MkoPoKa kama unavyosema sasa kikosi kikiwa kifinyu nani alaumiwe?wa kulaumiwa ni kocha mpumbavu na technical wake dunia nzima ilipiga kelele mambo ya usajili mwishowe tukabaki na Laca na Nketiah kama forwards kwenye Mid Xhaka na Partey

alone Arteta na Edu wana tabia ya kujiamini kumbe ni wapumbavu tu kuna players wameenda kwa loan timu zingine na wanaperform better kabisa imagine benchi la Arsenal la sasa hivi kuna vitoto majina yao hata hayafahamiki ndio wanakaa benchi unaona kabisa gameplan ikifeli au important player akiumia replacement hakuna