Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu jamaa ni kweli alienda psg, angekuwa muungwana angebaki huko huko ,na si kusumbuana na watu humu
Kuna ubaya nkiwa PSG na Arsenal?sababu sioni kama timu yetu ya Arsenal ya sasa ina cha kujivunia kama unavyotaka kusema but tunaipenda because ndio among the first teams ambazo tunakua tunashuhudia zinacheza Arsenal sio(Bayern Munich Real Madrid Manchester City)bro so relax
 
I told you Arsenal tuna brilliance ya kumshinda yeyote na mifano nikakupa.

Too bad hukushuhudia. At least unashuhudia hizi wiki mbili.
Huyu ni malaya tu wa kimpira. Atasubiri timu ifungwe aje na migazeti yake hapa kumdiss kocha
 
Fuatilieni wanaume wanacheza kule community stadium kuchukua nafasi mliowashikia kwa muda wa masaa
 
I told you Arsenal tuna brilliance ya kumshinda yeyote na mifano nikakupa.

Too bad hukushuhudia. At least unashuhudia hizi wiki mbili.
Timu yenyewe mnabihsania ni Arsenal, leo kwenye stuli, kesho benchi na keshokutwa ICU. Hadi mnatukanana kwa sababu ya timu isiyotabirika> OK tuone bado mechi kadhaa
 
Oya naona mnasifia wachezaji mnaowapenda tu, Castr na Elneny & isajorsergio na Xhaka, ok, mi nipo na Bukayo saka, the best RW in the league apart from MO Salah
Mi hua nasifia wachezaji ambao mchango wao huuoni mpaka ufocus kumtazama yeye tu.
 
Timu yenyewe mnabihsania ni Arsenal, leo kwenye stuli, kesho benchi na keshokutwa ICU. Hadi mnatukanana kwa sababu ya timu isiyotabirika> OK tuone bado mechi kadhaa
Lembua wewe bado mdogo sana huwezi elewa
 
Back
Top Bottom