Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
TukutaneJmosi izo nne zitawarudia
Hiyo midomo yenu ndio inawaponza
TukutaneJmosi izo nne zitawarudia
Andika uelewekeTukutaneJmosi izo nne zitawarudia
Leo nitalala kwa kukoroma masna hizi week 2 niliumia sana
Baada ya matokeo ya game 3 zilizopita site tulijua tunagungwa tu. Ila nlipoona rudiger hayupo nkapata amani kidogoTo be honest sikuwazia kushinda hii mechi.
Mtema utumbo wako atakuja?? Hahhahaha. Ndizi ulipata??Leteni ndizi utumbo ushapatikana huku, temaji lishatema sumu😁
Mikeka imeharibika sana leoDaah arsenal tumemfunga chelsea
kweli bana mpira unadunda
Dunia nzima mkuuHata Mimi
Hizo game 3 za palace Brighton na Soton zimegharimu msimu wetuTuko tayari kufungwa na brighton lakini sio chelsea
Hujiamini mkuu hahahahahaInabid kesho nfanye mpango n check marudio, najuta kuikimbia hii game
Hizo game 3 za palace Brighton na Soton zimegharimu msimu wetu
Ndio mkuuSure, we would have been talking of top three