Nyinyi mmewahi nunua wachezaji wa kuanzia 50M kuja juu wangapi?Hapana.Kwani mshanunua mchezaji wa euro 100+??
Nyinyi mmewahi nunua wachezaji wa kuanzia 50M kuja juu wangapi?Hapana.Kwani mshanunua mchezaji wa euro 100+??
Hana uzoefu. Kuna mambo anafanya unaona kabisa ishu ni uzoefu, so akija Arsenal itakua muziki wa kumsubiri wakati mi naona kwa sasa tunahitaji wachezaji ambao tayari wanaperformmimi simjui vzr araujo, hii kazi waachiwe scout kama kweli anahitajika, ila sio kila taarifa zina ukweli mfano kuna taarifa zinadai tunamtaka hazard, unaona kabisa ni uongo
Hapo umenena vyema, build up ya Arsenal inaanzia nyuma kabisa leo sitarajii kuona klopp alitoa iyo nafasi kabisa hata ile game tuliyofungwa 4, ile pressing yao ya Mane, Salah na jota aisee ilikua hatari sana, na kama huna beki anaeweza kua na confidence na pasi sahihi na kwa haraka sana, atajikuta unatoa pasi kwa adui muda wote kama alivyofanya Tavares siku ilekuifunga timu y klopp kwa kutegmea mpk ufanye build up kw mfumo wa timu yako ni kaz sna mana klopp mara zote hatoi nafas kw timu pinzani kufanya buil up.
namna rahis ukiachia mbal set pieces ni through transition na apo pia inabdi uwe n wachezaj wataowez kufanya iy transition ynyewe!
Bro kama unaangalia mechi zote za Arsenal utakumbuka hizo mbili nilizozitaja ni mifano ya haraka ya jinsi tulifanya low block.Mzee Castr kwanini watu mnapenda kusema Arteta alikuwa anakimbilia nyuma? Ni dhahiri labda hatuelewi nini maana ya high line footie na Mechanics yake inawork vipi.
Haujui kucheza PSAiseee nilikuwa nacheza hapa kwenye PS
Arsenal 1-4 Liverpool
Hii ni dalili mbaya Sana kwa arsenal...!😅😅😅😅
Leo uakika mbna tatu zte tunabebwaLeo nipo na arsenal bega kwa bega...wakuu msiniangushe..mkishindwa kabisa ata sare tena ya magoli...si tupo nyumbani kwetu #WashikaMitutu!!!
endelea kuchezaAiseee nilikuwa nacheza hapa kwenye PS
Arsenal 1-4 Liverpool
Hii ni dalili mbaya Sana kwa arsenal...!😅😅😅😅
Hakijaharibika kitu, tunaweka Holding.. ikiwezekana hata back 3 leo tunacheza.We could be without Gabby Magalhaes today whose fuckmate is nine months pregnant
Nakubali kiongozi...EBU NIFANYIENI KWELI MATEMBO WA LONDON...huyo liverkuku inatakiwa aliwe mbichi bila kupikwa.Leo uakika mbna tatu zte tunabebwa
Gabriel is in the Arsenal squad to face Liverpool tonight. #afcWe could be without Gabby Magalhaes today whose fuckmate is nine months pregnant
Kaka acha kutania Jukwaani subiri game ifike muda wake maelezo mengi hayana mantiki game ya leo Arsenal hata draw kwake ni ushindiNa anagalia Liverpool watatokea wapi, kwa maana na wao wanajua ukifunguka hovyo
Pressing zetu 3, lazima tuweke mpira nyavuni
Klop hawezi kuwa Mjinga kiasi hiki asilione hili
Nguvu ya Liverpool ni mane na salah, hawa watu ni kama ile Barcelona ya pep alafu unaambiwa messi ni mzima wa afya iwe nyumbani au ugenini hamtakua na amani
Liverpool kwanza kabisa tutamkamatia kwenye kiungo, yes partey is there octopus the man himself
No turning back, going forward
Game ya leo bado tunawahitaji
Martinel na saka; hizi n wings ambazo zitawatuliza Arnold na Robertson
Rowe atoke bench tu, sio mbaya
Middle pale sina wasiwasi hata kidogo
Partey anaweza kufanya kaz ya watu wawil bila shida
85% midfield lazima iwe monopolized na arsenal
Tunahitaji utulivu wa defenders wetu, coz salah na mane muda wowote wanaweza kukuadhibu
Odegard
Huyu ni artist haitaji maelezo mengi
Yes, lacazette aanze tu, maana n mtu wa kuwaletea disturbance pale golini
Xhaka
sina wasiwasi nae, kazi ngumu ata kuwa anafanya partey yeye ataweka mambo madogo madogo sawa
Golini yupo jini la kizungu
Najua Leno hana wivu wala chuki akikuona dogo jinsi anavyofanya matusi yake
pale ambapo watu wanajiandaa kushangilia yeye ndio anawainua the gunners
Yule dogo ni genius, very quick in term of thinking and taking actions
Umefanya vyema kumkanya mwenzio juzikati tu mlitoa draw na liver mkatema shit kwenye marudiano tukawafundisha jinsi mpira unavyochezwaKaka acha kutania Jukwaani subiri game ifike muda wake maelezo mengi hayana mantiki game ya leo Arsenal hata draw kwake ni ushindi
Big games huwa tuna lose focus na hata leo najua hakutakuwa na jipya that's the fuckin truth ila Sir God yupo anaweza akawa upande wetu you never know ila kwa maelezo yako ya kujitamba unataka game ikiisha tuanze kutukanwa humu hatutaki maadui wote kwa sasa wamekimbia but today wanaanza kunyata nyata humu