Arsenal (The Gunners) | Special Thread

as i wrote early, yesterday defeat was very embarrasing, let's bring our emotions down before we ignite anger. tuongelee udhaifu na strength zetu. haipendezi tuwe mfano mbaya kwenye uzi wetu kwamba tukifungwa, wenyewe kwa wenyewe tuanzisha ligi yetu
 
Kwambaaa😂😂😂
 
😂😂😂😂😂
 
uwa natofautiana naye when claims that he sees what don't see in football.
Will Jr anaangalia mechi chache za timu zingine kisha anarely kwenye stats.

Hiyo ndiyo assumption yangu.

Waweza kuta anasisitiza kitu ukimuuliza analeta stats ukimuuliza mbona hivi iko hivi hapo jibu atakosa ndo mtakutana siku nyingine.
 
Trouble starts here, partey injured, Tierney injured, tomayasu injured where do you see Arsenal ?
Bob hapa ni kuanza dua mbaya kwa wengine.

Maisha ya kimiyeyusho sana haya katika mpira.
 
Poleni Gunners wenzangu. This was the most humbling experience of the season for us. Sasa kazi inaanza. Tutarespond vipi?
 
An endless cycle of praise and resentment towards Mikel Arteta.
Kuna muda saa mbovu huwa inasema ukweli, na hili ndo linaikumba Arsenal.
Hii issue ilitukuta Man U tulipokuwa na Solskjaer, kuna muda timu ina perform na inapata ushindi lkn deep down unajua hapa hatuna kocha.
Although Arteta is better than Solskjaer, siyo top coach. Hana calibre ya ku compete at the highest level kama elite coaches kina TT, JK, AC
How can you bottle the chances za kuingia Top 4, when it matters most???
Aisee Arteta ni Upgrade ya Ole😂
 
as i wrote early, yesterday defeat was very embarrasing, let's bring our emotions down before we ignite anger. tuongelee udhaifu na strength zetu. haipendezi tuwe mfano mbaya kwenye uzi wetu kwamba tukifungwa, wenyewe kwa wenyewe tuanzisha ligi yetu
I was very sceptical jana yote, ndio maana nilikuuliza unaona mechi itakuwaje! Nikiwaza jinsi Vieira alivyomsimamisha man city na kupata 4points kwake, sisi lazima tungechezea tu!!
 
Yan Arsenal kupoteza game ya jana, maneno yanayosemwa utazan ndo game ya kwanza tumefungwa toka ligi inaanza, ila hii inaonyesha ni kwanamna gan unapokua bora unapata maadui wengi sana tofauti na mwanzo ilivyokua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…