Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu Rodrigo De Paul ni kuingo flani hv mkata Shombo
El Cholo hawezi kutupa hili jembe. Kaletwa kama replacement ya Partey.

Halafu hawa Atletico mascout wao hawakosei. Kila wakileta mchezaji chuma.

Wanapata wachezaji wazuri kirahisi mno. Hebu fikiria sisi tumeangaika siku zote kumsajili Lemar, wao wakaja kumpata kizembe.
The same kwa Geofrey Kondogbia.

Ukiangalia benchi lao limejaa wachezaji classic. Hata sijui wanatumia namna gani hawa jamaa!
 
According to @gerardromero

, Barcelona defender Ronald Araujo (23 years) received two offers.

The first from Manchester United with an annual salary of (8) million euros.

The second from Arsenal, with an annual salary of 6 million euros. There will be only one season left on the player's contract with Barcelona in the summer.
 
Na anagalia Liverpool watatokea wapi, kwa maana na wao wanajua ukifunguka hovyo
Pressing zetu 3, lazima tuweke mpira nyavuni
Klop hawezi kuwa Mjinga kiasi hiki asilione hili

Nguvu ya Liverpool ni mane na salah, hawa watu ni kama ile Barcelona ya pep alafu unaambiwa messi ni mzima wa afya iwe nyumbani au ugenini hamtakua na amani

Liverpool kwanza kabisa tutamkamatia kwenye kiungo, yes partey is there octopus the man himself
No turning back, going forward


Game ya leo bado tunawahitaji

Martinel na saka; hizi n wings ambazo zitawatuliza Arnold na Robertson

Rowe atoke bench tu, sio mbaya

Middle pale sina wasiwasi hata kidogo
Partey anaweza kufanya kaz ya watu wawil bila shida
85% midfield lazima iwe monopolized na arsenal

Tunahitaji utulivu wa defenders wetu, coz salah na mane muda wowote wanaweza kukuadhibu


Odegard
Huyu ni artist haitaji maelezo mengi

Yes, lacazette aanze tu, maana n mtu wa kuwaletea disturbance pale golini


Xhaka
sina wasiwasi nae, kazi ngumu ata kuwa anafanya partey yeye ataweka mambo madogo madogo sawa



Golini yupo jini la kizungu
Najua Leno hana wivu wala chuki akikuona dogo jinsi anavyofanya matusi yake
pale ambapo watu wanajiandaa kushangilia yeye ndio anawainua the gunners
Yule dogo ni genius, very quick in term of thinking and taking actions
 
ubora wa liver hauzuii na hautazuia arsenal kwenda mbele.like game dhidi ya city....na ukisema tukifunguka tunakula nyingi nakukatalia, ukikaa nyuma ndio unakuwa kwenye risk kubwa ya kupigwa, arteta awali alikuwa anakaa nyuma kipind hicho ana kina kola,mari,belle . ,na tunapigwa 5

liverpool ni bora , hiyo haitatuzuia kwenda mbele ,
Tangu Arteta aje nafikiri Arsenal tumefungwa goli 5 mara moja tu ambayo ni msimu huu.

Na mpaka msimu huu mwanzoni Arteta alikua na tabia ya kupata goli na kukimbilia nyuma. Huu mchezo ukatuponza kwa United na Everton, baada ya game na United ndiyo tendency ya kukimbilia nyuma ikafa na matokeo yakaanza kuja.
 
According to @gerardromero

, Barcelona defender Ronald Araujo (23 years) received two offers.

The first from Manchester United with an annual salary of (8) million euros.

The second from Arsenal, with an annual salary of 6 million euros. There will be only one season left on the player's contract with Barcelona in the summer.
Hatujaacha kusajili vinega?
 
Martinel na saka; hizi n wings ambazo zitawatuliza Arnold na Robertson
nampenda rowe , sababu moja tu anapenda kulishambulia box,kufanya one two touch na kufungua space, lkn sio mzuri kwenye ku defend, martinel anapenda kwenda wide sana, ni mzuri ku defend tunapokuwa hatuna mpira kwenye shape ya 4-4-2

kwa mech ya leo tunaenda na martinel, tunahitaji track back kila wings, kuna mech nimeona arteta anapenda wings zitanue uwanja zicheze wide sana, hii ina work kwa martinel
 
Na anagalia Liverpool watatokea wapi, kwa maana na wao wanajua ukifunguka hovyo
Pressing zetu 3, lazima tuweke mpira nyavuni
Klop hawezi kuwa Mjinga kiasi hiki asilione hili

Nguvu ya Liverpool ni mane na salah, hawa watu ni kama ile Barcelona ya pep alafu unaambiwa messi ni mzima wa afya iwe nyumbani au ugenini hamtakua na amani

Liverpool kwanza kabisa tutamkamatia kwenye kiungo, yes partey is there octopus the man himself
No turning back, going forward


Game ya leo bado tunawahitaji

Martinel na saka; hizi n wings ambazo zitawatuliza Arnold na Robertson

Rowe atoke bench tu, sio mbaya

Middle pale sina wasiwasi hata kidogo
Partey anaweza kufanya kaz ya watu wawil bila shida
85% midfield lazima iwe monopolized na arsenal

Tunahitaji utulivu wa defenders wetu, coz salah na mane muda wowote wanaweza kukuadhibu


Odegard
Huyu ni artist haitaji maelezo mengi

Yes, lacazette aanze tu, maana n mtu wa kuwaletea disturbance pale golini


Xhaka
sina wasiwasi nae, kazi ngumu ata kuwa anafanya partey yeye ataweka mambo madogo madogo sawa



Golini yupo jini la kizungu
Najua Leno hana wivu wala chuki akikuona dogo jinsi anavyofanya matusi yake
pale ambapo watu wanajiandaa kushangilia yeye ndio anawainua the gunners
Yule dogo ni genius, very quick in term of thinking and taking actions
Timu inashinda games kama inaweza kuzuia timu nyingine isipate goli, hapo kwenye kuzuia timu nyingine isipate goli ndipo Arsenal tulipoachwa na liva.

Wao wametrain tangu 2015 kuhakikisha kila unapokua na mpira unakutana na wachezaji wake 3, na wakiupata mpira wanatanuka kutafuta rooms haraka na pasi za haraka kulifuata goli.

Arsenal tukipata mpira tunaupooza kwanza hii tabia kuna muda tuliiacha ila naona imerudi tena yaani White ana mpira anakaa nao mpaka sekunde 9 akijigeuza kulia na kushoto anamtafuta wa kumpa. Against liva au chelsea hautapata huo muda, ni utashangaa tu watu wapo miguuni.

Also kwa jinsi tumedefend against Wolves na Leicester naona hatupo compact hii ni advantage kwa timu yenye stamina na inayotembea muda wote.
 
Pep Guardiola says he is "pretty sure" he'll be watching Liverpool's game against Arsenal tonight
👀
📺
 
Na anagalia Liverpool watatokea wapi, kwa maana na wao wanajua ukifunguka hovyo
Pressing zetu 3, lazima tuweke mpira nyavuni
Klop hawezi kuwa Mjinga kiasi hiki asilione hili

Nguvu ya Liverpool ni mane na salah, hawa watu ni kama ile Barcelona ya pep alafu unaambiwa messi ni mzima wa afya iwe nyumbani au ugenini hamtakua na amani

Liverpool kwanza kabisa tutamkamatia kwenye kiungo, yes partey is there octopus the man himself
No turning back, going forward


Game ya leo bado tunawahitaji

Martinel na saka; hizi n wings ambazo zitawatuliza Arnold na Robertson

Rowe atoke bench tu, sio mbaya

Middle pale sina wasiwasi hata kidogo
Partey anaweza kufanya kaz ya watu wawil bila shida
85% midfield lazima iwe monopolized na arsenal

Tunahitaji utulivu wa defenders wetu, coz salah na mane muda wowote wanaweza kukuadhibu


Odegard
Huyu ni artist haitaji maelezo mengi

Yes, lacazette aanze tu, maana n mtu wa kuwaletea disturbance pale golini


Xhaka
sina wasiwasi nae, kazi ngumu ata kuwa anafanya partey yeye ataweka mambo madogo madogo sawa



Golini yupo jini la kizungu
Najua Leno hana wivu wala chuki akikuona dogo jinsi anavyofanya matusi yake
pale ambapo watu wanajiandaa kushangilia yeye ndio anawainua the gunners
Yule dogo ni genius, very quick in term of thinking and taking actions
Hao ulio wataja wote ni wadogo kulinganisha na wachezaji wa Liverpool.Usijipe hope ingali unajua unae enda kutana nae ulingoni hamlingani uzitoo.

Consistent yako nzuri jiulize ni dhidi ya timu zipi? Na unaenda kukutana na timu ipi?
 
Hapana.Kwani mshanunua mchezaji wa euro 100+??
nitajie timu 2 epl zilizonunua mchezaji kwa 100+ nami nitakuonesha paka mwenye miguu 6

1. Jack Grealish - £100m (from Aston Villa to Man City, 2021)​

2. Romelu Lukaku - £96m (from Inter to Chelsea, 2021)​

3. Paul Pogba - £89m (from Juventus to Man Utd, 2016)​

4. Harry Maguire - £80m (from Leicester City to Man Utd, 2019)​

5. Romelu Lukaku - £75m (from Everton to Man Utd, 2017)​

6. Virgil van Dijk - £74.2m (from Southampton to Liverpool, 2018)​

7. Jadon Sancho - £73m (from Dortmund to Man Utd, 2021)​

8=. Kepa Arrizabalaga - £72m (from Athletic Bilbao to Chelsea, 2018)​

8=. Nicolas Pepe - £72m (from Lille to Arsenal, 2019)​

8=. Kai Havertz - £72m (from Leverkusen to Chelsea, 2020)​

8=. Kepa Arrizabalaga - £72m (from Athletic Bilbao to Chelsea, 2018)​

 
nitajie timu 2 epl zilizonunua mchezaji kwa 100+ nami nitakuonesha paka mwenye miguu 6

1. Jack Grealish - £100m (from Aston Villa to Man City, 2021)​

2. Romelu Lukaku - £96m (from Inter to Chelsea, 2021)​

3. Paul Pogba - £89m (from Juventus to Man Utd, 2016)​

4. Harry Maguire - £80m (from Leicester City to Man Utd, 2019)​

5. Romelu Lukaku - £75m (from Everton to Man Utd, 2017)​

6. Virgil van Dijk - £74.2m (from Southampton to Liverpool, 2018)​

7. Jadon Sancho - £73m (from Dortmund to Man Utd, 2021)​

8=. Kepa Arrizabalaga - £72m (from Athletic Bilbao to Chelsea, 2018)​

8=. Nicolas Pepe - £72m (from Lille to Arsenal, 2019)​

8=. Kai Havertz - £72m (from Leverkusen to Chelsea, 2020)​

8=. Kepa Arrizabalaga - £72m (from Athletic Bilbao to Chelsea, 2018)​

Jao Felix ana thamani ya milion ngap?
 
Back
Top Bottom