Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Mbona huelewi , sajiri 1 or 2 ni zile za kutumia hela kubwa , hizo zinajulikana ni 70-80Sasa kama unakubaliana na mimi kwamba sajili 1 au 2 hazitoshi mbona tena unashangaa ninaposema tunahitaji zaidi? Na unadai nimuamini kocha kwa huo usajili mmoja atakaofanya?
Sajiri za 50 hata msimu uliopoita wamemnunua ben white
Sajiri kama kina Jesus 30, Tieleman 25, Neves 40, sio big signing
Hizo 1 or 2 ni hao wanaotajwa kama Nunez bila 70-80 Ngumu, Osmhen 70-80 ,