Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

yupo huyu kenge ,priva na mwingine namficha wanafanya uchambuz wa mpira uonekane kama chaka la watu wasio na ajira

1647116984677.png
 
Rodgers kuhusu Ramsdale.

"Kwangu mimi ndiye kipa bora wa Kiingereza kwa sasa. Yeye ndiye bora zaidi.. Maendeleo yake tangu alipokuja Arsenal.. Amemudu vyema. Ana utulivu wa hali ya juu."

 
yupo huyu kenge ,priva na mwingine namficha wanafanya uchambuz wa mpira uonekane kama chaka la watu wasio na ajira

View attachment 2149389
Ukitaka uongee kitu relevant jitahidi kumuangalia mchezaji kwenye mechi angalau tano bila hata kuangalia stats.

Stats zinaweza kua kinyume na utakachoona uwanjani mfano mimi nimeona Partey kapiga kazi ya maana na anastahili tuzo ya man of the match ila wenye takwimu wamempa Odegaard. So kwa kufuata takwimu unaweza mrule out partey but he performed better.
 
Good win leo sema kuna mda tunapotea kabisa kwenye game odergaad jamaa anajua sana yan akiendelea hv atamzid hata ozil maana ozil alikuwa akabi alaf mwepes kupotrleza mpira ila odergaad kama game ya leo kapoteza mpira mara moja tu nahis na apo alikuwa sehem ngum aswa kwa sasa yeye ndo anaamua tucheze vp partey alikuwa vizur leo cedric ndo achezi vizur hasa kujilinda sio mzur all in all point3 muhim tuna kazi kubwa j5
 
Ukitaka uongee kitu relevant jitahidi kumuangalia mchezaji kwenye mechi angalau tano bila hata kuangalia stats.

Stats zinaweza kua kinyume na utakachoona uwanjani mfano mimi nimeona Partey kapiga kazi ya maana na anastahili tuzo ya man of the match ila wenye takwimu wamempa Odegaard. So kwa kufuata takwimu unaweza mrule out partey but he performed better.

Absolutely! Even vice versa

 
Thomas Partey: “We have a couple of difficult games coming, all the games are difficult, but as Martin said, we have to go game by game & that’s the mentality of the team. We want to keep improving & that’s our mentality now.” [Sky] #afc
 
Martin Tyler on Ødegaard: “He’s such an artist in terms of setting up situations for others.” [Sky
 
Arteta:

"To be with the top teams you have to win consistently and do it in a convincing way. I need more than 4 victories in a row because there are teams in the League who do that for 10, 11, 12 or 18 times." Arteta is actually cold
 
Mikel Arteta on Arsenal facing Liverpool FC on Wednesday night:


"That’s a different level now and we have to take the game to a new standard to have a chance to beat them. Tomorrow we are going to start preparing."
1647126541150.png
 
Back
Top Bottom