Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yeah, kuchukua UEFA ni moja ya factors inayoonyesha ubora wa team.
Hata kushiriki UEFA nayo ni dalili ya ubora, isingekuwa hivo Timu zisingekuwa zinahangaika kuingia Top 4.
Nikuulize wewe, unapima ubora kwa mzani upi???
Kitu gani Arsenal wamefanya, mpaka unasema ni bora
Man city hajawahi kuchukua UEFA je sio timu bora?

Kwani unaweza kushika nafasi za juu ikiwa haushindi mechi zako?

Kuwa bora ni pamoja na kuwa na kikosi cha wachezaji wenye class kubwa ambao wanaweza kushindana na mpinzani yeyote lkn pia uwe na kikosi kipana kiasi kwamba hata kukiwa na majeruhi au suspension ya mchezaji kusionekane pengo.

Sasa je class inaletwa na nini? Inaletwa form. Km mchezaji anakuwa na form nzr na akawa na mwendelezo wa hiyo form hapo anahama na kuingia kwenye class yan ukishafikia kwenye class ujue hata ukiwa na form mbaya kwenye mechi bado utabebwa na class yako kwa kuwa muda wowote unaweza fanya kitu.

Arsenal ilikuwa bora sana mpaka kufikia 2008 baada ya hapo ilianza kushuka taratibu mpaka 2016/17 ndo ilishuka na kushindwa kumaliza ligi katika nafasi 4 za juu. Na sasa timu ipo katika kujijenga ili irudi kwenye ubora wake na process inaenda vzr. Na kwa kukukumbusha tu ni kwamba 2015/2016 Arsenal alimaliza nafasi ya pili nyuma ya Leicester city, je hakuwa bora??
 
MY FEAR IS FINALLY CONFIRMED ‼️

Wishing you a successful surgery Kieran, you will be seriously miss in our quest for the UCL spot but we will do it for you.

KIERAN TIERNEY TO HAVE SURGERY LATER THIS WEEK ON KNEE INJURY, RULING HIM OUT FOR SEVERAL MONTHS. WILL MISS REMAINDER OF PREMIER LEAGUE SEASON & POTENTIALLY SCOTLAND’S #QATAR2022 QUALIFYING PLAY-OFF VS UKRAINE PROPOSED FOR JUNE.

SEE YOU IN THE UEFA CHAMPIONS LEAGUE NEXT SEASON TIERNEY (DE' SCOTTISH LIGHTNING) I blame the Scottish manager for playing you 90 minutes in 2 meaningless friendlies when crucial competition is ahead.

I pray my fear on Thomas Partey won't turn out like this too .

Let's get the UCL spot guys.

I AM ARSENAL THROUGH AND THROUGH .
 
Great player but prone to injury. Without proper backup, the team suffers.
Feels like his desire and mental strength is far to stong for his physical capabilities.

Defeat to Crystal Palace, injury of Tierney and Partey, seems a disastrous news. However, I do have a certain confidence, these young (kids?) squad and also the young manager, should have take lessons.
We will bounce back, getting stonger, and achieve the best for the season
We are in trouble now with Tavares covering him... Speed recovery lad
 
We have to change formation. We have to play it safe. We knew the risk of having a limited squad. Injury has killed our season. Surely we have to revert to a back 3 formation. It’s said it happened now, but we have to go on about the remaining matches with caution.
 
Nadhani mnamuona Darwin Nunez anachokifanya huko Uefa

We have to qualify to champions league in order to get such Dude
 
ooh viporo vimechacha sasa dhisi ize championzzzzzz
IMG-20220405-WA0004.jpg
 
Man city hajawahi kuchukua UEFA je sio timu bora?

Kwani unaweza kushika nafasi za juu ikiwa haushindi mechi zako?

Kuwa bora ni pamoja na kuwa na kikosi cha wachezaji wenye class kubwa ambao wanaweza kushindana na mpinzani yeyote lkn pia uwe na kikosi kipana kiasi kwamba hata kukiwa na majeruhi au suspension ya mchezaji kusionekane pengo.

Sasa je class inaletwa na nini? Inaletwa form. Km mchezaji anakuwa na form nzr na akawa na mwendelezo wa hiyo form hapo anahama na kuingia kwenye class yan ukishafikia kwenye class ujue hata ukiwa na form mbaya kwenye mechi bado utabebwa na class yako kwa kuwa muda wowote unaweza fanya kitu.

Arsenal ilikuwa bora sana mpaka kufikia 2008 baada ya hapo ilianza kushuka taratibu mpaka 2016/17 ndo ilishuka na kushindwa kumaliza ligi katika nafasi 4 za juu. Na sasa timu ipo katika kujijenga ili irudi kwenye ubora wake na process inaenda vzr. Na kwa kukukumbusha tu ni kwamba 2015/2016 Arsenal alimaliza nafasi ya pili nyuma ya Leicester city, je hakuwa bora??
Hiyo arse8 ya 2015 haikuwa Bora ...ni kwamba timu zingine zilikuwa dhaifu..
 
Kwa mtazamo unapopata ushindi takwimu za expected goal kubwa zina raha kwa sababu zinakupa mukhtasari wa jinsi timu ilivyoperform kwenye ushambuliaji, kinyume na hapo nazichukulia kuwa ni mbwembwe zinazoongezea ladha ya ubishani na matumaini hewa. kwa mfano mechi yenu muliopata ushindi wa magoli 3 kwa 2 dhidi ya watford ni uthibitisho tosha. watford walikuwa na XG ya 1.42 huku arsenal wakiwa na XG ya 0.92. Kiupande wetu tokea aje ralf rangnick tumekuwa na takwimu nzuri kama hizo, chance created na big chances created lakini matokeo yetu bado yameendelea kudorora.
Watford-2-3-Arsenal-2022-Match-Stats-338x700.jpg.jpeg
hizi ni takwimu za mechi yenu dhidi ya watford iliochezwa march 6. Bado nawapa nafasi ya kushika nafasi ya 4 kuliko timu nyengine.
 
Bro on paper United ina kikosi kizuri, world class, usibishe.

Starting 11 ya United yote inaitwa national team.

Kudai United haina kikosi superior ni uongo.

Last time Arsenal won a trophy ni kweli Trump alikua rais. Na last time united won anything ilikua Trump ni nani?

Arteta bado hawezi fananishwa na makocha wengi wakubwa wakubwa ila jamaa ni mzuri na anaelekea huko kwenye ukubwa.

Working wonders with the squad he has.
Fred, scott mcmitonay, shaw, magwaya, Alex telles, victor lindelof, Rashford,Elanga wanaweza kuingia kwenye vikosi vya Chelsea, Man city na Liverpool?
 
Fred, scott mcmitonay, shaw, magwaya, Alex telles, victor lindelof, Rashford,Elanga wanaweza kuingia kwenye vikosi vya Chelsea, Man city na Liverpool?
We jamaa mapenzi yanakutibua daily hebu rudi MMU kwanza
 
Fred, scott mcmitonay, shaw, magwaya, Alex telles, victor lindelof, Rashford,Elanga wanaweza kuingia kwenye vikosi vya Chelsea, Man city na Liverpool?
Kwanini wasiingie na kwanini waingie?
 
Kwa mtazamo unapopata ushindi takwimu za expected goal kubwa zina raha kwa sababu zinakupa mukhtasari wa jinsi timu ilivyoperform kwenye ushambuliaji, kinyume na hapo nazichukulia kuwa ni mbwembwe zinazoongezea ladha ya ubishani na matumaini hewa. kwa mfano mechi yenu muliopata ushindi wa magoli 3 kwa 2 dhidi ya watford ni uthibitisho tosha. watford walikuwa na XG ya 1.42 huku arsenal wakiwa na XG ya 0.92. Kiupande wetu tokea aje ralf rangnick tumekuwa na takwimu nzuri kama hizo, chance created na big chances created lakini matokeo yetu bado yameendelea kudorora.View attachment 2177906hizi ni takwimu za mechi yenu dhidi ya watford iliochezwa march 6. Bado nawapa nafasi ya kushika nafasi ya 4 kuliko timu nyengine.
umeshiba kande Nini!!!

Chance created!!!!! Kwamba chance created Kwa Watford ndo uthibitisho wa Arsenal kumaliza top four!

Unatoa takwimu Kwa mechi iliyo pita badala ya kuangalia opponent atakao kutana nao kwenye next fixture.
 
umeshiba kande Nini!!!

Chance created!!!!! Kwamba chance created Kwa Watford ndo uthibitisho wa Arsenal kumaliza top four!

Unatoa takwimu Kwa mechi iliyo pita badala ya kuangalia opponent atakao kutana nao kwenye next fixture.
nilichokiandika na ulichojibu ni njia mbili tofauti(niliwahi kukwambia una tatizo la kukurupuka kujibu).huko nyuma will jr alimdiscredit vieira na alisema arsenal walikuwa bora zaidi ya crystal palace na akatolea mfano wa takwimu za XG kwa upande wa arsenal licha ya kufungwa goli 3 walikuwa juu ya crystal palace. Mimi nikatolea mfano wa mechi yao dhidi ya watford, kupitia mechi hiyo kwa takwimu za XG arsenal alizidiwa licha ya kushinda goli 3. juzi kipindi cha pili walicheza vizuri sana ndio maana nikasema bado wana nafasi ya kupata nafasi ya nne, au ulitaka niitaje manchester united kuwa wana nafasi ya kushika nafasi ya 4 kuliko arsenal?. Licha ya kufungwa kwao hilo haiondoi ukweli wa kwamba timu yao ina muunganiko bora kuliko manchester united licha ya kwamba ndio timu ninayoishabikia.
 
nilichokiandika na ulichojibu ni njia mbili tofauti(niliwahi kukwambia una tatizo la kukurupuka kujibu).huko nyuma will jr alimdiscredit vieira na alisema arsenal walikuwa bora zaidi ya crystal palace na akatolea mfano wa takwimu za XG kwa upande wa arsenal licha ya kufungwa goli 3 walikuwa juu ya crystal palace. Mimi nikatolea mfano wa mechi yao dhidi ya watford, kupitia mechi hiyo kwa takwimu za XG arsenal alizidiwa licha ya kushinda goli 3. juzi kipindi cha pili walicheza vizuri sana ndio maana nikasema bado wana nafasi ya kupata nafasi ya nne, au ulitaka niitaje manchester united kuwa wana nafasi ya kushika nafasi ya 4 kuliko arsenal?. Licha ya kufungwa kwao hilo haiondoi ukweli wa kwamba timu yao ina muunganiko bora kuliko manchester united licha ya kwamba ndio timu ninayoishabikia.
Ambacho haujaelewa ni kipi hapo?

Nilicho Manisha,Hiyo Chance ya kuingia top four haipimwi Kwa kuangalia mechi zilizo pita. Angalia next fixture Kwa opponent unae kutana nae.

Kucheza vizuri na kupata matokeo ni vitu viwili tofauti Mkuu. Arsenal hata mechi dhidi ya Liverpool alicheza vizuri lakini alilose,hiyo ya Palace will Jr anadai gunnerz alicheza vizuri lakini alilose, Vipi kucheza vizuri halafu matokeo hupati faida yake Nini???Kufurahisha watazamaji au vipii? Kuna kucheza vizuri na kucheza Kwa technique kusudi upate matokeo.
 
Mkuu Castr unamuonaje Unai😅
Jamaa amekamia UCL.

Kwenye ligi katoka kutembelea kipigo kutoka kwa levante na cadiz.

Na sasa hivi anashika nafasi ya saba with slim chances kuingia namba 6 na 5 so amefanikiwa kuwafanya wachezaji wake wajue kua way in kwenye UCL is thru UCL na siyo kwenye ligi.

Hata hivyo chances za kuchukua kombe la CL nafikiri ni next to impossible.

So sooner or later ataonekana ni kiazi tu.
 
Jamaa amekamia UCL.

Kwenye ligi katoka kutembelea kipigo kutoka kwa levante na cadiz.

Na sasa hivi anashika nafasi ya saba with slim chances kuingia namba 6 na 5 so amefanikiwa kuwafanya wachezaji wake wajue kua way in kwenye UCL is thru UCL na siyo kwenye ligi.

Hata hivyo chances za kuchukua kombe la CL nafikiri ni next to impossible.

So sooner or later ataonekana ni kiazi tu.
kiazi kisa yupo nafasi ya sita?
au kisa yupo robo na kampiga mwingi bayern?
 
Back
Top Bottom