Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

naona tumekosa ubunifu mbele. cross zote za nini kama hakuna mtu wa kumalizia? hawa dawa yao ni tiki taka na quick movements ila wachezaji wako casual mno
 
naona tumekosa ubunifu mbele. cross zote za nini kama hakuna mtu wa kumalizia? hawa dawa yao ni tiki taka na quick movements ila wachezaji wako casual mno

Quick movement is the answer, tunatengeneza mashambulizi taratibu sana kiasi kwamba tunaruhusu wapinzani kurudi kuzuia
 
Sioni sababu ya kucheza na Lacazette pale mbele toa nje ingiza pepe halafu smith acheze false namba nine
Tuna uhitaji mkubwa wa natural and clinical no. 9 pale mbele kuliko sehemu nyengine yoyote.

Arteta lazima aingie sokoni kwenye dirisha lijalo la sivyo tutarudi kule kule.
 
hawa walitakiwa wawe wameshalala 3-0 saivi ila uzembe mwingi pale mbele 🙁
 
Back
Top Bottom