Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Usiniletee haari za last year jinga wewe. Ulikuja kama mwanamke malaya kwamba mumeo hakufikishi kwa hiyo unaenda kutafuta bwana mwengine. Si ulienda PSG wewe?? Kimekurudisha nini?? Nyinyi ndio huwa wanaume tunawafumua mitaro halafu tuna wa dump.
Haaa kumbe unataka niondoke Arsenal?binti tangu lini umeanza kuwapangia wanaume nini cha kufanya na nini cha kuacha?tafadhali wanaume hatupendi kufuatiliwa fuatuliwa na mabinti unampangia mwanaume cha kufanya? Mesut90 seriously?kumbe uliumia nlivyosema hvyo?ohhhh sorry sorry my love
 
Nketiah alideliver mechi iliyopita ila bado sina imani naye.

Baadhi ya wachezaji wa kikosi chetu cha leo wanawakilisha kikosi kinachotakiwa kucheza EFL na FA.

If we win hii mechi morale boosted itazidi kupaa.
Nketiah apewe mkataba
 
Your comment shows you have personal hatred for the man.
I will advice you to channel your frustration elsewhere because Mikel is going nowhere…rather than supporting the team you and your Arteta out bandwagon are always wishing we lost games so you can justify your hatred.
You will soon hug transformer so your blood will calm down.
Yaani kama huyu mbwa amechukulwa dada yake na Arteta. Inashangaza sana huyu computerarsenal anavyomchukia arteta. Halafu wakitokea mashabiki wa upinzani wakimwambia yupo sawa eti najiona yupo sawa kweli. Kmmmk
 
Mikel time has just began!
You & your # Arteta out brigade can throw yourselves into Themes river, you won't be missed!!

Keep it up Gooners! I have complete trust, the manager will turn things around...win or lose please support the team..It doesn't help when the fans ranting too much... Support the team or else don't be a fan...
This s the notion. This is the spirit
 
Yaani kama huyu mbwa amechukulwa dada yake na Arteta. Inashangaza sana huyu computerarsenal anavyomchukia arteta. Halafu wakitokea mashabiki wa upinzani wakimwambia yupo sawa eti najiona yupo sawa kweli. Kmmmk
Mwanaume hapangiwi binti sasa kama mimi Arteta namchukia kinachokuumiza ni nini kama sio umama wa nyie wanawake mlivyo? Mesut90 wanawake mara nyingi huwa wanasemaga for example akigombana na mwenzie hataki mwenzake aongee nae ila sio kwa sisi wanaume wa shoka mambo ya ushoga unaleta kwenye football Mesut90 boyfriend wako kukupa ruksa ya kucheki game umekuja na haya ?
 
Mkuu, mimi huko kwenye personal attacks sipo! let's talk soccer!
Huyu kaja kwa kuniataack acha nimalizane nae mbona wenzake wananijibu tu vizuri tena kwa uchambuzi wa kisoccer saa nyingine unasema mhh huyu kuna ukweli fulani anamaanisha ila huyu kaja kwa shobo kamisi dudule la jana
 
Hiv kwel kushinda mech ya juz na Chelsea ndio unaona umemaliza upo top 4?

Kumbuka umetoka kubamizwa mech 3 consecutively nilidhan utasubir walau mech 3 zpite ufanye tathmin?

Kesho una man u unaweza kupigwa au kuokota point moja TU

KUWA NA AKIBA YA MANENO MKUU

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hapo vipi??? Sisi tumeamini kwenye maendeleo ya timu. Win or lose we are gunners
 
Najua mnanijua. Sijawahi kuwahofia United so huu ushindi haunishangazi kinachonishangaza ni wao kuamini leo watashinda.

computerarsenal hii mechi ya ngapi mfululizo Arsenal anampiga traditional big six?
 
Hiv kwel kushinda mech ya juz na Chelsea ndio unaona umemaliza upo top 4?

Kumbuka umetoka kubamizwa mech 3 consecutively nilidhan utasubir walau mech 3 zpite ufanye tathmin?

Kesho una man u unaweza kupigwa au kuokota point moja TU

KUWA NA AKIBA YA MANENO MKUU

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Bro hapa hakuna cha kusubiri. Arsenal tulikua kwenye mwendo kwenda top three. Hizo games tatu zimetuua kweli ila hakuna cha kutathmini we are doing fine
 
Najua mnanijua. Sijawahi kuwahofia United so huu ushindi haunishangazi kinachonishangaza ni wao kuamini leo watashinda.

computerarsenal hii mechi ya ngapi mfululizo Arsenal anampiga traditional big six?
Ya pili Mzee kwa kweli players wametufanya tutambe mtaani
In my opinion game ya Wednesday iliniacha mdomo wazi ya leo nimebet 50 na laki nimeipata
 
Gabriel Jesus anazo ngapi huko
Msimezee basi atakuja kweli Emirate huyo?
 
Back
Top Bottom