Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaan ukitafuta update ya gab sijui ata umchukue nan? Maan ata saliba hamfikii sijui labd Coady wa wolves ambae nae naona Kama level ziko sawa tu, kifup Gab apewe mda ana potential kubwa sana

Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
Mkuu will Jr anazungumza analytically na realistically na hakuna ambacho anamuonea "gab" ila jambo lililowaz ni kwamba Kuna wakati huwez kupata Kila mtu kwa Kila nafasi unayemtaka kwa aina ya bajeti na aina ya wachezaji walioko sokoni na reputation ya klabu kwa sasa(hatumo UEFA)
 

EXCLUSIVE: Arsenal players in line for bonuses of up to £500,000 EACH if they qualify for the Champions League this season - while some stars would see their weekly wages automatically increase with top-four finish​

  • Mikel Arteta's side are now in pole position to finish fourth in the Premier League
  • Champions League qualification worth at least £50m in prize money to clubs
  • A one-off bonus would be due to the squad for finishing in the top four
  • Some players are also understood to have clauses in their deals which will see their weekly wages automatically increase for a Champions League campaign
 
Aymeric Larpote? he is a right-footed player and Of course he is not a ball-playing CB, right, Is he ?
Laporte ana pasi nzuri lakini siyo ball playing CB. Ball playing CB ni Stones.

Na Stones ni right footer
 
Mkuu will Jr anazungumza analytically na realistically na hakuna ambacho anamuonea "gab" ila jambo lililowaz ni kwamba Kuna wakati huwez kupata Kila mtu kwa Kila nafasi unayemtaka kwa aina ya bajeti na aina ya wachezaji walioko sokoni na reputation ya klabu kwa sasa(hatumo UEFA)
Magalhaes ni mzuri. Kumfikia Virgil itabidi na Arsenal nzima ifikie level ya determination ya Liva.

Top CB kwa sasa EPL ni Virgil lakini amefanya blunders kama za Magalhaes zilizopelekea goli. In fact blunder ya kupokonywa mpira nje ya box kwa Magalhaes sijaiona bado.

Tunakua timu ya 3 kutofungwa magoli mengi tupo chini ya Rob na Magalhaes na hizi analysis hazikuepo game dhidi ya Wolves na Watford amefanya makosa na analysis zimeanza.

Katika analysis utakuta Magalhaes ni 100% quality update ya Mustafi na Sokratis. Na ni 100% quality update ya Luiz katika defence.
 
Magalhaes ni mzuri. Kumfikia Virgil itabidi na Arsenal nzima ifikie level ya determination ya Liva.

Top CB kwa sasa EPL ni Virgil lakini amefanya blunders kama za Magalhaes zilizopelekea goli. In fact blunder ya kupokonywa mpira nje ya box kwa Magalhaes sijaiona bado.

Tunakua timu ya 3 kutofungwa magoli mengi tupo chini ya Rob na Magalhaes na hizi analysis hazikuepo game dhidi ya Wolves na Watford amefanya makosa na analysis zimeanza.

Katika analysis utakuta Magalhaes ni 100% quality update ya Mustafi na Sokratis. Na ni 100% quality update ya Luiz katika defence.
Sometimes inabidi mtu kukubali mawazo ya mwingine kwa kuwa ndivyo anavyoona yeye na sio kwamba anavyoona yeye basi na wewe ndivyo unavyoona. Kwa hali hiyo ndo maana utakuta kocha huyu anaona mchezaji fulani ni mzr lkn mwingine akaona kinyume chake.

Lkn pia mchezaji anaweza kukutana na kocha ambae atamfanya kuwa imara na bora zaidi kwenye position yake(natural position) au position nyingine kulingana na mahitaji ya kocha.

Kwa wanaosema kwamba gabriel hawezi kufikia viwango vya Virgil siwezi kukubaliana nalo moja moja kwani itategemea na muendelezo wa kiwango chake(performance) kwa kuwa hata Virgil wa soton ni tofauti na wa liva.

Sijui ni kwanini lkn kuna kasumba ya watu kuwa wanasubili wachezaji wakosee ili wapate cha kusema
 
Laporte ana pasi nzuri lakini siyo ball playing CB. Ball playing CB ni Stones.

Na Stones ni right footer
Mkuu, wewe huwa unaona unachotaka kuona.
IMG_20220308_070624_636.JPG
 
Laporte ana pasi nzuri lakini siyo ball playing CB. Ball playing CB ni Stones.

Na Stones ni right footer
So kama Stones ni ball-playing CB & Laporte too, Maguire & Varane, and some people say you cant play with two ball playing CBs, hizi idea sijui watu mnazitoaga wapi!
 
Magalhaes ni mzuri. Kumfikia Virgil itabidi na Arsenal nzima ifikie level ya determination ya Liva.

Top CB kwa sasa EPL ni Virgil lakini amefanya blunders kama za Magalhaes zilizopelekea goli. In fact blunder ya kupokonywa mpira nje ya box kwa Magalhaes sijaiona bado.

Tunakua timu ya 3 kutofungwa magoli mengi tupo chini ya Rob na Magalhaes na hizi analysis hazikuepo game dhidi ya Wolves na Watford amefanya makosa na analysis zimeanza.

Katika analysis utakuta Magalhaes ni 100% quality update ya Mustafi na Sokratis. Na ni 100% quality update ya Luiz katika defence.
Gabriel hawezi kufikia hata nusu ya uwezo wa Van dijk, tusijidanganye, ni wachezaji wawili tu wenye special talent ya Van dijk (Chiellini & Koulibaly labda tuongelee William Saliba akimature.

Gabriel is not special, he cant exert the same aura as Van dijk, never. Van dijk feels the game in his head, he reads situations easily, yaani unamcompare van dijk na mtu asiye na Control / Confidence / Calmness, are you serious !
 
So kama Stones ni ball-playing CB & Laporte too, Maguire & Varane, and some people say you cant play with two ball playing CBs, hizi idea sijui watu mnazitoaga wapi!
Itakua haukuelewa.

Nilitoa mfano wa David Luiz na Thiago Silva wakiwa psg ambapo wote ni ball playing defender. Nikasema ukichezesha wawili lazima mmoja amute na aliyemute ni Silva.

Kwa lugha rahisi ni kwamba huwezi chezesha ball playing defender wawili halafu wote uwape majukumu sawa sawa ya kupandisha timu.

Huyu Maguire kua ball playing defender? Sina uhakika. Namuona ni destroyer zaidi considering hata trait muhimu ya pace hana.
 
Mkuu, wewe huwa unaona unachotaka kuona.View attachment 2142905
Wewe kama kocha una Stones na Laporte yupi utamuambia avae roles za ball playing defender?

Hiyo role sidhani kama ni crucial kwa Laporte kiasi kwamba inabidi aiexcel ili apate namba to the extent Pep hua anamuweka LB Laporte katika baadhi ya games.

Ingekua ndiye tegemeo lao kwenye hiyo role simply ingetafutwa namna ya kucover LB ili Laporte abaki na role ya ball playing defender.
 
Gabriel hawezi kufikia hata nusu ya uwezo wa Van dijk, tusijidanganye, ni wachezaji wawili tu wenye special talent ya Van dijk (Chiellini & Koulibaly labda tuongelee William Saliba akimature.

Gabriel is not special, he cant exert the same aura as Van dijk, never. Van dijk feels the game in his head, he reads situations easily, yaani unamcompare van dijk na mtu asiye na Control / Confidence / Calmness, are you serious !
Umepata muona Carles Puyol?

Sijasema Gabriel special.

Sijamfananisha na Virgil.

In fact nimeonyesha ana safari ndefu siyo yeye tu bali timu nzima. Timu ikiwa hovyo ndiyo utasikia Liva kala saba, uholanzi katolewa kwenda nusu n.k. na Virgil yupo humo humo. Maturity ya Gabriel itaendana na maturity ya Arsenal.
 
Umepata muona Carles Puyol?

Sijasema Gabriel special.

Sijamfananisha na Virgil.

In fact nimeonyesha ana safari ndefu siyo yeye tu bali timu nzima. Timu ikiwa hovyo ndiyo utasikia Liva kala saba, uholanzi katolewa kwenda nusu n.k. na Virgil yupo humo humo. Maturity ya Gabriel itaendana na maturity ya Arsenal.
Kuna kitu hatuelewani, Gabriel anakosa "innate defensive talent" hata umpe time kiasi gani hawezi kuwa kama Van dijk. Vitu vingine vinakuja natural, Saliba is 20 ila vitu kama hivi kashaanza kudeploy.
 
Kuna kitu hatuelewani, Gabriel anakosa "innate defensive talent" hata umpe time kiasi gani hawezi kuwa kama Van dijk. Vitu vingine vinakuja natural, Saliba is 20 ila vitu kama hivi kashaanza kudeploy.
Hatomfikia.

It just feels good tumestep up kutoka tulipokua mpaka kufikia kwake
 
upo sahihi ndio maana arteta amewachukua wakiwa umri mdogo tu, hata white bado anahitaji kujifunza vingi, ni mbovu 1v1,

hadi sasa hatujafungwa goli la kona toka ligi ianze, cha kwanza kabisa arteta aliangalia urefu , magalhaes ana 1.9m , white ana 1.82, tomiyasu 1.88

saliba atarudi kuongeza depth na huenda akamtoa mmoja wao kwasababu naye ni mrefu 1.9m, na itambidi aendane na kasi ya epl, but sina wasiwasi na uwezo wake,
Mmmmh nlikuwa cjajua kma tomiyasu ni mrefu kulko white
 
Serge Gnabry atarudi tena?

Serge Gnabry ana ndoto ya mashabiki wa Arsenal kurejea katika klabu hiyo miaka sita baada ya kubadilishana London Kaskazini na kujiunga na Ujerumani, gazeti la Mirror limeripoti.

Gnabry tayari ana mabao 10 msimu huu, lakini mazungumzo ya kuongeza mkataba wake yanasuasua , huku Sky Sports ikiripoti uwezekano wa kuongezwa mshahara ni 50:50.

Naye Gnabry amewatia hofu mashabiki wa Arsenal kwa kuweka picha kwenye mtandao wake wa kijamii akiwa amevalia jezi ya Gunners.

1646725052659.png
 
Serge Gnabry is a world class, big game player with unfinished business at #Arsenal. If he wants to come, he’d increase our quality, but any signing must meet our position requirements, even if it means missing out on top talents. Process is vital.
1646726040070.png

1646726057858.png
 
Arteta juu ya sifa anazotaka kwa mshambuliaji mpya:

"Awe anaweka mpira wavuni, hicho ndicho kipaumbele namba moja! Tishio la goli. Timu yoyote yenye mafanikio inahitaji mabao ya kutosha kwenye kikosi. Bila hivyo huna lolote. Unaweza kucheza soka zuri. lakini unahitaji magoli ya kutosha kwenye timu"
 
Serge Gnabry atarudi tena?

Serge Gnabry ana ndoto ya mashabiki wa Arsenal kurejea katika klabu hiyo miaka sita baada ya kubadilishana London Kaskazini na kujiunga na Ujerumani, gazeti la Mirror limeripoti.

Gnabry tayari ana mabao 10 msimu huu, lakini mazungumzo ya kuongeza mkataba wake yanasuasua , huku Sky Sports ikiripoti uwezekano wa kuongezwa mshahara ni 50:50.

Naye Gnabry amewatia hofu mashabiki wa Arsenal kwa kuweka picha kwenye mtandao wake wa kijamii akiwa amevalia jezi ya Gunners.

View attachment 2143081
Akija atakaa namba ya Saka au Martinelli?

Tutasema Martinelli ili Martinelli awe ST.

Na ST atakayesajiliwa itakuaje?

Sioni akija ili awe winga labda awe ST. Serge ni finisher mzuri, dribbler mzuri, shot power, physical na ana speed.
 
Back
Top Bottom