Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa kama unakubaliana na mimi kwamba sajili 1 au 2 hazitoshi mbona tena unashangaa ninaposema tunahitaji zaidi? Na unadai nimuamini kocha kwa huo usajili mmoja atakaofanya?
Mbona huelewi , sajiri 1 or 2 ni zile za kutumia hela kubwa , hizo zinajulikana ni 70-80

Sajiri za 50 hata msimu uliopoita wamemnunua ben white

Sajiri kama kina Jesus 30, Tieleman 25, Neves 40, sio big signing

Hizo 1 or 2 ni hao wanaotajwa kama Nunez bila 70-80 Ngumu, Osmhen 70-80 ,
 
Huyu jamaa binafs simkubali ,japo yupo naona kwenye list ya wanaotajwa

Kuhusu red card sio kweli, huyu jamaa ana Red card moja tu nadhan ndan ya misimu miwili
Osimhen muafrika. Partey muafrika yakija mashindano ya Afcon timu itakosa watu muhimu wawili.

Anaweza asije
 
Hoja ipi vipi?

Tulihitaji AM akaja DM.

Nikaita usajili wa DM ni panic buy na utatusumbua kupata magoli ila atatusaidia ulinzi.

Na ikawa hivyo.

Hapo unataka hoja gani?
Ninachokumbuka Arsenal waliwataka wote Partey na Aouar , usajiri wa Aouar ukawa mgumu, umepelekea had kabadilisha wakala , ile bei waliyoitaka Hakuna aliyeenda kuilipa sio Arsenal Wala Juve waliyemtaka
 
Mbona huelewi , sajiri 1 or 2 ni zile za kutumia hela kubwa , hizo zinajulikana ni 70-80

Sajiri za 50 hata msimu uliopoita wamemnunua ben white

Sajiri kama kina Jesus 30, Tieleman 25, Neves 40, sio big signing

Hizo 1 or 2 ni hao wanaotajwa kama Nunez bila 70-80 Ngumu, Osmhen 70-80 ,
Haya sawa
 
Osimhen muafrika. Partey muafrika yakija mashindano ya Afcon timu itakosa watu muhimu wawili.

Anaweza asije
Uache kusajiri mwafrika mzuri kisa afcon utawakosa kwa mech 3-4 ?

Na sidhan kama hi Afcon itaendelea kucheza January tena
 
Ninachokumbuka Arsenal waliwataka wote Partey na Aouar , usajiri wa Aouar ukawa mgumu, umepelekea had kabadilisha wakala , ile bei waliyoitaka Hakuna aliyeenda kuilipa sio Arsenal Wala Juve waliyemtaka
Usajili ulikua mgumu kutokana na wakala kutaka pesa nyingi mno ila kabla bodi iliamini inamchukua Partey na Aouar ikatengeneza hadi video
 
Waliokua wanatukana usajili wa White walikua mashabiki wa united wakimfananisha Varane na White. Sisi mashabiki wa Arsenal ambao hatukujipiga ban kama wewe tulikua tunamtetea White kwenye uzi wa united na kwenye uzi huu.

Tukaonyesha kasoro za Varane na kwanini White kasajiliwa.

Maddison ni long shot merchant na kwa kumbukumbu zangu ni mtu mmoja tu humu alikua anasema atafaa Arsenal. Price tag yake ilikua wizi na wengi tukaridhia kuachana naye kwa hiyo price tag.

Odegaard alikua hovyo. He had his moments ambazo wengi tulikubaliana kua jamaa ana quality ila tutahitaji muda naye.

Wakati Ramsdale anakuja zaidi ya stats alikua na nini kingine? Arteta alisema attitude akifungwa. Mimi str8 up nilisema Aaron siyo shot stopper, kwa magoli anayoconcede sioni wapi nimeongopa.

Arteta alimess up usajili akasababisha wewe ujifiche, sisi tulibaki hapa hapa. Leo umerudi unaanza kuandika as if una hati miliki na timu
Mbona unanishambulia mm badala ushambulie hoja , au unataka niwe nabishana na ww humu ndio uone sawa,

Mm nilikuwepo humu kabla hujaja humu, ukiona sipo humu ni personal issue zangu ,

Lini Nilisema Arteta alimess usajiri humu nikaondoka ,?

Mm nilimuamini day one Arteta kwa maneno ya Pep na Arsene Wenger ,

Ramsadale stats zinaonesha ni moja ya top stopper , na nilishakuletea humu,

Goli mfano alilofungwa na Liverpool, arteta alikuwa kumtetea alikuwa injury baada ya half time

Shambulia hoja usinishambulie Mimi
 
Maddison ni long shot merchant na kwa kumbukumbu zangu ni mtu mmoja tu humu alikua anasema atafaa Arsenal. Price tag yake ilikua wizi na wengi tukaridhia kuachana naye kwa hiyo price tag.
Maddisson ukitoa ile price tag yake ni mchezaji mzuri sana, na tunamuhitaji ,
 
Usajili ulikua mgumu kutokana na wakala kutaka pesa nyingi mno ila kabla bodi iliamini inamchukua Partey na Aouar ikatengeneza hadi video
Sasa usajiri wa Partey haujalipa au kusaidia kikos? Pamoja na kumkosa AM
 
Mbona huelewi , sajiri 1 or 2 ni zile za kutumia hela kubwa , hizo zinajulikana ni 70-80

Sajiri za 50 hata msimu uliopoita wamemnunua ben white

Sajiri kama kina Jesus 30, Tieleman 25, Neves 40, sio big signing

Hizo 1 or 2 ni hao wanaotajwa kama Nunez bila 70-80 Ngumu, Osmhen 70-80 ,
Nadhani hiyo ni interpretation yako,inaweza ikawa sio anachomaanisha Edu
 
Mbona unanishambulia mm badala ushambulie hoja , au unataka niwe nabishana na ww humu ndio uone sawa,

Mm nilikuwepo humu kabla hujaja humu, ukiona sipo humu ni personal issue zangu ,

Lini Nilisema Arteta alimess usajiri humu nikaondoka ,?

Mm nilimuamini day one Arteta kwa maneno ya Pep na Arsene Wenger ,

Ramsadale stats zinaonesha ni moja ya top stopper , na nilishakuletea humu,

Goli mfano alilofungwa na Liverpool, arteta alikuwa kumtetea alikuwa injury baada ya half time

Shambulia hoja usinishambulie Mimi
Hakuna sehemu nimeandika kwamba ulisema Arteta kamess up kwenye usajili.
 
Nadhani hiyo ni interpretation yako,inaweza ikawa sio anachomaanisha Edu
Kwa Mahojihano yake akiyofanya wewe unayaelewaje?

Arsenal technical director Edu has confirmed that he is 'excited' for the club's plans in the summer transfer window. The Gunners spent £150million on six new signings last summer as they became Europe's biggest spenders.

football.london understands that Manchester City forward Gabriel Jesus and Roma frontman Tammy Abraham are among the shortlisted profiles who could arrive at Emirates Stadium this summer. Jesus in particular remains open to leaving the current Premier League champions, with his representative holding talks with Edu throughout the past few months.


Former Chelsea forward Abraham has scored 15 goals in Italy this season and was previously the subject of enquiries from Arsenal in January. It's expected that the Gunners will focus on bringing in two marquee names this summer, although football.london understands that Edu has not ruled out bringing additional players in.




"The budget we used last summer, we prefer to use it to rebalance the squad, there was no point in hiring one or two players [in January], the squad was not prepared to absorb two players, we needed to rebalance the squad," Edu told ESPN Brasil. "Maybe next season we can go to one or two players.

"Today we find a much more balanced squad. Our planning has already been done, it has already reached the owners.
 
Nadhani hiyo ni interpretation yako,inaweza ikawa sio anachomaanisha Edu
Kwangu mimi big signings ni mchezaji ambaye ni world class au well established au ana potential na siyo price tag pekee.

Arsenal tumelipa 70M kwa Pepe. United wamelipa 80M kwa Maguire na 90M kwa Pogba. Chelsea wamelipa 70M kwa Kepa, 90M kwa Lukaku. City kalipa 100M kwa Grealish.
 
Hii ni bei imetajwa kwenye fununu. Bado hatujapewa gharama rasmi katika fununu nilizoziona mimi imetajwa 50M na mshahara wa 6M kwa mwaka.

Kwa sasa analipwa 3.5M so tunamzidishia 2.5M mchezaji ambaye alipotoka amekua second choice. Na ilitakiwa uletwe mbadala wake for seasons

Mkuu kama hutojali unaweza kunitajia mchezaji ambae ni first choice katika nafasi ya Jesus? Maana kama umemuita Jesus nisecond choice bila Shaka first choice utakuwa unamfahamu

Kutokana na rotation anayofanya pep kusema ukweli me sijababahatika kumjua mchezaji ambae ni first choice wa nafasi ya Gabriel Jesus, hebu nitoe matongo tongo mkuu ni nani huyo?
 
Mkuu kama hutojali unaweza kunitajia mchezaji ambae ni first choice katika nafasi ya Jesus? Maana kama umemuita Jesus nisecond choice bila Shaka first choice utakuwa unamfahamu

Kutokana na rotation anayofanya pep kusema ukweli me sijababahatika kumjua mchezaji ambae ni first choice wa nafasi ya Gabriel Jesus, hebu nitoe matongo tongo mkuu ni nani huyo?
Alikua Aguero sijajua umeanza lini kufuatilia mpira ila City hiyo namba ya Jesus ilikua ya mchezaji anaitwa Aguero.

Baada ya Aguero kuondoka Pep akasema anahitaji striker (Huku Jesus yupo) na akawa anamtaka Kane. Na ndicho kipindi hicho akaanza hizo rotations za mara kamuweka Ferran, Phoden, Sterling na huku Jesus yupo benchi.

Kwahiyo wewe umeanza kuiona City baada ya Aguero kuondoka ndiyo ukawa unaona hizo rotation ila wakati Aguero yupo namba ilikua ya Aguero na Jesus alikua second choice.

Msimu huu City inamtaka Haaland na Jesus ndiyo kaamua kuondoka as ataendelea kua second choice
 
Mkuu kama hutojali unaweza kunitajia mchezaji ambae ni first choice katika nafasi ya Jesus? Maana kama umemuita Jesus nisecond choice bila Shaka first choice utakuwa unamfahamu

Kutokana na rotation anayofanya pep kusema ukweli me sijababahatika kumjua mchezaji ambae ni first choice wa nafasi ya Gabriel Jesus, hebu nitoe matongo tongo mkuu ni nani huyo?
Hata mm nimeshangaa maana kwa pep ni wachezaji wawili tu ndio naonaga wana uhakika wa namba ederson na rodri ,kwa mbali anafatia KDB wengine wote ni rotation tu, Tena hiyo false 9 ya pep , wanacheza wachezaji si chini ya watano , KDB, Foden, Sterling,Jesus, Silva

Hivo ni Ngumu kusema fulani ni First choice katika ST kwa pep ,
 
Back
Top Bottom