Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Partey's game by number vs Leicester
IMG_20220314_013821_558.jpg
 
KWENYE LINEUP WANAONESHA TUNACHEZA 4-2-3-1. , LKN ARTETA AMESHAHAMA ,NOW NI 4-3-3 DIAMOND


Partey anacheza namba 6 peke yake huku Xhaka akicheza namba 8 kushoto na Odegaard namba 8 kulia rahisi kwa Arsenal kusogea juu na mpira na kuishinda press ya mpinzani


Ilikuwa ni dakika ya 34 Arsenal dhidi ya Watford wakati beki wa kulia Cedric alipopiga krosi kutoka pembeni. Mpira ulipoingia karibu na box, mshambuliaji wa mbele zaidi hakuwa Alexandre Lacazette, Gabriel Martinelli, Martin Odegaard wala Bukayo Saka.

Badala yake, mchezaji aliyekimbia kuelekea kwenye eneo la yadi sita alikuwa Granit Xhaka - kiungo mkabaji aliyeibuka tena kama nambari 8. Si jukumu ambalo linamfaa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29, lakini uwepo wake pale unaonekana kuendana na timu ya Mikel Arteta. . Tangu meneja wa Arsenal alipomhamisha Xhaka nakuwa deep no.8 matokeo ya Arsenal yanajieleza yenyewe.

Arteta amebadilisha mfumo wa timu .

Alipoulizwa kuhusu jukumu jipya la Xhaka wakati wa mkutano na waandishi wa habari Ijumaa, Arteta alisema:

'Wakati mwingine inabidi uwatoe wachezaji nje ya eneo lao walilozoea na kufungua milango tofauti ili kuchunguza jinsi timu itakavyoitikia na nini wapinzani watafanya wakati wewe. unafanya mambo fulani.



1647126612529.png
 
WENGER ALIMUONA XHAKA KAMA DEEP LYING PLAYMAKER,

Arsene Wenger says that Granit Xhaka is neither a defensive midfielder or a box to box player, but more a deep-lying playmaker.

“Granit is more a deep playmaker I think than a box-to-box player,” he said. “He does not get in the final third of the opposition half a lot. He is more a guy who has a fantastic pass to play through the lines.

“He gets the ball from the defenders and finds the high midfield. His strength is what we call the ‘moderate-value pass’ – the passes that come from deep midfield to high midfield.”

Deep Lying Playmaker/Regista

Ni aina ya viungo ambao wakati wa mchezo wao huwa karibu zaidi na mabeki na kuichezesha timu kutokea eneo hilo la chini uwanjani. Viungo hawa huwa ni wazuri katika umiliki wa mpira, huwa na uwezo mkubwa wa kutambua na kufumbua mbinu za mpinzani, lakini huwa na uwezo mkubwa wa kupiga pasi za aina zote(ndefu na fupi). Jukumu la msingi(primary duty/role) ya kiungo huyu ni kuamua timu icheze katika mwenendo gani kutokea chini(kutoka kwa mabeki) anatakiwa kupiga pasi za akili either ni fupi,ndefu au pasi mpenyezo ambazo zitatoboa/pita katika kiungo na mabeki wa timu pinzani. Ikimaanisha kutengeneza mashambulizi kutokea nyuma.

Lakini pia jukumu la nyongeza(secondary duty/role) ya viungo hawa ni kuwalinda mabeki akishirikiana na Holding midfielder, kuchukua mipira iliyopotea( ball recovery),kukaba(tackling) na kunasa pasi za wapinzani(intercepting passes) kwa ujumla ni kutimiza majukumu ya ulinzi. Jukumu hili ndo linapelekea watu kuchanganya na kushindwa kutofautisha kati ya holding midfielder na Deep lying Playmaker wachambuzi na makocha wengine humuita modern holding midfielder. Mfano halisi wa viungo hawa ni Pep Guardiola, Andrea Pirlo, Jorginho,Pjanic,Bosquet,Xabi Alonso nk.
 
wasiwasi wangu kama tukifungwa na Liverpool watatuaribia consistency but this is football

Wanachotuzidi Liverpool ni stamina na baadhi ya uwezo wa mchezaji mmoja mmoja, acha tuone arteta atakujaje
 
KWENYE LINEUP WANAONESHA TUNACHEZA 4-2-3-1. , LKN ARTETA AMESHAHAMA ,NOW NI 4-3-3 DIAMOND


Partey anacheza namba 6 peke yake huku Xhaka akicheza namba 8 kushoto na Odegaard namba 8 kulia rahisi kwa Arsenal kusogea juu na mpira na kuishinda press ya mpinzani


Ilikuwa ni dakika ya 34 Arsenal dhidi ya Watford wakati beki wa kulia Cedric alipopiga krosi kutoka pembeni. Mpira ulipoingia karibu na box, mshambuliaji wa mbele zaidi hakuwa Alexandre Lacazette, Gabriel Martinelli, Martin Odegaard wala Bukayo Saka.

Badala yake, mchezaji aliyekimbia kuelekea kwenye eneo la yadi sita alikuwa Granit Xhaka - kiungo mkabaji aliyeibuka tena kama nambari 8. Si jukumu ambalo linamfaa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29, lakini uwepo wake pale unaonekana kuendana na timu ya Mikel Arteta. . Tangu meneja wa Arsenal alipomhamisha Xhaka nakuwa deep no.8 matokeo ya Arsenal yanajieleza yenyewe.

Arteta amebadilisha mfumo wa timu .

Alipoulizwa kuhusu jukumu jipya la Xhaka wakati wa mkutano na waandishi wa habari Ijumaa, Arteta alisema:

'Wakati mwingine inabidi uwatoe wachezaji nje ya eneo lao walilozoea na kufungua milango tofauti ili kuchunguza jinsi timu itakavyoitikia na nini wapinzani watafanya wakati wewe. unafanya mambo fulani.



View attachment 2149534

upo sahih ,arsenal ikiw kweny umilik w mpira ;partey nd anakuw kiung pekee kweny base y midfield anaechez juu ya mabeki wawil wa katkat lkn timu inapo potez mpira shape yake ubadlika ;xhaka anarud haraka katkat so kwnye base y midfield kunakuw na viung wawil juu y mabeki wawil w katkat yan yey na partey..

lineups nyngi zile znazo onkan kweny TV before the match au zle za kwnye livescores huw mara nyngi hazna uhalisia w kile utachkion wakat unatzam mechi ynyewe!
 
Owen mtaalamu wa kujikana alishawai sema timu yetu (under arteta) haina uelekeao, haijui inataka nn! leo ana sifiaView attachment 2149778

Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
Ni vizuri. Mwanzo ni kweli alionekana kama hawezi. Sasa anaonekana kama anaweza weza. Hata mimi na wengineo huenda tukawa kama Owen. Haimaniishi tunajikana, inamaanisha ametushawishi. Kitu ambacho ni kizuri kutokea.
 
my biggest concern honestly is our defence. I know that sounds odd, but hear me out.
It’s my opinion that all successful defences have 3 types of defenders. Firstly, the full backs. They must be able to defend to a reasonable standard, be almost obsessed with stopping crosses and be able to affect attacks on the flanks. Secondly is the number 5 central defender. The number 5 is the ball playing centre half that can play, is generally the quicker of the central players and likes to bring the play forward from the back. And finally the rock, the player who lives and breathes to stop he opponents at all costs. Often being the captain or leader of the defensive unit. This player puts every ounce of energy into organising players around him and destroying the top notch forwards.

Now we have a collection of very good to decent full backs/wing backs and we have a group of passable to excellent number 5’s….. but at present, I don’t see one number 6.
City in both Laporte and Diaz have number 6’s and Liverpool has van djyk and Man Utd have Maguire ( sorry, Maguire still hasn’t worked out he’s a number 5 yet, he believes he’s a leader )
And I can’t remember a major team without that set up.
Now I know the game is evolving, and I know everyone needs to be able to play more like a 5 but we still need a rock. I’m hoping saliba can be that player but I see him as a 5. White and Gabrielle are excellent 5’s. I just worry that it’s a “when the shit hits the fan” moment comes along, we don’t have as yet that player who holds it all together. Maybe ramsdale is able to do it…. But you expect the gk to talk to the number 6 and control things as a unit, in conjunction with the number 4 or holding midfielder (partey). It’s the spine of the team.

Just my opinion
 
my biggest concern honestly is our defence. I know that sounds odd, but hear me out.
It’s my opinion that all successful defences have 3 types of defenders. Firstly, the full backs. They must be able to defend to a reasonable standard, be almost obsessed with stopping crosses and be able to affect attacks on the flanks. Secondly is the number 5 central defender. The number 5 is the ball playing centre half that can play, is generally the quicker of the central players and likes to bring the play forward from the back. And finally the rock, the player who lives and breathes to stop he opponents at all costs. Often being the captain or leader of the defensive unit. This player puts every ounce of energy into organising players around him and destroying the top notch forwards.

Now we have a collection of very good to decent full backs/wing backs and we have a group of passable to excellent number 5’s….. but at present, I don’t see one number 6.
City in both Laporte and Diaz have number 6’s and Liverpool has van djyk and Man Utd have Maguire ( sorry, Maguire still hasn’t worked out he’s a number 5 yet, he believes he’s a leader )
And I can’t remember a major team without that set up.
Now I know the game is evolving, and I know everyone needs to be able to play more like a 5 but we still need a rock. I’m hoping saliba can be that player but I see him as a 5. White and Gabrielle are excellent 5’s. I just worry that it’s a “when the shit hits the fan” moment comes along, we don’t have as yet that player who holds it all together. Maybe ramsdale is able to do it…. But you expect the gk to talk to the number 6 and control things as a unit, in conjunction with the number 4 or holding midfielder (partey). It’s the spine of the team.

Just my opinion
Hi comment nimeitoa sehemu kamakuna mtu ameiliewa tafadhar naomba anieleweshe, sijampata jamaa anaongelea bek wa haina gan tumekosa
 
Oyaaa kanipigieni yule mbwa anayeitwa Liverpool ...!

Mkimulegeza hata kwa draw ....sisi tunaenda kumtafuna bila wasiwasi ....
 
my biggest concern honestly is our defence. I know that sounds odd, but hear me out.
It’s my opinion that all successful defences have 3 types of defenders. Firstly, the full backs. They must be able to defend to a reasonable standard, be almost obsessed with stopping crosses and be able to affect attacks on the flanks. Secondly is the number 5 central defender. The number 5 is the ball playing centre half that can play, is generally the quicker of the central players and likes to bring the play forward from the back. And finally the rock, the player who lives and breathes to stop he opponents at all costs. Often being the captain or leader of the defensive unit. This player puts every ounce of energy into organising players around him and destroying the top notch forwards.

Now we have a collection of very good to decent full backs/wing backs and we have a group of passable to excellent number 5’s….. but at present, I don’t see one number 6.
City in both Laporte and Diaz have number 6’s and Liverpool has van djyk and Man Utd have Maguire ( sorry, Maguire still hasn’t worked out he’s a number 5 yet, he believes he’s a leader )
And I can’t remember a major team without that set up.
Now I know the game is evolving, and I know everyone needs to be able to play more like a 5 but we still need a rock. I’m hoping saliba can be that player but I see him as a 5. White and Gabrielle are excellent 5’s. I just worry that it’s a “when the shit hits the fan” moment comes along, we don’t have as yet that player who holds it all together. Maybe ramsdale is able to do it…. But you expect the gk to talk to the number 6 and control things as a unit, in conjunction with the number 4 or holding midfielder (partey). It’s the spine of the team.

Just my opinion
Anaongelea pisition anayocheza Gabriel Magalhaés, no. 6 ni left half, ukisoma inverting the pyramid utaona English back four would read, from right-to-left, 2, 5, 6, 3. Naona Kagusia suala la Saliba i hope Mikel Arteta anaziona hizi comment.
 
Back
Top Bottom