Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

arsenal fc supporting gay gooners today mana ni cku yao leo mpaka rang ya logo wameamua kuibadlisha kbsa kuonesh kwamb wap serious..
Kwa timu za pale Uingereza zilizo ligi kuu nitajie moja ambayo haina community ya mashabiki mashoga.
 
Kwa timu za pale Uingereza zilizo ligi kuu nitajie moja ambayo haina community ya mashabiki mashoga.

ni timu 16 tu including manchester teams ,chelsea and liverpool kati ya timu 20 z EPL nd zna support!
 
Naangalia game namuangalia Willock na nimehitimisha angepata wakati mgumu chini ya Arteta.

Ingawa kuna chansi akanyanyua kwapa kuanzia misimu miwili mbele till then kwa sasa ni akomae na mazoezi.
Newcastle wanammiss outlet wao Saint Maximin, kuna combinational play inafanyika btn Murphy, Targett , Joe willock on that left side, with Maximin leo West ham angekufa uhakika.

West ham Nawasalute Declan Rice & Said Benrahma ni watu but outlets Antonio & Bowen hawazitendei haki those final balls.
 
Arteta on Thierry Henry saying it would be a failure if we fail to finish in the top 4 this season:

"I didn’t read what he said. Everybody is free to say whatever they want. Tomorrow our aim is to play as good as we can & win the match, that’s the target"
 
Newcastle wanammiss outlet wao Saint Maximin, kuna combinational play inafanyika btn Murphy, Targett , Joe willock on that left side, with Maximin leo West ham angekufa uhakika.

West ham Nawasalute Declan Rice & Said Benrahma ni watu but outlets Antonio & Bowen hawazitendei haki those final balls.
Goli la kusawazisha la Newcastle limetokea upande ambao Maximin anapenda kuchezea. Ingekua Maximin yupo nina uhakika wasingepata goli.

Maximin ana skills na speed ila ana tatizo la kupooza move, kutoachia mipira haraka na average finishing.

Rice ni ana upepo tu kwa sasa ila sioni kama ana ukali huo.
 
Naangalia game namuangalia Willock na nimehitimisha angepata wakati mgumu chini ya Arteta.

Ingawa kuna chansi akanyanyua kwapa kuanzia misimu miwili mbele till then kwa sasa ni akomae na mazoezi.
Katika players willock sikupata kumkubali kiviiiile.

It's good Arsenal got good money out of him
 
Arteta on Thierry Henry saying it would be a failure if we fail to finish in the top 4 this season:

"I didn’t read what he said. Everybody is free to say whatever they want. Tomorrow our aim is to play as good as we can & win the match, that’s the target"
Henry huwa anashangaza sana afu ni legend kabisa, juzi alisema haoni progress yoyote kwenye team lakini leo anasema it'd be a failure. Hii contradiction inatokana na nini kwa mtu wa mpira kama Henry?
 
Hua hajui kuachia mipira mapema na bado hajamaster kucut in na kuscore.

Mipira itakua inapotea unnecessarily na Brentford wako vizuri kwenye counter. Akiingia baadaye as fresh legs inaweza kumpa advantage.
“Since he has come back from AFCON, I have seen a different Nico. His attitude, his smile, his energy, the way he has trained”

Mikel Arteta has been impressed with Nicolas Pépé since he has returned to Arsenal and has backed him to have a huge end to the season
 
Henry huwa anashangaza sana afu ni legend kabisa, juzi alisema haoni progress yoyote kwenye team lakini leo anasema it'd be a failure. Hii contradiction inatokana na nini kwa mtu wa mpira kama Henry?
henry ndio alivyo, ndio maana wenger alimfukuza kwenye academy akamwambia achague kuiponda timu sky sport au kufanya kazi academy,

sasa hivi amekuwa akimponda sana arteta, kisa yupo na yule jamaa wanataka wainunue timu ,
 
Henry huwa anashangaza sana afu ni legend kabisa, juzi alisema haoni progress yoyote kwenye team lakini leo anasema it'd be a failure. Hii contradiction inatokana na nini kwa mtu wa mpira kama Henry?
I think Thierry ana interests zake na gunners.

Lakini hata kama anazo interest hizo bado anastahili heshima ya hali ya juu Arsenal. But that doesn't mean asababishe any distraction.

Target ni Leo against Brentford, let's get over with this.
 
Confirmed Lineup Ramsdale, Tierney, Gabriel, White, Cedric, Xhaka, Partey, Smith-Row, Saka, Odegaard, Lacazette
 
henry ndio alivyo, ndio maana wenger alimfukuza kwenye academy akamwambia achague kuiponda timu sky sport au kufanya kazi academy,

sasa hivi amekuwa akimponda sana arteta, kisa yupo na yule jamaa wanataka wainunue timu ,
Mimi binafsi nakubali Sportify wainunue timu, maana nilisikia tetesi ile ni pesa ya mwarabu Qatar wapo behind the scene.
 
Arsenal as expected. Smith Rowe for Martinelli the one change from Wolves. Tomiyasu on the bench.
1645220430677.png
 
I think Thierry ana interests zake na gunners.

Lakini hata kama anazo interest hizo bado anastahili heshima ya hali ya juu Arsenal. But that doesn't mean asababishe any distraction.

Target ni Leo against Brentford, let's get over with this.
Henry hafai kuwa kocha wa Arsenal, akifukuzwa Arteta wamlete Partrick Viera. Nimegundua midfielders wanakuwa wakocha wazuri sana tactically kuliko strikers.

Mfano Gundogan alikuwa live twitter naye anasema yupo jikoni, najua atakuwa balaa kacheza chini ya Joachim Low/Hans Flick/klopp/ Tuchel/ Pep.
 
Back
Top Bottom