Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Siwezi kuwa na majibu ya kichwani mwa pep lkn naweza kujibu kutokana na mazingira ya football:-

1. Yawezekana anataka kumuuza kwa kuwa hampi kile kitu anachokitaka/alichokitarajia na inaweza yasiwe magoli peke yake maana km issue ingekuwa ni magoli basi misimu kadhaa asingeachana na aguero na kubaki na Jesus

2. Anahitaji kuongeza striker hivyo kupunguza gharama inamfanya aondoe mtu ili mwingine apate nafasi na kwa vile pep sio muumini wa strikers hivyo haoni sababu ya kuwa na idadi kubwa ya striker ambao hawezi kuwatumia. Kumbuka pep ni muumin mkubwa wa viungo ndo maana utakuta anaweza cheza gem bila striker hata moja.

3. Inaweza kuwa ni sababu ya mchezaji mwenyewe baada ya kuona pale City kuna ushinadani mkubwa na hakuna mwenye uhakika wa namba ya kudumu hivyo akaona bora kuomba kuondoka ili aende sehemu ambayo ushindani sio mkubwa hivyo anaweza akapata fursa ya kucheza/uhakika wa namba.

Na kumbuka kuwa mchezajia anapohama timu sio kwamba ni mbovu ila kuna sababu zinazomfanya asifanye vzr lkn akienda sehemu nyingine anafanya vzr hapo sina hata haja ya kutoa mifano maana ipo mingi mno. Haya na wewe tuambie unadhani kwanini pep anataka kumwachia Jesus
Ok my question naona umekimbia hili why Guardiola anatoa Mamilioni ya Paund kwa ajili ya Haaland?wakati ana JESUS?uliyoyasema sijakataa but why ana spend more than 100M Paund wakati JESUS yupo ?why?

For example Kane angekuwa amepatikana last season Manchester City unafikiri Pep angetoa more than 100 M paund?this season?no nway sitaki kubelieve hili
 
Ok my question naona umekimbia hili why Guardiola anatoa Mamilioni ya Paund kwa ajili ya Haaland?wakati ana JESUS?uliyoyasema sijakataa but why ana spend more than 100M Paund wakati JESUS yupo ?why?

For example Kane angekuwa amepatikana last season Manchester City unafikiri Pep angetoa more than 100 M paund?this season?no nway sitaki kubelieve hili
Hii timu banaaa kocha pamoja na mashabiki wake kipaumbele chao kikubwa ni kuwepo kwenye top4, hawawazi kabisa juu ya ubingwa wa EPL.
Kwa kukuthibitishia hilo angalia leo jinsi mashabiki walivyo na furaha utafikiri wamechukua kombe la ligi.
Mbaya zaidi yanasahau kabisa kua hamna uhakika kama wataweza kumaintain kumaliza ligi wakiwa kwenye hio nafasi ya 4 maana Tottenham yupo nyuma yao kwa ukaribu sana.
Ukiwaambia ukweli wanaanza kukushambulia tena kwa matusi machafu kabisa kisa tu umewaeleza hali halisi jinsi ilivyo.
Mbaya zaidi sasa hivi EPL kila baada ya miaka kunakua na ongezeko la timu zenye ubora mkubwa zaidi hali inayopelekea ugumu kuongezeka katika kuwania hio nafasi ya 4.
Mfano baada ya miaka 2 mbele Newcastle itakuwa imeshajidhatiti katika kuwania hio nafasi ya 4 kutokana na kuwekeza kwao kwenye usajili wa wachezaji wazuri ili kuimarisha kikosi kitakachoendana na ushindani uliopo kwenye ligi.
 
Spurs kasuluhu.

Arsenal tupo nafasi ya nne.

Arsenal tuna Westham na Leeds kisha tunakutana na spurs.

spurs ana Leicester na Liva kisha anakutana na Sisi.

Tukomae.
Westham anatupiga, that's my worry!
 
Spurs kasuluhu.

Arsenal tupo nafasi ya nne.

Arsenal tuna Westham na Leeds kisha tunakutana na spurs.

spurs ana Leicester na Liva kisha anakutana na Sisi.

Tukomae.
Top 4 yetu ipo kwenye game 3 zijazo, tumkafue westham, tumkafue leeds kisha tumalize na Tottenham. Tuvune point 7 mpaka 9
Wakati tukimuombea mabaya Tottenham ndani ya game zake 3, aharibu game ya Leicester, afe kwa Liverpool kisha tummalize sisi hapo avune point 1 katika 9.
 
Top 4 yetu ipo kwenye game 3 zijazo, tumkafue westham, tumkafue leeds kisha tumalize na Tottenham. Tuvune point 7 mpaka 9
Wakati tukimuombea mabaya Tottenham ndani ya game zake 3, aharibu game ya Leicester, afe kwa Liverpool kisha tummalize sisi hapo avune point 1 katika 9.
Nafikiri tukipata points 10 kwenye hizi mechi nne mfululizo zinatosha
 
Westham anatupiga, that's my worry!
Your worries are legit.

Westham hatabiriki plus kikosi tulichonacho hakina tofauti na kilichocheza na Westham msimu uliopita wakatupiga tatu za haraka haraka ikabidi tuitafute suluhu.

Ila kwakua hatabiriki it also means hata kipigo anaweza kukipokea katika mazingira tusiyoyatarajia.

Tumuamini kocha.
 
Mwalimu wa Klopp na Tuchel wapi?
Yule muhuni hana tofauti yoyote na Haji Manara, yule ni mzee mission town tu, domo lake ndio linamuweka mjini.

Ukweli usiofichika ni kwamba RR ni Kocha mwenye alot of ideas with zero implementation.

Yani mpira na mbinu za kumwaga anazo kichwani mwake tu lakini anashindwa kuzitumia.

Kiufupi ni kama hayati Mw. Kashasha.
 
Screenshot_20220424-052307.jpg


Joined Jan-2020 after Form IV graduation while I'm a father and have a family to feed kipindi ambacho ana-apply for JF registration.
Yet he dares to call me 'Mtoto Wa Juzi' when he's sleeping comfortably kwenye nyumba ya Shemeji yake.
Screenshot_20220424-052348.jpg
 
Ok my question naona umekimbia hili why Guardiola anatoa Mamilioni ya Paund kwa ajili ya Haaland?wakati ana JESUS?uliyoyasema sijakataa but why ana spend more than 100M Paund wakati JESUS yupo ?why?

For example Kane angekuwa amepatikana last season Manchester City unafikiri Pep angetoa more than 100 M paund?this season?no nway sitaki kubelieve hili
Ina maana hujaona nilichokisema? 1&2 huoni nimetoa sababu ambazo zinamfanya atafute sriker? Jiulize ni lini Pep amewahi kutafuta/ kuchukua mchezaji wa kawaida? Uwe unatoa majibu na sababu ili twende sawa kama ulivyojinadi vinginevyo bado utakuwa unaonekana hujui kutetea unachokisema au unachokisema hukijui
 
Hii timu banaaa kocha pamoja na mashabiki wake kipaumbele chao kikubwa ni kuwepo kwenye top4, hawawazi kabisa juu ya ubingwa wa EPL.
Kwa kukuthibitishia hilo angalia leo jinsi mashabiki walivyo na furaha utafikiri wamechukua kombe la ligi.
Mbaya zaidi yanasahau kabisa kua hamna uhakika kama wataweza kumaintain kumaliza ligi wakiwa kwenye hio nafasi ya 4 maana Tottenham yupo nyuma yao kwa ukaribu sana.
Ukiwaambia ukweli wanaanza kukushambulia tena kwa matusi machafu kabisa kisa tu umewaeleza hali halisi jinsi ilivyo.
Mbaya zaidi sasa hivi EPL kila baada ya miaka kunakua na ongezeko la timu zenye ubora mkubwa zaidi hali inayopelekea ugumu kuongezeka katika kuwania hio nafasi ya 4.
Mfano baada ya miaka 2 mbele Newcastle itakuwa imeshajidhatiti katika kuwania hio nafasi ya 4 kutokana na kuwekeza kwao kwenye usajili wa wachezaji wazuri ili kuimarisha kikosi kitakachoendana na ushindani uliopo kwenye ligi.
Kikosi cha Arsenal kilichoanza huu msimu wa 2021/ 22 hakikua cha kushindania EPL kama alitokea mtu akakuambia hichi kikosi kinachukua EPL na ukamuamini basi wewe mpira hujui.

In fact unapokomaa kwanini hatuiwazi EPL na kikosi ni hicho ni ushahidi wa jinsi gani mpira hujui.

Nyinyi nyumbu mlianza msimu na Ole Sendeka nafikiri mlishinda 5, na siyo mashabiki wa humu tu bali dunia nzima wakasema sasa nyumbu tunachukua ligi na CL. Na kikosi cha nyumbu kwenye karatasi kinakuhakikishia ushindi so mlikua sahihi kutupigia kelele.

Mpaka game week 3 Arsenal anashika mkia. Hana goli hata moja, nyumbu yupo nafasi ya kwanza au ya pili na spurs anavizia nafasi hizo hizo.

Sisi kuingia top four haikua planned. Hata sasa hivi tunavyoizengea nafasi ya tatu bado haiko planned, wengi tuliamini tunafika huko next season baada ya kumaliza kupunguza kikosi na kuongeza watu. Tumepunguza kikosi na hatujaongeza watu ila ndiyo tunaitafuta namba 3.

Unataka kulia? Lia sikukatazi. Wewe kutojua mpira siyo shida yangu.
 
Arse8 fans hongereni bwana kwa vichapo mlivyotoa this week naamini Cheltako na Nyumbu fans watapumzika kuvamia uzi huu
 
Katika pointi hizo tuvune 3 kwa tott, najua tott kwa liver kuchomoka si kazi rahisi, Hapo ni 99% tunaingia top 4 bila tabu
Spurs kuna mpira alimpigia Liva walipokutana mzunguko wa kwanza nikasema sasa tunashuhudia ushindani.

Baada ya ile siku akaendelea kua hovyo.

We have a chance against spurs.
 
Tavares inabd atupwe kwa mkopo italia huko akakomae,

then cc twende Brighton pale tukafanye biashara watupe yule Lb wao Cucurella aje asaidiane na Tierney pale. tatzo la Lb litakua limeisha
Aseeee jamaa jana kazngua sana aseeee
 
Back
Top Bottom