Arsenal wafukuzwe LondonAser8 kufuzu kushiriki UCL tatizo, sasa lini itafanikiwa kubeba UEFA jamani.
Hawa London wenzetu tuwaonee huruma jamani.
Unaweza kushangaa wanaoshinda mbili au tatu hapo.vs ManU(H)
vs Westham (A)
vs Spurs (A)
vs Chelsea (A)
Hizi zote tunapoteza...zoteee!
Brighton hanaga Adabu pale EmiratesArsenal must get the win today otherwise ni Tottenham Hotspur atakuwa na big chance ya kumaliza top 4 last season Brighton tulimfunga home and away but ni timu ambayo inatusumbua sana tukiplay nao na waliwahi kutubania nafasi ya top 4 tena Emirates wakati wa Unai
Mashabiki wenzako walishakubaliana kua makombe sio kipaumbele cha timu yenu, kipaumbele chenu ni clean shit na kupiga vyenga kwa wingi.Akiondoka KROENKE Arsenal itatafuta kocha mwenye EXPERIENCE YA KUTOSHA ya michuano ya Ulaya kwa ujumla sio MBAHATISHAJI na hapo Arsenal itapata wachezaji wenye QUALITY AND EXPERIENCE last 2 weeks Arsenal alikuwa ana game 3 mkononi leo zimeyeyuka kama barafu hakuna kocha Duniani mwenye EXPERIENCE YA KUTOSHA atapoteza big opportunity kama hii Sisi wengine haya tuliyajua na hatushangai Bye bye Top 4 tujipange na Europa au Conference League
Arteta akiendelea kuwa kocha wa Arsenal na owner Kroenke kamwe Arsenal haitakuja kupata mafanikio zaidi ya kushiriki EPL na kuambulia nafasi ya 6 pekee
Arteta kapambwa sana na baadhi ya die hard fans humu ila kiwango chake ni cha kawaida mno mno game 4 mkononi then anapoteza big opportunity ya kwenda champions league?ohh my God
Ukiangalia XG numbers utaona tunacreate many chances ila hatupo clinical enough, kwa game hii Arsenal created (2.27)1- 2(0.7) Brighton, kwa ishu ya midfield, of course, yes, we are not technically secure nadhani inachangiwa na experience, also tukiwa under pressure tunakosa Calmness, naona timu yote technical quality imeshuka hizi game mbili, magoli tunayoconcede ni mepesi na tunapoteza chance nyingi, leta maoni..Will Jr mid ni muhimu. I hate that am right at this point
Aser8 akicheza mashabiki wake duniani kote wanavaa kanga moja iliyolowa maji, wanakatiza mitaani wakitingisha wowowoo, wakisema chukua yote.





Hili goal la mwepu lazima limewatoa mavi mashabiki wa arsenal
Kuchemsha kwake Arsenal leo ametoka kwenye kugombania Top 4 rasmi


ngoja wenzako waje kukushambulia na kukuita mamluki. Mimi ni die hard fan wa Arsenal ila tangia msimu ulivyokuwa unaenda nilishaongea sana kwa sasa wote tunaona hali halisingoja wenzako waje kukushambulia na kukuita mamluki.
Mashabiki wa hii timu hawapendagi kuambiwa ukweli hua wanapenda kuishi kwa matumaini.
Selection ilikuwa poa, very tactical, hata structurally he did best unaona tunacreate enough chances thru sustaining waves of attacks, the issue ni individualleo kweli kachemka wazi wazi kabisa. sijui kama atajifunza. maana kama mashabiki wanaona wazi kakosea, yeye ataweza kuona makosa yake ajirekebishe?
Wenzio bado wanamatumaini ya top 4 hawajakata tamaa.Mimi ni die hard fan wa Arsenal ila tangia msimu ulivyokuwa unaenda nilishaongea sana kwa sasa wote tunaona hali halisi
Tatizo la mashabiki wa Arsenal humu wameanza kuishabikia juzi juzi tu na ndiyo maana hawaelewi tunaposema KROÈNKE HAFAIAkiondoka KROENKE Arsenal itatafuta kocha mwenye EXPERIENCE YA KUTOSHA ya michuano ya Ulaya kwa ujumla sio MBAHATISHAJI na hapo Arsenal itapata wachezaji wenye QUALITY AND EXPERIENCE last 2 weeks Arsenal alikuwa ana game 3 mkononi leo zimeyeyuka kama barafu hakuna kocha Duniani mwenye EXPERIENCE YA KUTOSHA atapoteza big opportunity kama hii Sisi wengine haya tuliyajua na hatushangai Bye bye Top 4 tujipange na Europa au Conference League
Arteta akiendelea kuwa kocha wa Arsenal na owner Kroenke kamwe Arsenal haitakuja kupata mafanikio zaidi ya kushiriki EPL na kuambulia nafasi ya 6 pekee
Arteta kapambwa sana na baadhi ya die hard fans humu ila kiwango chake ni cha kawaida mno mno game 4 mkononi then anapoteza big opportunity ya kwenda champions league?ohh my God
Mzee wa race hongera sana kwa kuongoza ligi baada ya kumtoa Man United.Manchester chalii huyu tushamtoa kwenye race, kimbembe spurs
Tuandike kinyakyusa chetu mkuu!This is pain in the ARSEnal