Wewe pia huna uwezo wakumfunga southampton nashangaa unasherekea matokeo ya wenzako wakati yako huyajui na bahati mbaya Sana mbele kasimama kijana wetu homeboy kabisa A.broja na atawanyoosha kweli kweliMan U wanaumia Spurs kupoteza kuliko Spurs wenyewe![]()
Achana na hizo game leo tu ni ngumu kwenu kutoboa mkijitahidi Sana ushindi wenu ni draw hata draw yenyewe siwapi dhamanaSawa Spurs kalose but Arsenal will get 24 points in 8 games zilizobakia?tujiulize hapa Partey Tierney (msimu huu hawapo)Arsenal leo results ni fifty fifty anaweza kuwin but 8 games in a row?jibu ni HAIWEZEKANI kwa Squad hii ya kutuletea maumivu ni heri kujiandaa kisaikolojia
Mnateseka sana, mnakuja na fake ID kujifanya Arsenal fans mnatukana humu tunawachora tu, Mostly ni mafans wa Cheltako na nyumbu, shida zote za nini tulieni na timu zenu mkuu.Wewe pia huna uwezo wakumfunga southampton nashangaa unasherekea matokeo ya wenzako wakati yako huyajui na bahati mbaya Sana mbele kasimama kijana wetu homeboy kabisa A.broja na atawanyoosha kweli kweli
Tuseme inshaAllahSio nafasi ya 3 Tena?
Wewe uchukiwe una kitu gani Cha ajabu wakati kuingia tu top 4 tu mbinde namkiingia lazima mfanye shereheArsenal tunachukiwa na kila timu, Arsenal ni lijitu flani hivi likubwaaaa sleeping giant wanaogopa likiamka itakuaje, anachukiwa Mikel Arteta sababu anataka kuliamsha hili dude![]()
Umeongea kwa confidence sana mkuu, kana kwamba ulijua spurs anapoteza... Anyway tuna changamoto ya squad depth.. Tomiyasu akirudi tunaweza kutoboa. Tatizo partey na Tierney watakosekana mpaka mwisho wa msimu.. Tuombe tushinde leo ili kurudisha morali ya timuNinachojua top 4 tunaingia
Save it
#COYG
Mshaanza kubadilisha kauli aah aah!Tuseme inshaAllah
Ila nafasi ya ndani ya top four ni lazima
Hizi ndio mechi wale Arsenal toxic fans walitakiwa waangalie kujifunza mpira. Arsenal tulicheza vizuri vs Brighton kuliko Spurs, baada ya game nitacheki XG philosophy inaportray kitu
Mbona nyinyi mlikuja kwenye uzi wetu tulivyotolewa na Real Madrid ni mwendo wakujambisha tuMnateseka sana, mnakuja na fake ID kujifanya Arsenal fans mnatukana humu tunawachora tu, Mostly ni mafans wa Cheltako na nyumbu, shida zote za nini tulieni na timu zenu mkuu.
unabisha huna chuki na umeacha mambo yako uje kubishana ishu za Arsenal humu, mind your bzness yaani fuatilia timu yako. Mambo ya kushindanisha timu watu wazima tushaacha tunaangalia mpira kama Entertainment. Huo ushamba mmebaki nao Cheltako. Yaani Chelsea apoteze game nije kupigizana kelele kisa kafungwa, nimekosa kazi ?Wewe uchukiwe una kitu gani Cha ajabu wakati kuingia tu top 4 tu mbinde namkiingia lazima mfanye sherehe