitaka kuamini nachisema subiri Erik Ten-hag uone treatment yake kwa hawa wachezaji watatu itakuaje, utajifunza kitu.Sijaleta kama habari, nimeleta kama swali.
Ila uzee wa cr7 sio ujana wa nketiah, arsenal hii hii, kama tungekuwa na ronaldo kuna jambo kubwa lingekuwa limeongezeka mzee.
Tunatofautiana mnoo maono, unachosema wewe unakiona kuna usahihi lakini haifanyi kazi muda woote, kuna timu ishakuwa na staa zaidi ya mmoja na zikafamya vizuri tu.Hakuna kitu kama icho mkuu, huyu Ronaldo ndio aliyemfukuzisha Ole Solskjaer, hakuwa kocha mbovu kiasi kile, dingi wa watu alijenga timu Ronaldo akaja kaua kila kitu. Unajua Structurally huwezi kucheza na two luxury players, uwepo wa Pogba, Bruno & Ronaldo unainyima United balance, so solsjaer akafukuzwa. Ukitaka kuamini nachisema subiri Erik Ten-hag uone treatment yake kwa hawa wachezaji watatu itakuaje, utajifunza kitu.
Nimemwambia mkorea mchezaji anayeipa timu balance ni bora kuliko mchezaji mwenye uwezo binafsi kwa level ya juu ila haleti balance structurally, Tammy Abraham, on paper analeta balance that's why unaona Arteta anasumbuka naye since last summer window. So Ronaldinho na uwezo wake wote mkubwa ila kwa game ya leo usingeona anacheza timu ya pep Guardiola/ Jurgen klopp, why ? Simply, hakupi balance.
Psg ina Messi / Mbappe & Neymar lakini wanastruggle against Pep Guardiola's team, so na mzigo anatupiwa Pochettino kwamba kocha mbovu wakati timu ina three luxury players manake off ball timu inadefend na watu 7, kumbuka hii timu ilimshinda hata Thomas Tuchel masterclass, kwa game ya leo watu wanafanya zonal marking wanapress collective as a blanket sio man to man kama miaka ile, ukiwa na wachezaji lazy utapigwa na utapasuka hata ikiwa wana majina makubwa paka mbinguni wanajulikana.
Ulitakiwa kuelewa kwanza nini maana ya timu labda ungenielewa ninachojaribu kusema, hatufananishi ubora wa mchezaji mmoja mmoja, yes ofcourse, Ronaldo ni bora kuliko Nketiah, sio Nketiah tu ni bora kuliko hata Saka, ila Saka ni muhimu kwenye structure ya Arteta kuliko Ronaldo.Tunatofautiana mnoo maono, unachosema wewe unakiona kuna usahihi lakini haifanyi kazi muda woote, kuna timu ishakuwa na staa zaidi ya mmoja na zikafamya vizuri tu.
Mie nasema uzee wa ronaldo sio ujana wa nketiah wala abraham, ronaldo ni mtu mpambanaji haswaa, kuwa na mtu kama yule kwenye timu ni jambo jema saana.
Ulitakiwa kuelewa kwanza nini maana ya timu labda ungenielewa ninachojaribu kusema, hatufananishi ubora wa mchezaji mmoja mmoja, yes ofcourse, Ronaldo ni bora kuliko Nketiah, sio Nketiah tu ni bora kuliko hata Saka, ila Saka ni muhimu kwenye structure ya Arteta kuliko Ronaldo.
Kuwa na high individual quality hakukupi guarantee ya kuwa bora structurally, unaweza kumuangalia Nico pepe, au unahisi anaonewa kuwekwa bench na Bukayo Saka? Structurally Cavani ni bora kuliko Ronaldo, how? Ukianza na Cavani unashinda 1-0 unachukua point 3, ukiwa na Ronaldo anafunga goli 3 then unafungwa goli 4 na hupati point, so kipi bora? United ikiwa na Cavani Upfront ilimaliza 2nd, kaja Ronaldo sijui wapo nafasi ya ngapi now, itakuwa Ole Soskjaer ni mbovu, Btw simchukii Ronaldo najaribu kuandika tu.


, kuwa serious mzee, haya huyo ronaldo kaondoka juve kawaacha na hali gani, kwahiyo ronaldo ndio kamfanya MAGWAYA awe MABOKOLIKOLO, hivi we ronaldo unamjua kweli, isije kuwa unamzungumzia jamaa mmoja tu hapo mtaani kwenu anajiita ronaldo, mimi namzungumzia CRISTIANO RONALDO, CR7. umecheki game ya chelsea!?

Hapa naona kabisa mechi tatu mukipoteza ama kutoka draw. Ninyi bado siyo Uefa materialsTop 4
Tunahitaji ushindi wa mechi tatu tubaki top 4
Na huo ushindi moja wapo tumfunge spurs
Spurs pia ataangusha point kwa Liverpool
Arteta na vijana wake wafanye kila linalowezekana hapa
#COYGView attachment 2204395
Hahahahaha eti magwiji haha ..😂😂😂 labda magwiji ya matusi hahaha
Hakuna hizo habari ,ila Kama chance ipo ya kumpata ,unamchukuaWazee wenzangu, napita kijiweni nakutana na tetesi za ronaldo kutakiwa na arteta, nimejaribu kucheli vyanzo vyangu vya uhakika kwa haraka haraka sijaona mahala, hebu nipeni habari kamili.
Kwanzia Sasa tukiacha "Arse8" kwa Sasa litakuja "Matusi FC"
Hakuna namna Sasa maana matusi yamezidi humu.
Sawa sawa mzee.Hakuna hizo habari ,ila Kama chance ipo ya kumpata ,unamchukua
Hata pep alipopata hiyo nafas aliichangamkia ,, Man u yakamuharibia
Mwisho wa msimu huu ndio utakuwa mwisho wa refa wetu dhidi ya Westham, kuchezesha EPL, Mike Dean. Marefa wengine watakao staafu ni Jon Moss, Martin Atkinson na Andre Mariner. Hawapotei kabisa watakuwa VAR.
Wewe uta-miss nani kati ya hao?
Mwisho wa msimu huu ndio utakuwa mwisho wa refa wetu dhidi ya Westham, kuchezesha EPL, Mike Dean. Marefa wengine watakao staafu ni Jon Moss, Martin Atkinson na Andre Mariner. Hawapotei kabisa watakuwa VAR.
Wewe uta-miss nani kati ya hao?
Yaaap oliver nae uwa upande wetu sanaYani hilo Jon Moss bora listaafu lisipendagi kwelikweli likichezesha game zetu.
Mungu azidi kumueka Michael Oliver akichezesha mechi zetu ushindi lazima.