Hakunaga Sheria ya namna hio duniani aiseeKwakua ni Arsenal usishangae goli likafutwa na mechi ikatangazwa suluhu








ubao ukishasoma ndio imepita hivooAmna sheria ya ivo bossKwakua ni Arsenal usishangae goli likafutwa na mechi ikatangazwa suluhu
Iko hivyo.Hakunaga Sheria ya namna hio duniani aiseeubao ukishasoma ndio imepita hivoo
Hii kasuma inakera sana kwa kweliSometimes inabidi mtu kukubali mawazo ya mwingine kwa kuwa ndivyo anavyoona yeye na sio kwamba anavyoona yeye basi na wewe ndivyo unavyoona. Kwa hali hiyo ndo maana utakuta kocha huyu anaona mchezaji fulani ni mzr lkn mwingine akaona kinyume chake.
Lkn pia mchezaji anaweza kukutana na kocha ambae atamfanya kuwa imara na bora zaidi kwenye position yake(natural position) au position nyingine kulingana na mahitaji ya kocha.
Kwa wanaosema kwamba gabriel hawezi kufikia viwango vya Virgil siwezi kukubaliana nalo moja moja kwani itategemea na muendelezo wa kiwango chake(performance) kwa kuwa hata Virgil wa soton ni tofauti na wa liva.
Sijui ni kwanini lkn kuna kasumba ya watu kuwa wanasubili wachezaji wakosee ili wapate cha kusema
Will, hya maneno si ni kama tu mawazo ya Castr Au mtu yoyote tu yule?? Au haya ndio unatakiwa uwe uthibitisho wa qualities za Laporte??Mkuu, wewe huwa unaona unachotaka kuona.View attachment 2142905
Nilifanya hivyo bwana castr alinegate Laporte is not a ball-playing CB, so nikaweka trait moja inayomdefine Laporte.Will, hya maneno si ni kama tu mawazo ya Castr Au mtu yoyote tu yule?? Au haya ndio unatakiwa uwe uthibitisho wa qualities za Laporte??
I will comment after Sunday match vs Leicester, (Having assessed players who will be fit/available for that game)Leteni uchambuzi wazee Arsenal vs Liverpool mnaionaje hii game?
Inayomdefine Gabi according to s1 just like CastrNilifanya hivyo bwana castr alinegate Laporte is not a ball-playing CB, so nikaweka trait moja inayomdefine Laporte.
haiwezekani, hivi kwa kocha anayekaa tu , ile moment ya arteta hawezi kuipata,Kwakua ni Arsenal usishangae goli likafutwa na mechi ikatangazwa suluhu
Acha kumsema Van Gaal mkuu hahahaahahahahhahhaiwezekani, hivi kwa kocha anayekaa tu , ile moment ya arteta hawezi kuipata,
baada ya game na leicester , itafahamika tu, ila arsenal yenye midfied ya xhaka partey ...na uwepo wa laca, timu yoyote duniani inakufa vzr tu, niliwahi kuandika makala mahala, kipind laca hapati nafasi, nilipoona strength ya xhaka partey, nikaamini ukimuongeza na laca anayerudi had dimba la kati na kufanya 3 midfielders , basi saka, smith, odegaard, au martinel watakufanya chochote wanachotaka, even uwe naniLeteni uchambuzi wazee Arsenal vs Liverpool mnaionaje hii game?
Potential ipo na tunaiona. Anahitaji bidii na coaching. Sijui wasaidizi wa mikel wanaubora gani ila ukiacha mikel mzee wa big picture, kama wasaidizi wake wako top notch, ambao ndo wana individual sessions na players, mambo kama hayo wanatakiwa waweke sawa kwa mchezaji.Maturity miaka miwili yote bado hajapata? Muangalie Benjamin White ana muda gani Arsenal? Muangalie White in possession namna alivyo Calm, Confident hata akicheza aggressive passes mtu unajiamini zitafika. Sasa muangalie Gabriel hawezi kuprogress mpira either apige backpass au side pass, no central progression akijaribu ujue kadispossess, Mimi Gabriel akishika mpira huwa najiandaa kwa lolote, tatizo lake ni mental hana tofauti na D. Luiz / Mustafi.
unajua sitashangaa kabisa kwa kuwa ni sisi kama ulivyosema. Ingekuwa klopp angesifiwa mpaka abadilishe miwani kwa jinsi atavyojaa bichwaKwakua ni Arsenal usishangae goli likafutwa na mechi ikatangazwa suluhu
Hao majogoo wa siku kuu na njaa hii tuliyo nayo... Sisi ni kuchinja tu. On a serious note.: ndo game ngumu kwetu msimu huu kwa sababu hawa kuku hawajaridhika na nafasi ya 2Leteni uchambuzi wazee Arsenal vs Liverpool mnaionaje hii game?
Wao wanawaza ubigwa sisi tunawaza top four itaeleweka tu mbnaHao majogoo wa siku kuu na njaa hii tuliyo nayo... Sisi ni kuchinja tu. On a serious note.: ndo game ngumu kwetu msimu huu kwa sababu hawa kuku hawajaridhika na nafasi ya 2
mimi pia sielewi. Labda ni upgrade ya nketiah kama sub ila main striker bado me ningependa mfano wa alexis sanchez au suarez mwenye linkup na kudrop kama laca. Sometimes nafikiri sanchez ndiye alileta tabia ya kuhassle mabeki pinzani arsenalNashangaa watu kumpigia chapuo Calvert lewin. Sioni chochote alichonacho to attract Arsenal interest. Tuanzie hapa, how has he helped his team which is hanging one point from relegation territory?
Hebu nimuangalie tena leo labda ana vitu ambavyo so far macho yangu yameshindwa kuviona