makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,839
- 103,939
Namkubali jamaa, ni vile tu katika maisha na bahati inahitajika.Kama mmenotice katika hizi games mbili tatu Soares ameshine
Namkubali jamaa, ni vile tu katika maisha na bahati inahitajika.Kama mmenotice katika hizi games mbili tatu Soares ameshine
Kumbuki nilimwambia nani kitu kama hiki.Juzi hapa ilitokea Argument kwamba nilisema Arteta > Conte, nikaambiwa angalia CV. Sasa CV kwenye football!
Watu walitakiwa wajifunze kwa Pep wakati anaanza, hakuwa anamzidi CV Arsene Wenger / sir Alex but he destroyed them.
Mfano Xavi kwa idea yake tu unaona akipata a balanced squad anawin La liga next season, japo Ancellotti ana CV & Experienced kumzidi.
Unajua makocha wa kisasa advantage waliyonayo kwenye game wao wanapay attention kwenye kitu tunaita "phases of play" from build up to final third na wanajua quality & profile ya kuExcute idea zao, Viera, potter, Arteta, Xavi, Ten haag, Nigelsmann never write them off utaumia.
Newcastle Eddie howe kapata balance kidogo tu he won three games in a row, Football inachange, Japo Conte ni master na ukweli Conte anakosa the right profiles ila i rate Arteta high kuliko .
Zanneti na materazi wanagombea jezi.. Huyu jama huyu alikuwa mtu na robo tatuLegend alikuwa anajua sanaView attachment 2124052
Zaha ni kina saint maximin, mie nawaita kazi bure.Waliolalamika Zaha kutosajiliwa bado tunao? Asingeleta mezani tunachohisi anacho
"Bahati inahitajika"Namkubali jamaa, ni vile tu katika maisha na bahati inahitajika.
Ni kitu muhimu mnoo katika maisha."Bahati inahitajika"
Kaka umeandika neno kubwa sana.
Mchezaji wa Aaron Arsenal huyoWaliolalamika Zaha kutosajiliwa bado tunao? Asingeleta mezani tunachohisi anacho

Kumfananisha Maximin na Zaha ni matusi mkuu, Maximin is 23, he only needs good tactical knowledge from a top tactician, ngoja tuone atavyoexcel under Eddie howe paka sasa ndio engine ya timu, kuna siku mtasikia dogo anaenda Liverpool labda mtampa heshima anayostahili.Zaha ni kina saint maximin, mie nawaita kazi bure.
Vipi anashonwa?Mourinho kama hatufukuzwa kesho, achinje Kuku
Hahaha hua analalamika kwanini hasajiliwi.Mchezaji wa Aaron Arsenal huyo![]()
Shida ya maximin ni pale mwisho, anaweza akafanya kazi kuubwa mwishowe akaharibu kabisa, hayo ni mabadiliko ya mbeleni, mimi namzungumzia wa sasa, kuna wachezaji kibao toka timu moja walikuwa wa hovyo kwingine wakaenda kukiwasha.Kumfananisha Maximin na Zaha ni matusi mkuu, Maximin is 23, he only needs good tactical knowledge from a top tactician, ngoja tuone atavyoexcel under Eddie howe paka sasa ndio engine ya timu, kuna siku mtasikia dogo anaenda Liverpool labda mtampa heshima anayostahili.
Saka mwenyewe hajamaster final third decision making but wote ni Young kings hawa. Angalia creativity vingine vinakuja na age.Shida ya maximin ni pale mwisho, anaweza akafanya kazi kuubwa mwishowe akaharibu kabisa, hayo ni mabadiliko ya mbeleni, mimi namzungumzia wa sasa, kuna wachezaji kibao toka timu moja walikuwa wa hovyo kwingine wakaenda kukiwasha.
Messi ana manjonjo na ni winger sawa sawa na Mane, Salah, Sterling na Mahrez.Watu wa mpira naona tuna tabia ya kuchukia mchezaji mwenye manjonjo mengi, kwa Allan saint Maximin sishangai sababu yupo jamaa yangu flani ananiambiaga Neymar ni mchezaji wa kawaida, na miaka yote anasimamia hapo.
Maximin ni winger wazee, ukitaka winger asihold mpira, jiulize amekua kiungo huyo? Kazi ya kumove the ball fast maeneneo tifauti ni kazi ya mids mfano Xhaka/ Verratti/ Rodri.
Mfano kiungo kama Renato Sanches ana tendency ya kuhold sana mpira / kufanya dribbling / take ons utadhani ni winger, wakati key role kwake ilitakiwa kumove mpira haraka kwenye key areas, ndio unaona timu kubwa kama Bayern zinamshinda, sababu sio type ya mchezaji wanayemuhitaji ila kwa timu kama Lille anaexcel sababu timu inarely kwake for progression.
Winger anaweza kukaa na mpira paka defensive pattern ya mpinzani itapokuwa unlocked, Leo nacheki mechi na jamaa anasema Saka anakaa sana na mpira anaifelisha timu, hapo ndio nikajua kumbe uelewa wa mpira tunatofautiana.
Allan saint Maximin ni mchezaji wazee japo nakubali kutofautiana.