Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bila kusahau miaka miwili ijayo Competition itazidi kua kubwa maana Newcastle United nae atakua kwenye mbio za kufukuzia top4 ili aweze kucheza UEFA.
Mkiendeleza Uphaler wenu inaweza kuwachukua miaka 10 mbele bila ya kunusa top 4.
 
We jamaa mapenzi yanakutibua daily hebu rudi MMU kwanza
Sio issue ya mapenzi mpira ni jambo la wazi man u inabaadhi ya wachezaji ambao ni world class player kama Ronaldo,bruno, Pogba na degea wengine wote waliobaki ni average player sehemu ambazo Wana lack ya world class player ndio wapinzani wanatumia kuwaangamiza wanakamatwa kwenye midfielder na kupotezwa vibaya ni kwasababu Wana fred na mcmitominay uwezi kulinganisha na midfielders kama Kante, Kovacic wa chelseafc au Rodri na gundogan wa man city au hata fabinho na Thiago Alcantara wa liverpool.Ukija kwenye defenders kanisa hamna kitu
 
Bro umeandika vizuri ila kila nikikumbuka jinsi unafurumisha nyuzi za kuelezea jinsi mwanamle wako alivyo mtamu mi naona komaa na MMU
 
Bro umeandika vizuri ila kila nikikumbuka jinsi unafurumisha nyuzi za kuelezea jinsi mwanamle wako alivyo mtamu mi naona komaa na MMU
🀣🀣🀣🀣 Ukiwa na mahusiano ya furaha ni raha asikuambie mtu kwahiyo mzee baba usinichoke nikimsifia mtu wangu kizuri share na wenzako
 
Sisi arse8 ni timu Bora nafasi ya tatu ni yetu sisi hatuna shida na nafasi ya nne, umeona Jana tulivyoupiga mwingi..?!!
 
Manchester chalii huyu tushamtoa kwenye race, kimbembe spurs
Hao wote manjesta na spurs ni takataka TU sisi tunaitaka nafasi ya tatu, hatutaki ya nne.
Umeona Jana arse8 tulivyoupiga mwingiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
 
Gooners wote tunahamia Aston villa kwa mkopo, Stieve G, man, fanya mazuri.
Sisi arse8 ni timu kubwa sana siyo midtable timu ..hatujafikia hatua ya kuomba timu ndogo kama astonivilla ishinde Ili itubebe sisi, tutake radhi tafadhali..,πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hata hivyo jinamizi mpaka kuwaacha kabisa barca itachukua hata nusu msimu ujao.

Sina shaka na uwezo wa Arteta
Kwa kweli hatuna shaka, Jana kaupiga mwingi sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
#atretaMitanoTena
 
Ila masela mlichekeshaga umati mlipoanza kusema focus sasa ni kuiondoa Chelsea pale nafasi ya tatu.

Siku ile mlikua mmelewa?
Hahahahaha maake apo ngoja ncheke kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ile kauli Hadi Sasa najiuliza ikitokea wapi na imepotea gafla bin vuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…