Issue sio muda mkuu, muda inategemea na unachokifanya(performance) kulingana na matarajio ya unachokitegemea na kuwambia maboss wako. So km maboss wataona maendeleo yako hayaendani na matarajio kwa muda uliopewa itakuwa haina maana kukuacha mpaka umalize muda wako maana unaweza kufikia pabaya zaidi.Inshu kubwa inayo zungumziwa ni kuwa alipewa muda mdogo sana kitu kama msimu MMOJA tuu sidhani kama aliifikisha misimu miwili akatumiliwa Kwa Maneno hayo ya fitina.
Unai alikaa musimu mmoja na nusu hakufanya chochote zaidi ya kucheza fainali ya Europa. Mwishoni na mwanzoni mwa musimu timu ilikuwa na mwenendo mbaya kuanzia kucheza mpaka kupata matokeo na ilifikia mpaka kusema hana mahusiano mazuri na wachezaji pia mawasiliano yake na wachezaji hayakueleweka vzr kwa wachezaji kutokana na kutokujua Lugha ya kingereza
basi lugha ilichangia Kwa Yote hayo KUTOKEA ndani ya Arsenal.
