Daah,haya bwana... Hata Madrid alikuwa wa Dunia nzima.Mabingwa wa DUNIA nzima View attachment 2179332
Mkuu Castr unamuonaje Unai![]()
inauma!!jamaa anaiacha Gunnerz licha ya kufika fainali Europa league dhidi ya Chelsea anatoka Kapa.Anaingia Villarreal ana chukua kikombe mbele ya man UTD
.inauma!!jamaa anaiacha Gunnerz licha ya kufika fainali Europa league dhidi ya Chelsea anatoka Kapa.Anaingia Villarreal ana chukua kikombe mbele ya man UTD
.
Na Sasa Yuko robo fainali Uefa na kama % kadhaa za kuingia nusu fainali kama wakicheza kama walivyo cheza Jana na kuongeza umakini golini.
#arsenal ana gundu.
Tuengee na jamaa atupe Chukwueze. Tumuweke right wing yeye, Saka ahamie left, martinelli aingie middle. positions muhimu hizo zinakuwa na angalau wachezaji wawili wakali.Jamaa amekamia UCL.
Kwenye ligi katoka kutembelea kipigo kutoka kwa levante na cadiz.
Na sasa hivi anashika nafasi ya saba with slim chances kuingia namba 6 na 5 so amefanikiwa kuwafanya wachezaji wake wajue kua way in kwenye UCL is thru UCL na siyo kwenye ligi.
Hata hivyo chances za kuchukua kombe la CL nafikiri ni next to impossible.
So sooner or later ataonekana ni kiazi tu.
Unaonekama bado mtoto mdogo hata kwa namna unavyoreason mambo.
Mimi napenda madogo kama nyie muelewe mpira in deep. Mpira haupo hivyo mdogo wangu, Unai Emery alikosa imani ya mashabiki ila uongozi ulikuwa na imani naye, ikabidi aende. Football is not a zero sum game, yaani kufanikiwa kwa Unai hakumzuii Arteta kufanikiwa, Arteta anajenga kitu sustainable yaani project over results, nasemaga kila siku watu msiojua mpira ndio mnajudge kila kitu kwa kuangalia matokeo, Striker asiyefunga sio mzuri sasa jiulize kwanini Firmino ni mchezaji mzuri pale Liverpool wakati hafungi compared to their wide forwards? Mnataka kujudge everything in a short run, long run sustainability haina maana kwenu hii ndio akili ya mbongo pure, Barcelona wangempa kazi kocha yoyote elite but they opt for xavi, that's sustainability, rudi shule jifunze soka kabla ya kujudge usichokielewa.







Wana Boulaye pia. Forward mapafu ya mbwaTuengee na jamaa atupe Chukwueze. Tumuweke right wing yeye, Saka ahamie left, martinelli aingie middle. positions muhimu hizo zinakuwa na angalau wachezaji wawili wakali.
Tuchel kachukua kombe Chelsea akitokea wapi?inauma!!jamaa anaiacha Gunnerz licha ya kufika fainali Europa league dhidi ya Chelsea anatoka Kapa.Anaingia Villarreal ana chukua kikombe mbele ya man UTD
.
Na Sasa Yuko robo fainali Uefa na kama % kadhaa za kuingia nusu fainali kama wakicheza kama walivyo cheza Jana na kuongeza umakini golini.
#arsenal ana gundu.
Hapa kwa Xavi natofautiana na wewe.Unaonekama bado mtoto mdogo hata kwa namna unavyoreason mambo.
Mimi napenda madogo kama nyie muelewe mpira in deep. Mpira haupo hivyo mdogo wangu, Unai Emery alikosa imani ya mashabiki ila uongozi ulikuwa na imani naye, ikabidi aende. Football is not a zero sum game, yaani kufanikiwa kwa Unai hakumzuii Arteta kufanikiwa, Arteta anajenga kitu sustainable yaani project over results, nasemaga kila siku watu msiojua mpira ndio mnajudge kila kitu kwa kuangalia matokeo, Striker asiyefunga sio mzuri sasa jiulize kwanini Firmino ni mchezaji mzuri pale Liverpool wakati hafungi compared to their wide forwards? Mnataka kujudge everything in a short run, long run sustainability haina maana kwenu hii ndio akili ya mbongo pure, Barcelona wangempa kazi kocha yoyote elite but they opt for xavi, that's sustainability, rudi shule jifunze soka kabla ya kujudge usichokielewa.
kwamba ARTETA anaweza kuitibu Arsenal kabla ya XAVI kuitibu Barcelona.Hapa kwa Xavi natofautiana na wewe.
Koeman alipoichukua Barca alikua ameamua kuisuka kutokea chini.
Akaintroduce youngsters 12 ambao akawa anawapa namba regularly.
Under Koeman Barca ilikua kama Spain ya Euro 21 inamiliki mpira, create chances ila hawascore.
Nafikiri pia kauli za utata za Koeman alizokua akitoa mara nyingi zilichangia yeye kuondoka.
Xavi amerithi wale youngsters 12. Ameleta Torres, Alves, Traore na Auba, Dembele kapona, matokeo anapata.
Kuifunga Madrid nafikiri ni kubwa kuliko to the extent wanasahau aliyelaza msingi wa youngsters wa Xavi ni Koeman na bado ana safari ndefu, kwa maoni yangu ni kwamba Arteta yuko karibu kuitibu Arsenal kuliko Xavi Barca kama route itakua hii hii bila cash kuhusika kati.
NB. Barca aweza enda CL kabla ya Arsenal koz ligi yao siyo pinzani sana
Ndiyokwamba ARTETA anaweza kuitibu Arsenal kabla ya XAVI kuitibu Barcelona.
mkuu jamaa anazunguza generally we unampa details zinazotengeneza general infor yake.hapa hatakuelewaNdiyo
Sawamkuu jamaa anazunguza generally we unampa details zinazotengeneza general infor yake.hapa hatakuelewa

Kama jamaa asipokuelewa hapa, hataweza kuelewa kamwe.. Umemaliza kila kitu.. Arteta anaenda kutengeneza timu bora Sana pale Arsenal. Na jamaa atakaa muda mrefu sana pale ArsenalHapa kwa Xavi natofautiana na wewe.
Koeman alipoichukua Barca alikua ameamua kuisuka kutokea chini.
Akaintroduce youngsters 12 ambao akawa anawapa namba regularly.
Under Koeman Barca ilikua kama Spain ya Euro 21 inamiliki mpira, create chances ila hawascore.
Nafikiri pia kauli za utata za Koeman alizokua akitoa mara nyingi zilichangia yeye kuondoka.
Xavi amerithi wale youngsters 12. Ameleta Torres, Alves, Traore na Auba, Dembele kapona, matokeo anapata.
Kuifunga Madrid nafikiri ni kubwa kuliko to the extent wanasahau aliyelaza msingi wa youngsters wa Xavi ni Koeman na bado ana safari ndefu, kwa maoni yangu ni kwamba Arteta yuko karibu kuitibu Arsenal kuliko Xavi Barca kama route itakua hii hii bila cash kuhusika kati.
NB. Barca aweza enda CL kabla ya Arsenal koz ligi yao siyo pinzani sana
Ni utabiri,Tusubiri tuone.Kama jamaa asipokuelewa hapa, hataweza kuelewa kamwe.. Umemaliza kila kitu.. Arteta anaenda kutengeneza timu bora Sana pale Arsenal. Na jamaa atakaa muda mrefu sana pale Arsenal
Hii siyo chelsea chura weweLeo asernal tunapigwa tena
Hapa kwa Xavi natofautiana na wewe.
Koeman alipoichukua Barca alikua ameamua kuisuka kutokea chini.
Akaintroduce youngsters 12 ambao akawa anawapa namba regularly.
Under Koeman Barca ilikua kama Spain ya Euro 21 inamiliki mpira, create chances ila hawascore.
Nafikiri pia kauli za utata za Koeman alizokua akitoa mara nyingi zilichangia yeye kuondoka.
Xavi amerithi wale youngsters 12. Ameleta Torres, Alves, Traore na Auba, Dembele kapona, matokeo anapata.
Kuifunga Madrid nafikiri ni kubwa kuliko to the extent wanasahau aliyelaza msingi wa youngsters wa Xavi ni Koeman na bado ana safari ndefu, kwa maoni yangu ni kwamba Arteta yuko karibu kuitibu Arsenal kuliko Xavi Barca kama route itakua hii hii bila cash kuhusika kati.
NB. Barca aweza enda CL kabla ya Arsenal koz ligi yao siyo pinzani sana
Hapa kwa Xavi natofautiana na wewe.
Koeman alipoichukua Barca alikua ameamua kuisuka kutokea chini.
Akaintroduce youngsters 12 ambao akawa anawapa namba regularly.
Under Koeman Barca ilikua kama Spain ya Euro 21 inamiliki mpira, create chances ila hawascore.
Nafikiri pia kauli za utata za Koeman alizokua akitoa mara nyingi zilichangia yeye kuondoka.
Xavi amerithi wale youngsters 12. Ameleta Torres, Alves, Traore na Auba, Dembele kapona, matokeo anapata.
Kuifunga Madrid nafikiri ni kubwa kuliko to the extent wanasahau aliyelaza msingi wa youngsters wa Xavi ni Koeman na bado ana safari ndefu, kwa maoni yangu ni kwamba Arteta yuko karibu kuitibu Arsenal kuliko Xavi Barca kama route itakua hii hii bila cash kuhusika kati.
NB. Barca aweza enda CL kabla ya Arsenal koz ligi yao siyo pinzani sana