Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Welcome back Tomiyasu
Wewe huna u-die hard fan wowote. Wewe huna unalojua kuhusu football. Unapayuka tu mamluki. Unajifanya Arsenal kumbe mchawi tuHivi akili zako unazipelekaga wapi?
1)Chelsea 2-2 Arsenal akamaliza position namba 8
2)Last season Chelsea 0-1 Arsenal akamaliza position namba 8
3)This season Chelsea 2-4 Arsenal EPL continues
Wednesday results zisikufanye uchanganyikiwe upayuke bro Will Jr
Sisi Die hard fans wa Arsenal sio Arteta tunasubiri 22 May pale ligi season will be over tuje kwenye uchambuzi
Huyo mtu ni hater. Watu wa aina ya huyu computerarsenal mara nyingi huwa wachawi.Wewe Dogo nilipoona tu joined 2020 basi una safari ndefu ya kujua mpira.
Yani upo serious kabisa ukiangalia aina ya Wachezaji alionao Arteta unataka ishindane na Man City, Liverpool na Chelsea???
Hapo alipo kuwatia Tumbo Joto kina Spurs na Manure ambao kiuhalisia wana Wachezaji qualities ukilinganisha na Arsenal bado hujaona Tu kazi ya Arteta?
Kwa Arsenal hiyo Akiondoka Arteta basi huyo Kocha unayeona wewe anafaa atamaliza Ligi katika Bottom Half of the Table.
Ndugu Arteta ameshaonesha uwezo wake! Kwasasa anachohitaji ni Sapport tu kutoka kwa Wamiliki.
Apewe Wachezaji wa Ushindani na si jengine.
Naenda kuchukua laki yangu endelea na Kelele nimechoka kurudia rudia maandiko naona umekuja baada ya kuwa tumeshinda game ambayo hata mimi nilisema tutashinda muda wote ulikuwa wapi unakuja after game kuisha?Fuc*** unanipotezea tu muda acha niwahi laki yanguWewe huna u-die hard fan wowote. Wewe huna unalojua kuhusu football. Unapayuka tu mamluki. Unajifanya Arsenal kumbe mchawi tu
Huyo mtu ni hater. Watu wa aina ya huyu computerarsenal mara nyingi huwa wachawi.
Anajiita die hard fan?? Umeona wapi die hard fan anaitukana timu?? Die hard fan hawezi kuhama timu. Kikwete tangu enzi za Shearer ni Newcastle mpaka Leo ni Newcastle. Hao ndio die hard fans
Arsenal haijawahi kuwa na mashabiki hawajiamini.Arsenal yetu haijawahi kubadilika for more than 10 years na mpaka sasa haijawahi kubadilika
ARV huyo mazee, mnapoteza muda anaenjoy kuwachallengeHuyo mtu ni hater. Watu wa aina ya huyu computerarsenal mara nyingi huwa wachawi.
Anajiita die hard fan?? Umeona wapi die hard fan anaitukana timu?? Die hard fan hawezi kuhama timu. Kikwete tangu enzi za Shearer ni Newcastle mpaka Leo ni Newcastle. Hao ndio die hard fans
Nashindwa kuelewa kwa nini Elneny huwa anawekwa bao sana, au ndio hivyo tena kuna wale wachezaji wanasubiri tu chances zitokee ndio watched! He's been superb today.Elneny kacheza mpira mkubwa leo
Mkuu ukishajua nyumbni kwako kuna panya fanya juu chini umfurumushe. Atakula nguo mwisho atakuletea ugonjwa wa tauniTushangilie ushindi achana na malumbano
Washakamua au bado?yaani mnaongoza kwa goli 2 halafu bado mnalalamika.
Subiri kipindi cha pili mashetani wakukamue jipu.
kuna vitu angekuwa navyo kidogo barca wangemtengeneza kuwa messi mpyaBukayo Saka, the chief creator . Huyu mtoto ana balaa la kikongo.
kuna vitu angekuwa navyo kidogo barca wangemtengeneza kuwa messi mpya
Wagwaya wachezaji wenzake wamemlalamikia kwa kocha, sasa hivi wachezaji wenzake waogopi akitoa boko ila wanaogopa kujeruhiwa na beki wao, hivyo wamelalamika wakiwa nae wanacheza kwa uoga na tahadhari ya hali ya juu ili wasijeruhiwe.
Leo kosi la dunia limekamilika, kosi la leo limepania kupiga tena zile goli 8.
Kosi la maangamizi, leo Manchester United anaungana na Urusi kuwapiga vibaraka wa ZeleiskyView attachment 2197581