Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu ni rahisi sana Xavi kuwin La liga hata kufanya vizuri UCL msimu ujao kuliko Mikel Arteta, sio kwamba Xavi ni bora kuliko Arteta ila ni sababu ya vikosi walivyorithi, Kwangu Arteta ni bora kuliko Xavi.


Barcelona ilikosa balance under Koeman, Xavis elite system pamoja na his tactical id zinaipa Barcelona inachohitaji kwa muda mfupi tu baada ya kijiunga nao, moja ya kitu alichofanya ni kusajili penetrative players Adama, Ferran, Auba sababu makocha wa nyuma walikuwa wamerely on to feet playsrs kama Messi, Griezmann etc...Barca ni wazuri kwenye build up so ujio wa Adama , Ferran etc unawapa uwezo wa kucreate kutoka kwenye midfield areas, pia kutengeza 1 v 1 situations na Kitu kingine kwa wale passers from midfield area inaongeza options sababu uwanja unatanuliwa na hawa outlets wakiwa kwenye touchline.

Sasa inawezekana hadi sasa kama koeman angekuwepo bado wangestruggle kwa kukosa balance kutokana na system anayotumia, Barcelona under koeman was bad Xavi kaleta result

Xavi atafanikiwa haraka kuliko Arteta sababu ya vikosi walivyorithi, Xavi alikuta kikosi kizuri kuliko Arteta Arsenal, kwangu Arteta ni bora kuliko Xavi japo wote on-ball & off-ball idea zao wametoa from the same master, Pep Guardiola.

Arteta alirithi hii timu and he managed to play out from the back with this, also he won two trophies with

View attachment 2181426
Hata hivyo jinamizi mpaka kuwaacha kabisa barca itachukua hata nusu msimu ujao.

Sina shaka na uwezo wa Arteta
 
Kama jamaa asipokuelewa hapa, hataweza kuelewa kamwe.. Umemaliza kila kitu.. Arteta anaenda kutengeneza timu bora Sana pale Arsenal. Na jamaa atakaa muda mrefu sana pale Arsenal
Mimi shabiki wa arsenal ila sitegemei ije kuwa timu nzuri labda mpaka kroenke auze asepe. Yule siku sio nyingi atauza martinelli, saka, Rowe, ramsdale, odegaard na tienery then tutaanza upya.
 
Arsenal must get the win today otherwise ni Tottenham Hotspur atakuwa na big chance ya kumaliza top 4 last season Brighton tulimfunga home and away but ni timu ambayo inatusumbua sana tukiplay nao na waliwahi kutubania nafasi ya top 4 tena Emirates wakati wa Unai
 
Kuangalia mechi online kwa pc imekuwa ngumu kuliko arsenal kuingia top 4.
hesgoal.tv nakutana na malink ya page za betting tu daah.

nani anajua streaming site ya uhakika anisaidie tafadhali?
 
Game ya leo tumeshikwa hasa kati, mipira inafia hapo. Pengo la partey lipo waz kabsa.

amjarbu elneny
 
Back
Top Bottom