Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,896
- 1,698
So amna improvement unayoiona ?Inabadilika mechi kadhaa,mechi kadhaa inabadilika tena.
So amna improvement unayoiona ?Inabadilika mechi kadhaa,mechi kadhaa inabadilika tena.
Improvement ipo siku nyingi TU tangu Arteta aichukue gunnerz lakini hiyo improvement Haina consistently.So amna improvement unayoiona ?
when they cant find something wrong about you,then they will definitely create that"wrong"Improvement ipo siku nyingi TU tangu Arteta aichukue gunnerz lakini hiyo improvement Haina consistently.
Arsenal anaonekana ka improve Kwa sababu ya kukaa muda mrefu bila kucheza. Ivi unajua kama Arsenal kasogea kwenye idadi Sawa ya mechi baada ya kucheza juzi game ya Liverpool na Aston villa.Kabla ya hapo alikuwa na idadi ya mechi 25 Ingali wengine Wana idadi ya mechi 29 mpaka 28. Hiyo imechangia Arsenal kuonekana wako fresh Kwa advantage ya wachezaji wao wote kikosi Cha kwanza kuwa fit ko Ile confidence na spirit ya ushindi ilikuwepo. Kama kawaida Arsenal zile must win kujiweka vizuri Huwa ana dondosha point licha ya kuwin mechi karibia Tano bila kupoteza previously before.
Ligi imerudi,subiri muwe na game wiki hadi wiki au baada ya siku kadhaa uonee improvement vizuri.
Muda utaongeea Mkuu!when they cant find something wrong about you,then they will definitely create that"wrong"
no body says arsenal is top perfoming and cutting it short even next year we dont expect mirracles as many outsiders view our team.we need a proper progressive process and arteta is the right manager to spearhead it.
some will compare the imadeate change shown by xavi hernandez at barcelona,bear in mind that we are not barcelona generally and in details.
what people hate about arsenal is the future posibility displayed by curent squad.its not yet but at least its promising.
ni hatari saana.
Huna hoja,Kanywe double kick akili ikukae vizuri. Matamanio yanakutesa saaana.Yani unatamani makubwaa ingali uwezo hauna.Dogo jifunze mpira uelewe vizuri, sio makosa yako, mahaba yanakutesa.
Hongera kwake. Itampa confidence zaidi.
Hao walioshinda mechi zote wamecheza game 3 na yeye kacheza game 4 na kupigwa 1, so 4-1=3 kwahiyo Ngoma drawHongera kwake. Itampa confidence zaidi.
Sijui kawashindage wengine walioshinda mechi zao zote ila vizuri kwetu.
Nilidhani mpambano ulikuwa kati ya Klopp na Tuchel. Kina Arteta wamewekwa kujaza nafasi. Kumbe young boss Mik Teta anasepa na zawadi.Hao walioshinda mechi zote wamecheza game 3 na yeye kacheza game 4 na kupigwa 1, so 4-1=3 kwahiyo Ngoma draw
unahisi Nani alistahili kushinda kati ya aliecheza michezo mi3 na kushinda yote na aliecheza michezo 4 na kufungwa 1?
Achana nao hawa mzee JK alishawaita ni kichwa cha mwendawazimu.Sawa.Mchaka mchaka wa Ligi unarudi kuanzia kesho.
Visingizio havitakosekana matokeo yakitokea yasiyo tarajiwa.
Lacazate hatakiwi kumaliza dk 90,Ile faulo ya Xhaka angeacha TU,Leno haijiamini baada ya kupoteza Rasmdale,Partey na odergard Wana over work baada ya international break ndo maana kiwango hakikuwa kizuri,Martinnel ana udhi ana Kaa na mpira Sana badala ya kutengeneza nafasi au kufunga,Rowe na Saka mechi mbili wana perfom mechi mbili hawaperfom, Huyu refa ana ionea Arsenal, Uingereza Hawataki Arsenal acheza uefa Kuna watu watasema hivi
. Yes it's Rubbish
Injury na CoronaKwa wachezaji kumefanya kuonesha gape. Si muwe na kikosi kipana chenye rate Sawa Kwa wachezaji. Liverpool akikosekana Fabinho Jones anakiwasha, Akikosea TAA James anakinukisha, Thiago akikosekana chambalen product yenu Inakipiga Mane na Salah Kuna minamino na jota na mcolombia
.Partey,Saka,Martinelli ,Ramsdale
kilio
Hizo ni Ramli chonganishinaona wapiga ramli wametia timu
na hapo arteta bado hajaisuka timu ipasavyo
awali tuliambiwa tutashuka daraja
😀😀😀 haya bhana 😂😂😂Basi rival wanachukia, tuwakumbushe tu kuna big summer Window inakuja. Kama Pep Guardiola anakubali Mikel Arteta mkali, wewe unayebisha inabidi upimwe akili.
kuna watu wanaogopa kifuatacho like hatustahili kuwa hapo tulipo.in case waanze tu kuzoea maana tuna misimu miwili mbele kabla hatujaiona arsenal ya ndoto zetu.tukifanikiwa kutunza the curent squad na few signings watakaoongezeka naamini we will be a threat😀😀😀 haya bhana![]()