Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nasikia baada ya kuchezea 4 uliamua kukaa kimya, leo unataka kufuta machozi kwa sisi kupigwa na ManU!
Hata sikukaa kimya 🤣
Haikunishtua
Namba 3 ndiyo mie bingwa wa dunia
Mlitucheleweshea tu mbio za points
Michezo miwili ya mkononi naimani tutatoboa…
 
Back
Top Bottom