Kila mtu na macho yake, huenda kocha anaona torreira hana kitu anachotaka, kwangu torreira ni mchezaji mzuri namuelewa kuliko elneny na xhaka.
Falsafa ya arteta toka anafika arsenal ni kucheza 4-3-3 kama pep., yenye dabo no.8/10 wawili kama pep, now yupo mwishoni mwishon, ndio maana sasa anamtumia xhaka na ode kama doube no.10/8 ., kwa namna hiyo toreira hawez kufit maana cha kwanza kabisa lazima wawe na uwez mkubwa wa pass
hii ndio silaha namba 1 , ukweli ni kwamba Xhaka, kwenye pass asilimia kubwa yupo njema, toka enz za wenger ,
toreira ni mzuri kuingia uvunguni, yule ni DM asilia kabisa, sasa mpira huu wa kina pep, kiungo wa hivo hawamtaki ndio maana unakuta ana mtu kama rodri, humo ndipo anapopita arteta
kwasasa kaanza kutumia 4-3-3 , wengi ndio wanaona kitu , hapo bado anatafuta kiungo mmoja half 8 half 10, atakayechukua nafasi ya xhaka, mwenye pass accuracy kubwa, mpiga mawe,
hapo mtaomba poo, fluidity ,intensity ,soka safi utaliona hapo,
pale man u wangekuwa na structure nzuri , chini unatafuta kiungo mithili ya partey, juu unaweka bruno na pogba, ole aliwahi kufanya hivo , kiungo wa chini fred , ikagoma,
unatakiwa uwe kwanza na watu wenye uwezo wa pass, na kumiliki mpira usipotee,
hizi factors automatically zinamuondoa toreira kwa arteta...