Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naipenda philosophy ya some Arsenal fans(majina kapuni) timu ikifungwa wanaingia mitini
Hao ndio Toxic fans wa Arteta wao wanajua kuchambua game moja moja but kuna us ambao tunachambua coming 10 games tuliona dalili na hasa baada ya January kukaa bila kusajili forward na squad hii nlitabiri anguko baya mbeleni na sasa hivi tunaona anguko hilo
 
Kocha mzuri anatakiwa ajue jinsi ya kuutilise alichonacho.

Kwa wachezaji waliobaki anavyokomaa kucheza kama mwanzo tutazidi kupotea.

Its either arudi kwenye back three au ampeleke White kwenye midfield.

Naangalia kikosi chetu forward naona yote inazalisha machungwa tu.
 
Another day another defeat, this is our Arsenal, life goes on no excuse for injuries, bado sanaaaa. Nketiah ni takataka kweli kweli hata kunguru atamkataa. Rotten rubbish. Timu insfungwa 6-0 na chelsea, sisi tunashindwa kupata hata goli moja, still we expect to beat chelsea.?????? 21 shots off target against 9, 5 on target against 3 no goal
 
20220416_185724.jpg
 
Aser8 akicheza mashabiki wake duniani kote wanapita mtaani na kanga moja imelowa maji huku wanatingisha wowowo, wakisema chukua yote
we jamaa hua unanifurahishaga sana na haka kamsemo kako.
Mi nilishawaambia hawa AsaniAli timu yao inavyocheza haina tofauti na wale wadada wanaocheza baikoko huku vijora vyao vinamwagiwa maji.
 
(KUJIANDAA KISAIKOLOJIA)hili neno niliwataadharisha wale wote wanaoiona Arsenal hii itacheza Champions league before this game

Nimetukanwa sana humu na some fans na wengine kuniblock ambao leo hawapiti tena kwenye hii THREAD nlikuwa nashangaa why watu hawataki kufungua macho yao na kuona Arsenal bado haina kocha mwenye EXPERIENCE ambaye hata akija kupata injuries atajua jinsi ya kuhandle timu?kocha ambaye atajua pale top 4 ipo mikononi mwake na hawezi poteza opportuniy timu huyo kocha lazima awe na EXPERIENCE yote haya nliyaona but toxic fans wa Arteta walikuwa vipofu ila Asante MUNGU leo watu wanapokea kipigo cha 3 in a row na Top 4 kupotea

Arteta ni Mbahatishaji na ashukuru ana Saka Martinelli Smith Row Odeegard hawa watoto ndio wameifikisha Arsenal kugombania Top 4 but kocha kiukweli uwezo hana yaani kuwakosa Partey na Tierney ameanguka game ya 3 mfululizo

January tuliambiwa Auba jeuri na bila sababu akaondoka zake bila replacement huku Edu na Arteta wakipata Mvinyo huku fans wakipiga kelele na wengine wakisema Auba ni jeuri aondoke zake(toxic fans wa Arteta hao)wengine kama Us tukapiga sana Kelele why Auba aondoke wakati ndio tegemeo letu na replacement yake kupatikana ni problem na akaondoka Bure kabisa

Arsenal imekuwa ni middle team kwa sasa for example big players gani watakosign aje Arsenal kocha ni Arteta?HAKUNA NA HAITAKUJA KUTOKEA

OWNER hana uchungu na timu kabisa haangalii games hajui nini kinaendelea kabisa na big team kuwa na coach kama Arteta ni Joke of the century hajui kumanage team sna experience hana alitutoa kwenye Competition za ulaya since 1995 na this season alikuwa hana European competition yoyote ile but Top 4 kaipata na kaikosa that's ridiculous

Mungu ajalie afanye jambo kwa owner labda Real owners wakija wenye uchungu kuna siku fans wa Arsenal watapata furaha kama miaka ya 1990s and early 2000s

Arsenal ana coming games vs Chelsea Manchester United and West Ham ambazo inawezekana asipate hata 1 point ikawa Maajabu kwa Arsenal kulose 6 games in a row

Have a nice weekend guys
Njoja chawa wa Arteta waje kukutukana na kukuita mamluki.
Watu walishalishwa ndele na Arteta huwaambii kitu, na alivyopewa tuzo ya kocha bora wa mwezi uliopita walikua wanashangilia utafikiri Arsenal imechukua kombe la Uefa.

Kocha kama kocha.
tapatalk_-1359396896_648x680.jpg
 
(KUJIANDAA KISAIKOLOJIA)hili neno niliwataadharisha wale wote wanaoiona Arsenal hii itacheza Champions league before this game

Nimetukanwa sana humu na some fans na wengine kuniblock ambao leo hawapiti tena kwenye hii THREAD nlikuwa nashangaa why watu hawataki kufungua macho yao na kuona Arsenal bado haina kocha mwenye EXPERIENCE ambaye hata akija kupata injuries atajua jinsi ya kuhandle timu?kocha ambaye atajua pale top 4 ipo mikononi mwake na hawezi poteza opportuniy timu huyo kocha lazima awe na EXPERIENCE yote haya nliyaona but toxic fans wa Arteta walikuwa vipofu ila Asante MUNGU leo watu wanapokea kipigo cha 3 in a row na Top 4 kupotea

Arteta ni Mbahatishaji na ashukuru ana Saka Martinelli Smith Row Odeegard hawa watoto ndio wameifikisha Arsenal kugombania Top 4 but kocha kiukweli uwezo hana yaani kuwakosa Partey na Tierney ameanguka game ya 3 mfululizo

January tuliambiwa Auba jeuri na bila sababu akaondoka zake bila replacement huku Edu na Arteta wakipata Mvinyo huku fans wakipiga kelele na wengine wakisema Auba ni jeuri aondoke zake(toxic fans wa Arteta hao)wengine kama Us tukapiga sana Kelele why Auba aondoke wakati ndio tegemeo letu na replacement yake kupatikana ni problem na akaondoka Bure kabisa

Arsenal imekuwa ni middle team kwa sasa for example big players gani watakosign aje Arsenal kocha ni Arteta?HAKUNA NA HAITAKUJA KUTOKEA

OWNER hana uchungu na timu kabisa haangalii games hajui nini kinaendelea kabisa na big team kuwa na coach kama Arteta ni Joke of the century hajui kumanage team sna experience hana alitutoa kwenye Competition za ulaya since 1995 na this season alikuwa hana European competition yoyote ile but Top 4 kaipata na kaikosa that's ridiculous

Mungu ajalie afanye jambo kwa owner labda Real owners wakija wenye uchungu kuna siku fans wa Arsenal watapata furaha kama miaka ya 1990s and early 2000s

Arsenal ana coming games vs Chelsea Manchester United and West Ham ambazo inawezekana asipate hata 1 point ikawa Maajabu kwa Arsenal kulose 6 games in a row

Have a nice weekend guys
Nakuomba unitag unaposhusha nondo kama hizi ambazo ni ukweli mchungu kwa fans wengi wa Aseno
 
Kuna namna ya kujiuliza hii ni team ya mpira wa miguu au kikundi cha maigizo ya mpira wa miguu.
Ni wahuni tu waliokotwa huku na huko halafu wakavishwa jezi na kuingia uwanjani.
Badala ya kucheza mpira wanacheza baikoko.
Wasouth wamechezea wowowo na kujipigia bao lao moja.
 
Back
Top Bottom