MkoPoKa
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 600
- 393
Ongeza na Mathew G, na anaupiga mwinginsana Olympic MsYaan ad leo najiuliza kwa nin walimuachia AMN
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongeza na Mathew G, na anaupiga mwinginsana Olympic MsYaan ad leo najiuliza kwa nin walimuachia AMN
Kwa uelewa wako huu, ingekua ni ngumu sana kwa Liverpool kumchukua JotaYaani player kama huyu unategemea akupeleke Championsleague mamamae?na kocha bado awe Arteta?this is a big joke tunaongea sana you must need players ambao wapo ready kupambana kwenye vita kubwa na pia player anahitaji coach ambaye atamjenga na kuwa big star vyote viwili kati ya player na coach havilink kabisa hapo
Jota na huyo Rasta ?are u seriously?mtu katika goli 12 ana goli 6 au 7 za Penalty?Jota alikuwa mkali na hata Liverpool alipomchukua hakuna aliyeshangaa Recruitment yetu ya wachezaji ina shda kubwa sana yaani very badKwa uelewa wako huu, ingekua ni ngumu sana kwa Liverpool kumchukua Jota
Jipange Tena weekend hiiPlan yangu ya weekendd ilikuwa jumamosi kusubiri nyumbu wapigwe kwanza. then tushinde mechi yetu. nilale. jumapili niangalie youtube videos highlights za tulivyompiga mtu huku nikicheki nyumbu alivyopigwa na kupitia jukwaa lao kuwasoma kina darmian wanavyomtukana kocha wao. mambo yakaenda ndivyo sivyo kabisa.




Lembua akipita huku anatingisha mzigo kuvutia wanunuzi wapya.
Mna nauli ya kwenda Hispania?
Kuna tetesi zozote za kumtaka ?Nawaza tu, Bukayo Saka-Ivan Toney -Martinelli, oya disaster.
Congratulations Unai Emery last year Bingwa wa Europa League this season katika Champions league umewatoa ma giants tena home kwao Alienz Arena and Turin mean umepata Results away Congratulations Big Man fans walimtukana mno but ameprove wrong tena kwa small team kama Villareal maajabu sana haya


umemsahau Coquelin 
Arsenal bana.Noma kiongoziumemsahau Coquelin
Arsenal bana.
Good Ibining amejiheshimisha, wale mashabiki wa Landani waliompigia kelele leo nadhani wana nyuso za Aibu, pia Bodi iliyoshiriki kumnyima support kwa ubahili wao leo aibu Zimewajaa, kifupi Goodibining sio kocha Mbaya bali fitina za Kiingereza zilimng'oa Emirate,Congratulations Unai Emery last year Bingwa wa Europa League this season katika Champions league umewatoa ma giants tena home kwao Alienz Arena and Turin mean umepata Results away Congratulations Big Man fans walimtukana mno but ameprove wrong tena kwa small team kama Villareal maajabu sana haya
Kwani Arteta nae akifukuzwa akaenda kupata mafanikio zaidi timu nyingine nae utasema kafukuzwa kwa fitina?? PSG nako alifanyiwa fitina??Good Ibining amejiheshimisha, wale mashabiki wa Landani waliompigia kelele leo nadhani wana nyuso za Aibu, pia Bodi iliyoshiriki kumnyima support kwa ubahili wao leo aibu Zimewajaa, kifupi Goodibining sio kocha Mbaya bali fitina za Kiingereza zilimng'oa Emirate,
Hongera Pia kwa Jiwe la pembeni KUKOLINI, umejiheshimisha kwa kunyakua EUROPA last season na sasa miguu imetangulia Nusu fainali. Kila la kheei Kwake.
Sisi wacha tuendelee kutembwa kama walevi, Hatua tatu mbele kisha tunapiga nne nyuma na kukaa chini kujipongeza.
With Arteta Edu Muhindi na Mustach hii team haina dalili ya kunyanyuka siku za Karibuni.
Tuendelee kuibumilia kwa maumivu na uchungu Mkali
Sent using Jamii Forums mobile app
Unai hapana aseeee jmn tulkuwa tunacheza mpra mbovu sana kla timu ina system yke mi ckuwai kuvutiwa n mpra wake kbsaGood Ibining amejiheshimisha, wale mashabiki wa Landani waliompigia kelele leo nadhani wana nyuso za Aibu, pia Bodi iliyoshiriki kumnyima support kwa ubahili wao leo aibu Zimewajaa, kifupi Goodibining sio kocha Mbaya bali fitina za Kiingereza zilimng'oa Emirate,
Hongera Pia kwa Jiwe la pembeni KUKOLINI, umejiheshimisha kwa kunyakua EUROPA last season na sasa miguu imetangulia Nusu fainali. Kila la kheei Kwake.
Sisi wacha tuendelee kutembwa kama walevi, Hatua tatu mbele kisha tunapiga nne nyuma na kukaa chini kujipongeza.
With Arteta Edu Muhindi na Mustach hii team haina dalili ya kunyanyuka siku za Karibuni.
Tuendelee kuibumilia kwa maumivu na uchungu Mkali
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliifikisha Arsenal fainali ya Europe league ujue.Unai hapana aseeee jmn tulkuwa tunacheza mpra mbovu sana kla timu ina system yke mi ckuwai kuvutiwa n mpra wake kbsa

.Daah mashabaki wa Arsenal hapana.Wenger kawaathiriInshu kubwa inayo zungumziwa ni kuwa alipewa muda mdogo sana kitu kama msimu MMOJA tuu sidhani kama aliifikisha misimu miwili akatumiliwa Kwa Maneno hayo ya fitina.Kwani Arteta nae akifukuzwa akaenda kupata mafanikio zaidi timu nyingine nae utasema kafukuzwa kwa fitina?? PSG nako alifanyiwa fitina??