Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,512
- 9,552
Tuna nafasi nzuri ya top four kama tutampiga totte
Nina uhakika Liverpool atatusaidia kwa spurs. Yaani hakuna timu itasimama mbele ya liverpool sasa hivi isichinjweSAFIIIIIIIIIII SANA THE GUNNERS .
Liverpool tuta wasaidia kwa Spurs cha msingi muueni Shetani next match.
Kwanza manjesta mkuu. Mbona unawaza spurs wakati Leeds anaweza akaja akatufungaTuna nafasi nzuri ya top four kama tutampiga totte
Siyo kocha mkali kama walivyokua wanatupigia keleleKwamba rangnick ni katuni??
Kikosi upande wangu kipo sawa ila pale mbele tungeanza na Martineli ,Nketiah angetusubiri.
Ila sio mbaya #COYG.
Hebu acha kudanganya hakuna cha experience hapo bali ni Sapoti ya Wamiliki ya kumpa Klopp usajili wa Wachezaji Bora ndiyo uliyoifanya Liverpool ikawa Bora.Klopp kaja Liverpool kakuta kweli players wengi walikuwa ni Rubbish na hakuwa na papara kaanza kusajili mmoja mmoja na wengine kawatoa Academy kabisa but sababu ya EXPERIENCE KWENYE FOOTBALL leo tunaiona Liverpool ni one among the best team in the world
Game hata sijaitizama yaani, kufika dk 10 nikapitiwa na usingizi kwenye makochi kushtuka saa saba.Vipi bado unatamani Nketiah aendelee kusubiri?
Basi huwa na mzuka wa kuangalia, Vijana walianza vizuri kufika dk 13 wakapiga kitu, uchofu wote ukatoka kuamzia hapo mbugi ikuwa inapigwa hupepesi macho pembeni.Game hata sijaitizama yaani, kufika dk 10 nikapitiwa na usingizi kwenye makochi kushtuka saa saba.
Tunawashkuru sana Liverpool. Na Sisi tunawaombea mchukue ubingwa wa ligi, FA na UEFA. Mnastahili kabisaJana mumenifurahisha sana kumfunga bwana aliyewaaminisha Rent Boys kuwa hakuna Timu inayotamani kucheza na Chelsea, pia Makombe yote atabeba Chelsea.
Kama nilivyopiga Nyumbu pia nitawalipa kwa furaha yangu kumpiga na Spurs, nyinyi shindeni mechi zenu zilizobakia tu.
Nlihisi Arteta amemtumia out of positiona na pia Lacca na pepe watatumika zaidi Jumamosi against UnitedNiseme ukweli tu baada ya zile Subs za Arteta nilianza kuingia Hofu kidogo kwani nilihisi kama haziisaidii Timu.
Sub pekee niliyoiyona imeongeza Kitu ni ya SOARES, lakini ya MARTINELI kwa jana sikuona kuwa imeongeza chochote uwanjani.
You are right mkuuHebu acha kudanganya hakuna cha experience hapo bali ni Sapoti ya Wamiliki ya kumpa Klopp usajili wa Wachezaji Bora ndiyo uliyoifanya Liverpool ikawa Bora.
VVD, Alison, Fabinho, Salah, Mane, Robertson bila ya hawa kusingekuwa na Liverpool Bora na huyo Klopp angeishia na kubaki na experience yake.
Apewe Arteta Wachezaji aina ya Alison, VVD, Salah, Mane na Fabinho hapo ndiyo utaweza kumlaumu lakini sio kwa kina Lokonga ndiyo useme Arteta ni mbovu.