Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

baada ya game na leicester , itafahamika tu, ila arsenal yenye midfied ya xhaka partey ...na uwepo wa laca, timu yoyote duniani inakufa vzr tu, niliwahi kuandika makala mahala, kipind laca hapati nafasi, nilipoona strength ya xhaka partey, nikaamini ukimuongeza na laca anayerudi had dimba la kati na kufanya 3 midfielders , basi saka, smith, odegaard, au martinel watakufanya chochote wanachotaka, even uwe nani

tuliona city alivyokuja emirates, tumeona more than 10+ games wakiwepo hao watu watatu jinsi tunavyoondoka na matokeo. , tumeona pia alipokosekana xhaka, au partey au wote jinsi tunavyo struggle , rejea mwez january hapo,

hivo mech ya liverpool kwanza tuombe wote hawa watatu wawepo, then mengine yafuate,
Joao Felix unamuonaje, binafsi ni false #9 bora kuliko Lacca cuz technically anaquality za B.silva, hii Arsenal ya Arteta itakuja kuwa balaa kubwa mjini.
 
Joao Felix unamuonaje, binafsi ni false #9 bora kuliko Lacca cuz technically anaquality za B.silva, hii Arsenal ya Arteta itakuja kuwa balaa kubwa mjini.
binafs naona tuangalie aina nyingine ya striker, ni ngumu kumpata mtu kama laca, anayeweza kuwafanya kina saka ,smith kufunga, nita mmis sana laca, ile hold up ,link up
 
Mchezaji Bora wa Mwenzi February

Thomas Teye Partey The Rolls Royce Midfield

Huyu Jamaa Yan ukitaja Wachezaji watatu Bora kwa Arsenal bas Huyu Mwamba Huwez Muacha We panga Unavyopanga Au Amua unavyotaka ila Ubora wetu wote huyu Jamaa ana mchango mkubwa Sana aisee
Tunavyoanzisha Mashambulizi kutokea nyuma bas Hamna mtu muhimu katika kufanya maamuzi sahihi ya pasi na team inatokaje pale kama Partey .
Hii ndo Roho ya Arteta katika Kiungo jamaa anapiga Foward pass/ pasi za kwenda Mbele nyingi na za uhakika ambazo zinaanzisha mashamnulizi mengi kuliko Tunavyodhania
Wale Watoto kule mbele walikuwa wanahitaji mtu kama huyu ambaye anavunja line mbili mpaka 3 kwa pasi moja ambazo zinamkuta Saka Odergaard ama Martinel wakiwa one vs one na beki inakuwa rahisi kwao kufanya mashambulizi yenye madhara
Ni Mara Chache Sana Partey kupokonywa mpira mguuni ama kupiga pasi mkaa..jamaa anaweza Tembea na Mali anaweza Hamisha Uwanja na pasi ndefu..
Huyu Mwamba asipoumia mara kwaa mara nadhani anahitaji mtu mwingine pale kati panakuwa pagumu mnoo kwa wapinzan
 
Kama shabiki wa Arsenal huwa sijisikii raha nikiona Lautaro Martinez akihusishwa na usajili wetu wa dirisha kubwa.

Huwa sioni umuhimu wake akiwa uwanjani. Nimeanza kumuangalia muda mrefu sana tangu kile kipindi anatakiwa na Barcelona akitajwa kuwa na thamani ya paundi 90+ Milioni.
Nimemuangalia katika mechi ya kwanza dhidi ya Liverpool na leo namuangalia tena.
Hashawishi na wala havutii kuichezea timu yetu inayojijenga kwa sasa.

Hana quality ya straika wa mabao kwa vigezo alivyotaja Arteta.. ni bora tubaki na Laca wetu ambae anasaidia kupress, ku hold mipira, kuchezesha timu na pia kuanzisha mashambulizi.

Tutatumia gharama za bure kisha tukaishia kutukana tu. Straika gani hana pace, anashindwa kupunguza hata mtu mmoja, anachosubiri ni kuwekewa tu ili ashinde na siku hizi moto wake wa kupachika mabao umepungua sana.

Naongea yote haya kwa kuwa nmesikitishwa sana kwa kuona Arsenal wanahusishwa nae katika dirisha la usajili lijalo.
 
Kama shabiki wa Arsenal huwa sijisikii raha nikiona Lautaro Martinez akihusishwa na usajili wetu wa dirisha kubwa.

Huwa sioni umuhimu wake akiwa uwanjani. Nimeanza kumuangalia muda mrefu sana tangu kile kipindi anatakiwa na Barcelona akitajwa kuwa na thamani ya paundi 90+ Milioni.
Nimemuangalia katika mechi ya kwanza dhidi ya Liverpool na leo namuangalia tena.
Hashawishi na wala havutii kuichezea timu yetu inayojijenga kwa sasa.

Hana quality ya straika wa mabao kwa vigezo alivyotaja Arteta.. ni bora tubaki na Laca wetu ambae anasaidia kupress, ku hold mipira, kuchezesha timu na pia kuanzisha mashambulizi.

Tutatumia gharama za bure kisha tukaishia kutukana tu. Straika gani hana pace, anashindwa kupunguza hata mtu mmoja, anachosubiri ni kuwekewa tu ili ashinde na siku hizi moto wake wa kupachika mabao umepungua sana.

Naongea yote haya kwa kuwa nmesikitishwa sana kwa kuona Arsenal wanahusishwa nae katika dirisha la usajili lijalo.
Haya amefunga sasa hivi namaliza soma comment yako nikuambie jinsi gani upo wrong ndiyo anascore
 
Kama shabiki wa Arsenal huwa sijisikii raha nikiona Lautaro Martinez akihusishwa na usajili wetu wa dirisha kubwa.

Huwa sioni umuhimu wake akiwa uwanjani. Nimeanza kumuangalia muda mrefu sana tangu kile kipindi anatakiwa na Barcelona akitajwa kuwa na thamani ya paundi 90+ Milioni.
Nimemuangalia katika mechi ya kwanza dhidi ya Liverpool na leo namuangalia tena.
Hashawishi na wala havutii kuichezea timu yetu inayojijenga kwa sasa.

Hana quality ya straika wa mabao kwa vigezo alivyotaja Arteta.. ni bora tubaki na Laca wetu ambae anasaidia kupress, ku hold mipira, kuchezesha timu na pia kuanzisha mashambulizi.

Tutatumia gharama za bure kisha tukaishia kutukana tu. Straika gani hana pace, anashindwa kupunguza hata mtu mmoja, anachosubiri ni kuwekewa tu ili ashinde na siku hizi moto wake wa kupachika mabao umepungua sana.

Naongea yote haya kwa kuwa nmesikitishwa sana kwa kuona Arsenal wanahusishwa nae katika dirisha la usajili lijalo.
Martinez ana pace, skills, vision, shot power na finishing nzuri.

Sababu pekee sitamani aje Arsenal ni umri wake tu kwamba amebakisha muda mdogo kuingia 30. Ila jamaa ni mzuri.
 
Kwahiyo kushinda kwake ndio kunanifanya niwe wrong?
3 4 1 2 ya Inter na 2 akiwa yeye na Lukaku ilikua ni threat kwa wapinzani.

Lukaku aling'aa kwakua kulikua na mtu wa kucheza naye ambaye alikua Martinez, kwenye picha alionekana Lukaku pekee ila Martinez ana mchango mkubwa kwa vision, skills na pace yake.
 
Kuwafunga Liva mchezo ni ule ule niliousema miaka miwili nyuma.

Chukua ugomvi peleka mlangoni kwao.

Hamna kuhangaika na possession. Wanapress vizuri so itakua ngumu kupossess. Kila mpira wenu ni purposive movement hivyo ni inaangaliwa thru ball au inaangaliwa long ball ya kuchana mabeki.

Tunahitaji forward wenye pace (Martinelli, Pepe, Emile na Saka) ambao watakua na kazi ya kukimbilia pasi chokozi za Odegaard, Partey na Xhaka (akiwa poa siku hiyo) na long balls za Tierney na White.

At any given moment mabeki wetu wasipande sana ili wasiruhusu counter za pace ya Mane na Salah.

Long range shooters wafanye kazi yao bila woga, tukicheza mechi kwa mtindo huo tutawafanya wasijiachie kuja itabidi na wao walinde hence kutakua na balance kidogo.
 
Nyie mnaomkataa malghales, mmeona uzembe aliofanya VVD hadi kuruhusu goal? Badala ya kwenda haraka kuziba space, ye anakabia macho
Kila beki anafanya makosa ila ikitokea makosa ni constant kama ya Maguire hapo unajihesabia hauna beki.

Pia Virgil ana tabia ya kutofanya sliding tackle badala yake anakusubiri kwenye njia ili afanye standing tackle ila kama mshambuliaji ni mzuri hua anamzengea zengea na kufanya last ditch sliding tackle.

Kwahiyo yeye alifikiri Lautaro ataendelea kua anao anao wakati anamsubiri njiani. Lautaro akashuti nje ya box.
 
Nyie mnaomkataa malghales, mmeona uzembe aliofanya VVD hadi kuruhusu goal? Badala ya kwenda haraka kuziba space, ye anakabia macho
Sio kama anakabia macho, ile ni kudefend spaces through body orientation, na pale alikuwa anadefend space mbili at the same time, hakuna silly mistakes za Gabriel pale, wewe ulitaka aswitch target sababu unatumia common sense kuchambua, ila mpira ni mchezo wa watu kumi na moja so kuswitch target structurally lingekuwa ni kosa la kiufundi. Alichofanya ni kuwa patient ili kuorganize compactness in defensive transion.
 
According to
@ChrisWheatley_
, Arsenal will assess Saliba's situation in the summer, as preliminary negotiations are expected to open with him to renew his contract. Marseille is keen to sign him in full .. but it is understood that the player prefers to prove himself in the English Premier League with Arsenal.


 
Kama shabiki wa Arsenal huwa sijisikii raha nikiona Lautaro Martinez akihusishwa na usajili wetu wa dirisha kubwa.

Huwa sioni umuhimu wake akiwa uwanjani. Nimeanza kumuangalia muda mrefu sana tangu kile kipindi anatakiwa na Barcelona akitajwa kuwa na thamani ya paundi 90+ Milioni.
Nimemuangalia katika mechi ya kwanza dhidi ya Liverpool na leo namuangalia tena.
Hashawishi na wala havutii kuichezea timu yetu inayojijenga kwa sasa.

Hana quality ya straika wa mabao kwa vigezo alivyotaja Arteta.. ni bora tubaki na Laca wetu ambae anasaidia kupress, ku hold mipira, kuchezesha timu na pia kuanzisha mashambulizi.

Tutatumia gharama za bure kisha tukaishia kutukana tu. Straika gani hana pace, anashindwa kupunguza hata mtu mmoja, anachosubiri ni kuwekewa tu ili ashinde na siku hizi moto wake wa kupachika mabao umepungua sana.

Naongea yote haya kwa kuwa nmesikitishwa sana kwa kuona Arsenal wanahusishwa nae katika dirisha la usajili lijalo.
haya mawazo ni kama umeyatoa kichwani mwangu, sijawahi kumuamini hata kidogo, hata kwenye top list ya strikers tunaowataka sion kama ni kipaumbele,
 
Just watched the bench cam from the Watford game & its clear to see how visibly angry Arteta was getting at our players, even after we scored
 
Back
Top Bottom