Huyu kama pepe tu, kiwango kina tetemeka mda woteNketiah atakuwa striker mzuri
Beki was kushoto bado mapepe
Jana vijana wamejituma
Nilihisi Kama saka anatakiwa apumzike kidogo
utakuwa ulianzia kwenye g*ngoGame hata sijaitizama yaani, kufika dk 10 nikapitiwa na usingizi kwenye makochi kushtuka saa saba.
Watu tumeshaamka
Nasema ivi TUKUTANE JUMAMOSI TUWAGONGEAndika ueleweke
Bado sana, safari ni ndefu na hakuna sababu za kujipa matumaini makubwa.
Mnachonifurahisha Arsenal mkipata ushindi wa siku moja mnaamini kabisa kuwa matatizo mlionayo yameisha, ila ukweli nikwamba nyinyi ni Arsenal8 tu matatizo na udhaifu wenu uko palepale. njoo mnipige pumbavu sana.Wapi Olluchuga oc? Mbona leo haonekani humu. Au anapiga uzi chabo kwa mbali!! Aibu yake. Stamford Bridge umegeuka kuwa uwanja wetu wa nyumbani (wenyeji)kila tukicheza pale.
TunakubaliTimu Bado sana hii
Jamaa anatambaga sana yule cjui leo yuko wapJana mumenifurahisha sana kumfunga bwana aliyewaaminisha Rent Boys kuwa hakuna Timu inayotamani kucheza na Chelsea, pia Makombe yote atabeba Chelsea.
Kama nilivyopiga Nyumbu pia nitawalipa kwa furaha yangu kumpiga na Spurs, nyinyi shindeni mechi zenu zilizobakia tu.
Mtema utumbo wako atakuja?? Hahhahaha. Ndizi ulipata??