Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

computerarsenal shida unayoipaita ni kwenda tofauti na Ideology ya mashabiki wengi wa Arsenal.
Wenzako walishaweka wazi kipaumbele chao sio Trophies, wanachotaka ni kandanda safi na wawepo kwenye top4 kila msimu.
Sasa wewe unakuja na habari za ubingwa na makombe hawawezi kukuelewa zaidi ya kukuona ni mamluki kwenye timu.
Hili litimu litakutesa sana mkuu, maana viongozi na mashabiki wake wako against kabisaaaa na mtazamo wako.
Naona hapa ndipo tunapotofautiana licha wote ni Arsenal fans may be
 
Kroenke hana mpango wa kuiachia arsenal, kuwa mvumilivu. Lakini sidhani kama anastahili lawama. Arsenal are among the top five spenders in the last three years.
Tatizo lipo kwenye ununuzi, sina hakika kama timu ipo makini kwenye eneo hilo
Inawezekana ndio maana nkauliza Recruitment team ni kina nani?
 
@Aaron Arsenal sometimes unatakiwa uwe serious bro hivi Jesus ana miaka mingapi EPL?ameshawahi fikisha 10 goals per season?Jesus hana utofauti mkubwa na kina Lukaku Arsenal inahitaji forward wa uhakika wa kuscore 20 goals per season kama Auba Van Persie hivi nani ana deal na Recruitment team pale Arsenal?hao watu watakuwa ni VILAZA sijawahi kuona
Mkuu unataka kusema Gabriel Jesus hajawahi kufikisha 10 goal per season?

Na kingine ni lini pep ametoa top scorer kwenye team yake tangu amekuja epl? System ya pep ndio inafanya wachezaji wake wasifunge magoli mengi, unajua kama last season top scorer wa city alikuwa ni gundogan na goal 13?

Kaangalie rotation anayofanya pep Kwa wachezaji wake wa mbele alafu uone kama ni rahisi Kwa mchezaji wa city kufikisha 10 goal per season

Baadhi ya takwimu za Jesus akiwa city
2021/202 kacheza game 23 kaanza 16 3
2020/2021 kacheza game 29 kaanza 22 9
2019/2020 kacheza game 34 kaanza 21 14
2018/2019 kacheza game 29 kaanza 8 7
2017/2018 kacheza game 29 kaanza 19 13
2016/2017 kacheza game 10 kaanza 8 7

Sasa Kwa statistics hizo huyu mchezaji kama anacheza kila game kama ilivo kwa lacazate unadhani atakupa takwimu zipi mkuu na kumbuka pep hachezi na central striker
 
Naona hapa ndipo tunapotofautiana licha wote ni Arsenal fans may be
Mi nilishakwambia tokea zamani, hilo litimu haliendani kabisa na kile wewe unakifikiria(unakitegemea)
Ni sawa na kusubiria ndege kwenye kituo cha mwendokasi.
Hapo ili upate furaha kwenye hio timu inatakiwa ubadili kabisa mtazamo wako wa kufikiria ubingwa wa EPL na UEFA la sivyo uachane na kushabikia hilo litimu utafute timu inayojielewa kuanzia mmiliki, bodi ya wakurungenzi na kocha.
Sio siri hua nakuonea huruma sana jinsi unavyoichosha akili yako kufikiria hayo mafanikio unayoyawaza kwenye hilo litimu linalomikiwa na Kroenke.
 
Mkuu unataka kusema Gabriel Jesus hajawahi kufikisha 10 goal per season?

Na kingine ni lini pep ametoa top scorer kwenye team yake tangu amekuja epl? System ya pep ndio inafanya wachezaji wake wasifunge magoli mengi, unajua kama last season top scorer wa city alikuwa ni gundogan na goal 13?

Kaangalie rotation anayofanya pep Kwa wachezaji wake wa mbele alafu uone kama ni rahisi Kwa mchezaji wa city kufikisha 10 goal per season

Baadhi ya takwimu za Jesus akiwa city
2021/202 kacheza game 23 kaanza 16 3
2020/2021 kacheza game 29 kaanza 22 9
2019/2020 kacheza game 34 kaanza 21 14
2018/2019 kacheza game 29 kaanza 8 7
2017/2018 kacheza game 29 kaanza 19 13
2016/2017 kacheza game 10 kaanza 8 7

Sasa Kwa statistics hizo huyu mchezaji kama anacheza kila game kama ilivo kwa lacazate unadhani atakupa takwimu zipi mkuu na kumbuka pep hachezi na central striker
Katika hyo hyo system wameamua kumnununua HAALAND na Jesus kaona hana nafasi sasa sijajua why Pep kaamua kumtaka HAALAND na last season KANE wakati ana JESUS I don't know why!na sitaki kuamini kama KANE or HALAAND watafanyiwa rotation wakiwa Manchester City sitaki kuamini hilo labda kwenye FA na Carabao Cups lakini sitaki kuamini kama watafanyiwa hvyo kwenye Champions league or EPL why Pep anahangaika kutoa Mamilioni ya Paund wakati JESUS yupo why?
 
kwenye 4231 Elneny anacheza coz ni double pivot, 433 ndio shida coz inahitaji sole controller (on & off ball) kama Partey, pia inahitaji technicality & physicality ya kiwango cha juu. Mtu akisema Holding midfielder huwa nakumbuka performance ya Partey vs Man city at the emirates, Partey vs Man u at Old trafford (1-0)
How about Elneny and Lokonga kwenye 433 na kwenye na 4231.
Je game ya juzi vs chelsea Arteta alitumia mfumo gan ili umfiti elneny
 
Katika hyo hyo system wameamua kumnununua HAALAND na Jesus kaona hana nafasi sasa sijajua why Pep kaamua kumtaka HAALAND na last season KANE wakati ana JESUS I don't know why!na sitaki kuamini kama KANE or HALAAND watafanyiwa rotation wakiwa Manchester City sitaki kuamini hilo labda kwenye FA na Carabao Cups lakini sitaki kuamini kama watafanyiwa hvyo kwenye Champions league or EPL
Mkuu utapata shida bure tu, mashabiki wenzako wa Arsenal wameshakua addicted na mentality ya kununua wachezaji wa daraja la pili, hata uwatolee mfano upi hawawezi kukuelewa, sasa hapo mwenzako anamuona Jesus yupo level moja na kina Haaland na Lewandowski.
Arsen Wenger aliharibu sana mentality ya mashabiki wa Arsenal kwenye suala la usajili wa wachezaji wa daraja la kati.
 
Katika hyo hyo system wameamua kumnununua HAALAND na Jesus kaona hana nafasi sasa sijajua why Pep kaamua kumtaka HAALAND na last season KANE wakati ana JESUS I don't know why!na sitaki kuamini kama KANE or HALAAND watafanyiwa rotation wakiwa Manchester City sitaki kuamini hilo labda kwenye FA na Carabao Cups lakini sitaki kuamini kama watafanyiwa hvyo kwenye Champions league or EPL

Deal la Kane lilishindikana most likely his price tag and wage
 
Niambie ndani ya miaka 14Arsenal ina achievements zipi ?tuanzie hapa kwanza may be hujui au huelewi nachokimaanisha tuanzie 2008 up to 2022!Taja achievements za Arsenal kama one among the best famous team and big team also in the world

In my opinion nasema Mmiliki mwenye uchungu na Team hawezi kukaa more than 18 years hana EPL na haieleweki Arsenal atabeba big trophies lini na unaona no changes at all last time Arsenal kwenda final in Champions league ni 2006 inawezekana ulikuwa primary school na hata 2004 ulikuwa standard one so unaona ni normal kwa Arsenal kuwa hivi ilivyo sasa wewe nitajie Achievements za our team kuanzia 2008 up to now kisha tuendelee na hoja

Kroenke hataki kuuza team sababu anamake profit na Arsenal fans wengi wameridhika wanajiona ni big team wakati its not true but I am telling you siku akija new owner timu itabadilika na tutakuwa tupo happy daily

Kwangu mimi Achievements za Arsenal in 14 years ni kuparticipate katika EPL na kubeba FA cups (ambavyo ni vikombe vya mbuzi)
so we unaona team bfre ajawa kwenye mikono ya arteta na sa iv unaona vitu vipo sawa tu mzee c at least unaona kuna mwanga kwa mbali unaonekana
 
Nketiah alideliver mechi iliyopita ila bado sina imani naye.

Baadhi ya wachezaji wa kikosi chetu cha leo wanawakilisha kikosi kinachotakiwa kucheza EFL na FA.

If we win hii mechi morale boosted itazidi kupaa.
 
Ndugu zangu leo Maguire hayupo.
Wagwaya wachezaji wenzake wamemlalamikia kwa kocha, sasa hivi wachezaji wenzake waogopi akitoa boko ila wanaogopa kujeruhiwa na beki wao, hivyo wamelalamika wakiwa nae wanacheza kwa uoga na tahadhari ya hali ya juu ili wasijeruhiwe.

Leo kosi la dunia limekamilika, kosi la leo limepania kupiga tena zile goli 8.
 
TBT
20220423_140655.jpg
after this imebaki kuona wapinzani wakipishana kulibeba Insigne
 
Wagwaya wachezaji wenzake wamemlalamikia kwa kocha, sasa hivi wachezaji wenzake waogopi akitoa boko ila wanaogopa kujeruhiwa na beki wao, hivyo wamelalamika wakiwa nae wanacheza kwa uoga na tahadhari ya hali ya juu ili wasijeruhiwe.

Leo kosi la dunia limekamilika, kosi la leo limepania kupiga tena zile goli 8.
Huyo Varane na hiyo miguu yake isiyo na balance hana tofauti hata kidogo na Maguire.
 
Wagwaya wachezaji wenzake wamemlalamikia kwa kocha, sasa hivi wachezaji wenzake waogopi akitoa boko ila wanaogopa kujeruhiwa na beki wao, hivyo wamelalamika wakiwa nae wanacheza kwa uoga na tahadhari ya hali ya juu ili wasijeruhiwe.

Leo kosi la dunia limekamilika, kosi la leo limepania kupiga tena zile goli 8.
Kosi la maangamizi, leo Manchester United anaungana na Urusi kuwapiga vibaraka wa Zeleisky
tapatalk_-1691731573_360x448.jpg
 
Back
Top Bottom