Tumefungwa goli la hovyo sana..




yaani mnaongoza kwa goli 2 halafu bado mnalalamika. Hata sikukaa kimya 🤣Nasikia baada ya kuchezea 4 uliamua kukaa kimya, leo unataka kufuta machozi kwa sisi kupigwa na ManU!
Game ambayo hakuna sababu ya kufungwa kizembe, United wameonyesha wapo weak na warahisi kuwa exposed. Hakukutakiwa kuwa na goli..yaani mnaongoza kwa goli 2 halafu bado mnalalamika.
Subiri kipindi cha pili mashetani wakukamue jipu.
Viporo vinachacha, subiri uone!!Hata sikukaa kimya 🤣
Haikunishtua
Namba 3 ndiyo mie bingwa wa dunia
Mlitucheleweshea tu mbio za points
Michezo miwili ya mkononi naimani tutatoboa…
Tumefungwa goli la hovyo sana..
Ila Asenali mliupiga mwingi.Nasikia baada ya kuchezea 4 uliamua kukaa kimya, leo unataka kufuta machozi kwa sisi kupigwa na ManU!
Kabsa aiseeTavares ataleta balaa, atoke haraka sana
AgreedKuna mtu waga anamtetea Tavarez humu sijui waga ana macho ya Rohoni au vipi ila huyu mchezaji ni HASARA

Huyu Jamaa ni JEMBE congratulations kwakeElneny kacheza mpira mkubwa leo