Umeyaona Leo?... Tatizo mkiambiwa munakuwa wabishi.
Arsenal bado saana,Arsenal ni nguvu ya soda.
Anaweza akawin MFULULIZO game 6 ,Must game ana poteza point. Normal.
Arsenal bado Sana,Tena Saana.Kwanini???? Ana kikosi kidogo.Ushindi wake unategemea first eleven yake ikiwa fit 100%.
Tieney hayupo kawekwa Tavares,pengo limeonekana wazi.
Martinelli hakuwa fit ndo maana hakuanza,nafasi yake kapewa Rowe ambaye mara nyingi ni mzuri akitokea benchi,pengo halikuzibika.
Kama kawaida midfielders wa Arsenal nguvu nyingi akili kidogo(Xhaka na Partey)Asipopata kadi ya njano,atapata nyekundu au ata sababisha nyekundu hasa ikitokea wamekutana na viungo Wanao tumia akili nyingi Garaga.Bisouma,Ward pouse.